DOKEZO TRC, mtanitafuta kwa uchochezi au Mkurugenzi Mkuu Kadogosa utanishukuru mimi na JF? Treni imefungwa kwa waya!

DOKEZO TRC, mtanitafuta kwa uchochezi au Mkurugenzi Mkuu Kadogosa utanishukuru mimi na JF? Treni imefungwa kwa waya!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
View attachment 2447720
View attachment 2447721
Hizi ni breki za treni jamani!!!!!

Kuna treni iliua sana kwa sababu mabehewa yalikuwa hayashiki breki hivyo kichwa kilizidiwa na likaanza kukimbia ovyo na kupinduka. Watu walikufa sana na kosa lilikuwa mfumo wa breki za mabehewa kutofanya kazi

Ilikuwa Igandu, mwaka 2002
View attachment 2447731
Hii ajali ilikua kubwa la ajali,, kuna watu walipoteana wakaja kupatikana miezi kadhaa baada ya ajali,, baada ya kuvurugwa kiakili
 
Tulipoko ndipo tulipo pataka wenyewe watawala wamekuwa kama miungu mtu hawakubali kukuosolewa, ukija TPA utafurahi na Roho yako ndugu, hizo waya na hiyo breki iliyo pasuka ni cha mtoto.
 
Itatembea ktk reli hiyo huyo ya mjerumani au mtajengewa standard gauge
Hiyo hiyo ya mjerumani mkuu.
Moja ya sababu ya kuchelewa kwa treni kufika kule iendako ni kuwa na vituo vidogovidogo vingi njiani.
 
Yuko sahihi,Mama Samia bado hajakitende a kazi kiti chake mpk sasa amekua km mtu ambae mpk afikishiwe jambo lake ndo achukue hatua sasa treni km hilo liko barabaran na hamna mtu aliewajibika
Kwahiyo ndio tumwite mpumbavu au sio??
 
Ulikuwa unatafuta Nini huko mpaka ukapiga picha nimewaza tu
Moja ya swali zuri sana na ninaona jinsi ulivyoifikirisha akili yako.

JIBU; Yaani kila mtu ana utashi wake kwenye world game, mimi nikiwa safarini kwenye chombo chochote huwa ni lazima, yaani lazima tukistop any where nishangae shangae kilivyoundwa.

Mkuu hata ukinipa lift nitashangaa chombo chako tu!.
 
Ninavyofahamu kwenye usafiri wa mabasi kuna wakaguzi kama maofisa wa kitengo cha usalama barabarani.

Sasa kwenu nyie shirika la reli TRC ya ndg Kadogosa sijui nani anawakagua mwanzo, katikati ya safari au mwisho.

Pichani ni treni mnaita deluxe inayotoka Dar Es Salaam kwenda Arusha na hizo namba ni mabehewa yenye hizo kasoro.
View attachment 2447266View attachment 2447267

Hii hapa chini ndiyo sijui wataalam wa wanasemaje kama break zikiwa katika hali hiyo, je treni inaweza kufanya kazi miezi mingapi na hakuna shida?
View attachment 2447268View attachment 2447270

Nawasilisha.
Ndiyo sisi hao, utaambiwa kazi ya Mungu aliwapenda zaidi
 
Yuko sahihi,Mama Samia bado hajakitende a kazi kiti chake mpk sasa amekua km mtu ambae mpk afikishiwe jambo lake ndo achukue hatua sasa treni km hilo liko barabaran na hamna mtu aliewajibika
Ameanza kukitendea kazi mkuu!.
 
Ninavyofahamu kwenye usafiri wa mabasi kuna wakaguzi kama maofisa wa kitengo cha usalama barabarani.

Sasa kwenu nyie shirika la reli TRC ya ndg Kadogosa sijui nani anawakagua mwanzo, katikati ya safari au mwisho.

Pichani ni treni mnaita deluxe inayotoka Dar Es Salaam kwenda Arusha na hizo namba ni mabehewa yenye hizo kasoro.
View attachment 2447266View attachment 2447267

Hii hapa chini ndiyo sijui wataalam wa wanasemaje kama break zikiwa katika hali hiyo, je treni inaweza kufanya kazi miezi mingapi na hakuna shida?
View attachment 2447268View attachment 2447270

Nawasilisha.
Fursa ya picha naikosa kwa kutofunguka
 
Ninavyofahamu kwenye usafiri wa mabasi kuna wakaguzi kama maofisa wa kitengo cha usalama barabarani.

