Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka ya kale ilikuwa hivyo na huo ndiyo ulikuwa mfumo wa usafiri, kuna kuwa ma mabasi kwenye station kubwa -KAMATA.nikuongezea tu mabasi yanatakiwa kuweka ushirikiano na TRC yaani wanashuka tu wanawachukua palepale stand ya sgr moro..
Mkuu kuna watu akili zimelala humu, hawaelewi kitu, mfano muda na garama.hamjamuelewa hajamaanisha mabasi yote ya njia ya kati yeye ameshauri tu na hakika naamini kuna bus zitafanya hivi..
Kijana muachage ujinga, akili zenu bado zimelala, Dar to Dodoma by SGR ni 3hrs na by bus 8hrs njoo sasa...In facts, kajamaa kameshauri ujinga. Kea hiyo train ikifika Dodoma tena mabasi yawe yanaanzia Dodoma?
HatariKwahiyo wa Chalinze watembee kwa mguu huku wa Dar Mwanza utawalipia wewe nauli mpaka Moro!
Uko baa gani nije tushauriane.
Ulisikia kauli ya Bimkubwa au kusoma hii thread? Abood Peleka Mabasi Sehemu Nyingine Tutakusaidia, Siyo Lazima Dar - MoroYaani wewe washauri watu wa treni, mabasi hamna ushauri umewapa hapo. Mabasi kila starting point yake ina basi kwa muda husika. Anayepanda basi dodoma saa 12 muda huohuo wa dar anapanda pia.