Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jambo lazima Mwendawazimu mmoja aliseme.Mkuu unaweza kustakiwa kwa kutoa kauli za uzushi na za uchonganishi. 😀
Ni hujuma tu, hamna cha uchonganishi wala nn..Mkuu unaweza kustakiwa kwa kutoa kauli za uzushi na za uchonganishi. 😀
100%Usimuamini muongo hata kama anasema ukweli!
Sasa nani kahujumu ?........unaweza kuisadia polisi kutoa ushahidi pasi na shaka?Ni hujuma tu, hamna cha uchonganishi wala nn..
Wamejisahau kwa upande wa Imani pia, kuwa riziki anatoa MunguNilisema toka awali, Aboud na Shabibby washughulikiwe mapema, vinginevyo watatusa sana nchi hii. Route mbona zipo nyingi tu zina uhaba wa mabasi, si wapeleke huko?
Watu wenye hujuma, hatua zinachukuliwa, kupelekwa kwenye vyombo husika kuchukuliwa hatua stahiki.Hii nchi ni kituko sana 😃😃
Avoid naming people for severe accusations ambazo huwezi kutolea ushahidi.Nilisema toka awali, Aboud na Shabibby washughulikiwe mapema, vinginevyo watatusa sana nchi hii. Route mbona zipo nyingi tu zina uhaba wa mabasi, si wapeleke huko?
HahahahaUsimuamini muongo hata kama anasema ukweli!
Mkuu wakamate watu wasiojulikana? Hiyo barua umeona ikitaja hata fununu?Muwakamate na walio watuma, sio munashia kwa vidagaa tu.
Uongo huo.
TAARIFA KWA UMMA UZUSHI KUHUSU TRENI MCHONGOKO
Dar es Salaam, Tarehe 06 Novemba 2024.
Shirika la Reli Tanzania - TRC linautaarifu umma kupuuza taarifa potofu zinazosambazwa na watu mbalimbali kuhusu kusimama kwa Treni za EMU - Electric Multiple Unit, (Mchongoko) na changamoto za umeme.
Ukweli ni kwamba tangu kuanza kwa safari ya kwanza ya treni zinazotumia nishati ya umeme Juni 14, 2024 hakujawahi kuwa na changamoto ya umeme, tunawashukuru wenzetu wa TANESCO kwa ushirikiano mkubwa wanaoutoa.
Aidha, kilichotokea Novemba 3, 2024 na kusababisha kusimama kwa treni ya EMU kwa takribani Saa 6 ni hujuma kutokana na kukatika ama kukatwa kwa nyaya (catenary) zinazochukua umeme kutoka njia ya umeme kupeleka kwenye treni.
Shirika la Reli Tanzania linauhakikishia umma kuwa hakuna treni ya Mchongoko iliyopata hitilafu ya kiufundi.
Tayari baadhi ya wahusika wamekamatwa na hatua stahiki dhidi yao zimeshaanza kuchukuliwa ikiwemo kufikishwa kwenye vyombo husika.
Shirika linawakumbusha wananchi kuwa bado tuko kwenye kipindi cha mwaka mmoja cha matazamio, na kama changomoto zozote zinajitokeza, TRC itaujulisha umma kwa uwazi kama siku zote tunavyofanya, na taarifa rasmi mtazipata kwenye vyanzo vyetu rasmi na si vinginevyo.
TRC inawashukuru abiria kwa uvumilivu kipindi cha changamoto.
Fredy Mwanjala
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano
Yaani Barua imekaa kiwepesi sana.Uongo huo.
Majina Yao yako wapi??????
Wahujumu reli kwa maslahi Gani?????
Hao waliokamatwa wasadie polisi kusema aliyewatuma..Sasa nani kahujumu ?........unaweza kuisadia polisi kutoa ushahidi pasi na shaka?
Nini wewe, wachunguzwe hao.., hivi unanunuaje mabasi mapya 200 just a few weeks kabla ya kuanza SGR kwenye route hiyo hiyo ya kwake? Means alishajipanga..Avoid naming people for severe accusations ambazo huwezi kutolea ushahidi.
Kukaa kimya kwa muda mrefu kunapelekea watu kutangulia kutoa Taarifa halafu inaonekana huo muda wa ukimya ndo wao TRC - EMU walikuwa wakisugua vichwa na kujitafutia visababishi.Hii nchi ni kituko sana 😃😃
Kwanini wewe umetaja watu kwenye andiko lako?.....uoni unaaribu upelelezi kuhusu jambo hilo?Hao waliokamatwa wasadie polisi kusema aliyewatuma..