TRC, Chukueni Ushauri Huu na Wenye Mabasi someni hapa

TRC, Chukueni Ushauri Huu na Wenye Mabasi someni hapa

Tatizo utoto nao unachangia akili kuwaza maziwa tu!.

Umesoma wapi nimeandika 'mabasi yote lazima yaanzie' au hujui maana ya 'ushauri' na nani kakwambia usafiri wa Dar - Moro kwa njia ya bus hautakuwepo?.
"MABASI; kwa upande wenu wenye makampuni nawashauri Starting Point yenu badala Dar Es Salaam, sasa ianzie Morogoro, hii ni kwa basi zinazokwenda mikoa ya kanda ya kati, kanda ya ziwa, magharibi nk.

Hapo mtakuwa mmesave muda na pesa kwa kipande cha Dar - Moro, 4hrs ni muda mrefu sana kwa basi hivyo abilia wenu mkiwachukulia Moro mkasonga mbele hapo"! Haya ni maoni yako si yangu.
Kwa kifupi zile saa nne kusafiri kati ya Dar na Moro hazitakuwepo kwa sababu mabasi " starting point" itakuwa Morogoro! Sijaona ulipoandika "starting point" itakuwa Dar.
Ninakuuliza tena uko baa gani nije tulijadili hili?
 
Mtoa mada em rudi nyumbani upumzike kwanza, kwahy yn mtu anaenda labla Mwanza kwahy apande treni mpaka Morogoro afu ndio apande Bus kwenda Mwanza? Huyo atakuwa mpumbavu.
 
Mtoa mada em rudi nyumbani upumzike kwanza, kwahy yn mtu anaenda labla Mwanza kwahy apande treni mpaka Morogoro afu ndio apande Bus kwenda Mwanza? Huyo atakuwa mpumbavu.
In facts, kajamaa kameshauri ujinga. Kea hiyo train ikifika Dodoma tena mabasi yawe yanaanzia Dodoma?
 
Kwanza ndugu Kadogosa na ofisi yako ya Tanzania Railways Corp hadi hapo hongereni kwa hatua hiyo japo no kwa kuchelewa sana.

Nimepitia ratiba yenu kwa ajili ya kuanza kutoa huduma ya usafirishaji abilia, hadi mlipoamua kupachika hii banner ni mmejiridhisha sawasawa.

Mmetoa muda wa kutoka Dar saa moja asubuhi ambao kwa maoni yangu mlipaswa kuanza mapema zaidi ya hapo.

Na kutoka Morogoro mlipaswa kuweka train nyingine kwa muda huo huo zikiwa zinapishana, kuepusha delaying hapo kati.

Au ndiyo mnaanza hivyo mnasoma upepo ila kama mmeanza jumla basi inabidi kuweka usafiri wa usiku kama kwenye mabasi huko.

MABASI; kwa upande wenu wenye makampuni nawashauri Starting Point yenu badala Dar Es Salaam, sasa ianzie Morogoro, hii ni kwa basi zinazokwenda mikoa ya kanda ya kati, kanda ya ziwa, magharibi nk.

Hapo mtakuwa mmesave muda na pesa kwa kipande cha Dar - Moro, 4hrs ni muda mrefu sana kwa basi hivyo abilia wenu mkiwachukulia Moro mkasonga mbele hapo mtakuwa mnaneemeka.
Kwan hivi vichwa vinapishana kweli ukute wamejua kuna noma wakaona Mh kitaumana bureee.
 
Hiyo Ratiba mi nadhani ingekuwa vice versa.Ianze Morogorogo kuja Dar.Watu wengi wanakwenda Morogoro jioni kesho yake asubuhi wanatakiwa katika majukumu Dar.Hivo ianzie Morogoro ili iwahi kufika Dar na watu wawahi majukumu.Na jioni imalizie Morogoro ili waliokuwa Dar kimajukumu wakalale nyumbani.Simple !
 
Sasa nyie wazee mnaosema zitapishana hamuoni kutakuwa na kupoteza muda kumsubir mwngn afike kituoni ndio mpishane, yn labla mmoja amefika kituoni mapema zaid c itabidi atulie hapo hapo mpaka huyo mwngn afike.
 
Hiyo Ratiba mi nadhani ingekuwa vice versa.Ianze Morogorogo kuja Dar.Watu wengi wanakwenda Morogoro jioni kesho yake asubuhi wanatakiwa katika majukumu Dar.Hivo ianzie Morogoro ili iwahi kufika Dar na watu wawahi majukumu.Na jioni imalizie Morogoro ili waliokuwa Dar kimajukumu wakalale nyumbani.Simple !
Wabongo kwenye management ni trash, labla wa Dar wanapelekwa kulima moro afu usiku warudi
 
Hiyo Ratiba mi nadhani ingekuwa vice versa.Ianze Morogorogo kuja Dar.Watu wengi wanakwenda Morogoro jioni kesho yake asubuhi wanatakiwa katika majukumu Dar.Hivo ianzie Morogoro ili iwahi kufika Dar na watu wawahi majukumu.Na jioni imalizie Morogoro ili waliokuwa Dar kimajukumu wakalale nyumbani.Simple !
Hii nakubaliana na wewe
 
Kwanza ndugu Kadogosa na ofisi yako ya Tanzania Railways Corp hadi hapo hongereni kwa hatua hiyo japo no kwa kuchelewa sana.