Sasa kwenu nyie shirika la reli TRC ya ndg Kadogosa sijui nani anawakagua mwanzo, katikati ya safari au mwisho.

Pichani ni treni mnaita deluxe inayotoka Dar Es Salaam kwenda Arusha na hizo namba ni mabehewa yenye hizo kasoro.
View attachment 2447266View attachment 2447267

Hii hapa chini ndiyo sijui wataalam wa wanasemaje kama break zikiwa katika hali hiyo, je treni inaweza kufanya kazi miezi mingapi na hakuna shida?
View attachment 2447268View attachment 2447270

Nawasilisha.
Ndiyo sisi hao, mpaka iue mamia ndipo tuzinduke
 
Ninavyofahamu kwenye usafiri wa mabasi kuna wakaguzi kama maofisa wa kitengo cha usalama barabarani.

Sasa kwenu nyie shirika la reli TRC ya ndg Kadogosa sijui nani anawakagua mwanzo, katikati ya safari au mwisho.

Pichani ni treni mnaita deluxe inayotoka Dar Es Salaam kwenda Arusha na hizo namba ni mabehewa yenye hizo kasoro.
View attachment 2447266View attachment 2447267

Hii hapa chini ndiyo sijui wataalam wa wanasemaje kama break zikiwa katika hali hiyo, je treni inaweza kufanya kazi miezi mingapi na hakuna shida?
View attachment 2447268View attachment 2447270

Nawasilisha.
TRC Wana VX latest balaa
 
Fursa ya picha naikosa kwa kutofunguka
Yego mwamba 😀!.
Pole naona tatizo hilo siyo kwako hata kwangu toka mchana picha hazifunguki.

Jaribu kushusha network to 3G alafu upandishe 4G, pia restart simu.
 
Na huyo masanja na kampani yake walitimuliwa kwenye bodi ila yeye bado anakomaa na ukurugenzi badala ya kujiuzulu kwa maslahi ya umma , hivi vijamaa sukuma gang vilitakiwa kuondolewa kabisa katika serikali ya hangaya maana ni wale wale tu
 
Ninavyofahamu kwenye usafiri wa mabasi kuna wakaguzi kama maofisa wa kitengo cha usalama barabarani.

Sasa kwenu nyie shirika la reli TRC ya ndg Kadogosa sijui nani anawakagua mwanzo, katikati ya safari au mwisho.

Pichani ni treni mnaita deluxe inayotoka Dar Es Salaam kwenda Arusha na hizo namba ni mabehewa yenye hizo kasoro.
View attachment 2447266View attachment 2447267

Hii hapa chini ndiyo sijui wataalam wa wanasemaje kama break zikiwa katika hali hiyo, je treni inaweza kufanya kazi miezi mingapi na hakuna shida?
View attachment 2447268View attachment 2447270

Nawasilisha.
Malaika mlinzi amekuongoza vyema.

Sasa utasikia DPP anaanza kumsumbua Maxence Melo amtaje member aliyetoa taarifa hii.

Na kwa kuficha uozo utaona taarifa ya kuzuia kupiga picha vituo vyote vya treni wakisingizia tishio la usalama.

Bravo mkuu
 
Malaika mlinzi amekuongoza vyema.

Sasa utasikia DPP anaanza kumsumbua Maxence Melo amtaje member aliyetoa taarifa hii.

Na kwa kuficha uozo utaona taarifa ya kuzuia kupiga picha vituo vyote vya treni wakisingizia tishio la usalama.

Bravo mkuu
Sasa mkuu mimi mtu mdogo hadi DPP anitafute kweli?.

Alafu wakituzuia tusipige picha kwa simu inabidi wakati wa kulipanda hilo dubwana pale kwenye milango awepo askali anakusanya simu, ukifika mwisho wa safari yako ndipo unapewa phone yako.

Vinginevyo hatutakuwa tunaishi dunia hii ya binadamu, maybe tupo sayari nyingine kabisa.
 
Back
Top Bottom