DOKEZO TRC, mtanitafuta kwa uchochezi au Mkurugenzi Mkuu Kadogosa utanishukuru mimi na JF? Treni imefungwa kwa waya!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nchi ngumu sana hii mabillion ya hela za Spea yashaibiwa apo😅
 
Malaika mlinzi amekuongoza vyema.

Sasa utasikia DPP anaanza kumsumbua Maxence Melo amtaje member aliyetoa taarifa hii.

Na kwa kuficha uozo utaona taarifa ya kuzuia kupiga picha vituo vyote vya treni wakisingizia tishio la usalama.

Bravo mkuu
CAG achunguze TRC pia
 
Kwanza hapo umeokoa maisha ya watu kibao...
Maana ajali za treni mziki wake unajulikana

Ova
 
Pale ferry kuna madudu kibao. Wamezuia kupiga picha ili isije kuvuja kwa wakubwa huko mauzembe yao
 
Serikaki haipaswi wala haiwezi kufanya biashara kabisa. Biashara wawachiwe wafanya biashara.
 
Huyu mkurugenzi sijui ana kimzizi, mwenzake huko Wakala wa ndege za serikali kachinjiwa baharini lakini yeye kaponea chupuchupu, eti imevinjwa bodi peke yake daaah...
 
Mkuu acha uchochezi wewee. Mungu yupo!
Acha ujinga mkuu, Kama yeye ameiona kasoro ulitaka anyamaze ili watanzania wafe ndio viongozi waje na matamko? Mangapi yanafikishwa katika vyombo husika na hayafanyiwi kazi mpaka consequences related to the situation itokee?! Mwendo ni huu huu wa kuanika wazi ili wananchi wajue na wapige kelele kwa ujumla wao. Inamaana mpaka Sasa baada ya miaka yote hii hujui Kuna kufumbiana macho na wanaoumia ni raia? Litakapokuja kugusa familia yako kwa uzembe wa mamlaka ndio utaelewa kwanini watu wanaweka wazi Mambo kama haya.
 
Ajabu kweli mkuu
Huyu mkurugenzi sijui ana kimzizi, mwenzake huko Wakala wa ndege za serikali kachinjiwa baharini lakini yeye kaponea chupuchupu, eti imevinjwa bodi peke yake daaah...
 
Mpaka inakera na kufikirisha sana. Wenye uwezo na nia thabiti wapo ila wajitokezapo wanapotezwa dah. Nini hasa kifanyike kama wananchi wenyewe tumekubaliana na hali?!
Linnchi lina watu wazembe kupitiliza.
 
Pale ferry kuna madudu kibao. Wamezuia kupiga picha ili isije kuvuja kwa wakubwa huko mauzembe yao
Tafuta upenyo mkuu piga picha na tupia hapa, hatuna na inaonekana nchi yetu hairuhusu Investigation Journalist.
 
Huyu mkurugenzi sijui ana kimzizi, mwenzake huko Wakala wa ndege za serikali kachinjiwa baharini lakini yeye kaponea chupuchupu, eti imevinjwa bodi peke yake daaah...
Bodi ivunjwe manake na mkurugenzi atoke ofisini Hawa wazee mbona ving'ang'anizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…