Nimepitia ratiba yenu kwa ajili ya kuanza kutoa huduma ya usafirishaji abilia, hadi mlipoamua kupachika hii banner ni mmejiridhisha sawasawa.

Mmetoa muda wa kutoka Dar saa moja asubuhi ambao kwa maoni yangu mlipaswa kuanza mapema zaidi ya hapo.

Na kutoka Morogoro mlipaswa kuweka train nyingine kwa muda huo huo zikiwa zinapishana, kuepusha delaying hapo kati.

Au ndiyo mnaanza hivyo mnasoma upepo ila kama mmeanza jumla basi inabidi kuweka usafiri wa usiku kama kwenye mabasi huko.

MABASI; kwa upande wenu wenye makampuni nawashauri Starting Point yenu badala Dar Es Salaam, sasa ianzie Morogoro, hii ni kwa basi zinazokwenda mikoa ya kanda ya kati, kanda ya ziwa, magharibi nk.

Hapo mtakuwa mmesave muda na pesa kwa kipande cha Dar - Moro, 4hrs ni muda mrefu sana kwa basi hivyo abilia wenu mkiwachukulia Moro mkasonga mbele hapo mtakuwa mnaneemeka.
Nimesoma hiyo ratiba sijaona kama ulivyosema wewe kwamba inatoka Dar saa moja.
 
TRC, tafadhali fanyeni hivi, train ikinyanyuka Dar kwenda Morogoro,muda huo huo nyingine inyanyuke Morogoro kwenda Dar.

Kila ikitoka upande Moja wa nchi nyingine itoke upande meingine kwa muda ule ule.

Ninashauri ticket zikatwe online, na anayekata tiketi za tarehe za mbali apate discount automatic.

Iwepo pia train ya express kwenda na kurudi moro
Tiketi zote zitakuwa electronic hakuna manual
 
Tiketi iwe kama feri pale tutumie kadi siyo makaratasi km mwendo kasi na chenji hawana.
 
Kwanza ndugu Kadogosa na ofisi yako ya Tanzania Railways Corp hadi hapo hongereni kwa hatua hiyo japo no kwa kuchelewa sana.

Nimepitia ratiba yenu kwa ajili ya kuanza kutoa huduma ya usafirishaji abilia, hadi mlipoamua kupachika hii banner ni mmejiridhisha sawasawa.

Mmetoa muda wa kutoka Dar saa moja asubuhi ambao kwa maoni yangu mlipaswa kuanza mapema zaidi ya hapo.

Na kutoka Morogoro mlipaswa kuweka train nyingine kwa muda huo huo zikiwa zinapishana, kuepusha delaying hapo kati.

Au ndiyo mnaanza hivyo mnasoma upepo ila kama mmeanza jumla basi inabidi kuweka usafiri wa usiku kama kwenye mabasi huko.

MABASI; kwa upande wenu wenye makampuni nawashauri Starting Point yenu badala Dar Es Salaam, sasa ianzie Morogoro, hii ni kwa basi zinazokwenda mikoa ya kanda ya kati, kanda ya ziwa, magharibi nk.

Hapo mtakuwa mmesave muda na pesa kwa kipande cha Dar - Moro, 4hrs ni muda mrefu sana kwa basi hivyo abilia wenu mkiwachukulia Moro mkasonga mbele hapo mtakuwa mnaneemeka.
nikuongezea tu mabasi yanatakiwa kuweka ushirikiano na TRC yaani wanashuka tu wanawachukua palepale stand ya sgr moro..
 
In facts, kajamaa kameshauri ujinga. Kea hiyo train ikifika Dodoma tena mabasi yawe yanaanzia Dodoma?
hamjamuelewa hajamaanisha mabasi yote ya njia ya kati yeye ameshauri tu na hakika naamini kuna bus zitafanya hivi..
 
sijaona mantiki yoyote kwenye huu uzi mabasi yaanzie moro? una uhakika kuna abiria atapanda treni 13000 ili akapande tena basi moro?
 
TRC, tafadhali fanyeni hivi, train ikinyanyuka Dar kwenda Morogoro,muda huo huo nyingine inyanyuke Morogoro kwenda Dar.

Kila ikitoka upande Moja wa nchi nyingine itoke upande meingine kwa muda ule ule.

Ninashauri ticket zikatwe online, na anayekata tiketi za tarehe za mbali apate discount automatic.

Iwepo pia train ya express kwenda na kurudi moro
Jibu lake lipo hapa:
 
Back
Top Bottom