TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Kwanza ndugu Kadogosa na ofisi yako ya Tanzania Railways Corp hadi hapo hongereni kwa hatua hiyo japo no kwa kuchelewa sana.
Nimepitia ratiba yenu kwa ajili ya kuanza kutoa huduma ya usafirishaji abilia, hadi mlipoamua kupachika hii banner ni mmejiridhisha sawasawa.
Mmetoa muda wa kutoka Dar saa kumi na mbili asubuhi ambao kwa maoni yangu mlipaswa kuanza mapema zaidi ya hapo.
Na kutoka Morogoro mlipaswa kuweka train nyingine kwa muda huo huo zikiwa zinapishana, kuepusha delaying hapo kati.
Au ndiyo mnaanza hivyo mnasoma upepo ila kama mmeanza jumla basi inabidi kuweka usafiri wa usiku kama kwenye mabasi huko.
MABASI; kwa upande wenu wenye makampuni nawashauri Starting Point yenu badala Dar Es Salaam, sasa ianzie Morogoro, hii ni kwa basi zinazokwenda mikoa ya kanda ya kati, kanda ya ziwa, magharibi nk.
Hapo mtakuwa mmesave muda na pesa kwa kipande cha Dar - Moro, 4hrs ni muda mrefu sana kwa basi hivyo abilia wenu mkiwachukulia Moro mkasonga mbele hapo mtakuwa mnaneemeka.
Mmetoa muda wa kutoka Dar saa kumi na mbili asubuhi ambao kwa maoni yangu mlipaswa kuanza mapema zaidi ya hapo.
Na kutoka Morogoro mlipaswa kuweka train nyingine kwa muda huo huo zikiwa zinapishana, kuepusha delaying hapo kati.
Au ndiyo mnaanza hivyo mnasoma upepo ila kama mmeanza jumla basi inabidi kuweka usafiri wa usiku kama kwenye mabasi huko.
MABASI; kwa upande wenu wenye makampuni nawashauri Starting Point yenu badala Dar Es Salaam, sasa ianzie Morogoro, hii ni kwa basi zinazokwenda mikoa ya kanda ya kati, kanda ya ziwa, magharibi nk.
Hapo mtakuwa mmesave muda na pesa kwa kipande cha Dar - Moro, 4hrs ni muda mrefu sana kwa basi hivyo abilia wenu mkiwachukulia Moro mkasonga mbele hapo mtakuwa mnaneemeka.