DOKEZO TRC, mtanitafuta kwa uchochezi au Mkurugenzi Mkuu Kadogosa utanishukuru mimi na JF? Treni imefungwa kwa waya!

DOKEZO TRC, mtanitafuta kwa uchochezi au Mkurugenzi Mkuu Kadogosa utanishukuru mimi na JF? Treni imefungwa kwa waya!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ninavyofahamu kwenye usafiri wa mabasi kuna wakaguzi kama maofisa wa kitengo cha usalama barabarani.

Sasa kwenu nyie shirika la reli TRC ya ndg kadogosa sijui nani anawakagua mwanzo, katikati ya safari au mwisho.

Pichani ni treni mnaita deluxe inayotoka Dar Es Salaam kwenda Arusha na hizo namba ni mabehewa yenye hizo kasoro.

View attachment 2447266View attachment 2447267

Hii hapa chini ndiyo sijui wataalam wa wanasemaje kama break zikiwa katika hali hiyo, je treni inaweza kufanya kazi miezi mingapi na hakuna shida?
View attachment 2447268View attachment 2447270
Nawasilisha.
Kweli Waafrica tunasikitisha sana
 
NB:  Ndugu Kadogosa TRC natoa ushauri, kuna hizo behewa nasikia mnasema mpya wakati BiM Dr, SSH alisema tunaagiza kwanza used na mapya yatakuja mwakani.

Katika hizo mpya tunaomba route moja itakayokuwa ni Express kutoka Dar, Moshi na Arusha, badala ya masaa 20 Dar to Arusha itumie masaa machache as 8 au 10 kwa kutosimama vile vituo vidogovidogo.

issue ya speed iko kwenye Engine (kichwa) then unakuja kwenye consideration ya behewa based on speed ya kichwa na aina ya rail yako..
 
Likiuwa watu utaskia kazi ya Mungu, wapigaji wa serekali wanatenga hela nyingi kwaajili ya kuwaaga marehem wakat hela hizo hzo zingetosha kurekebisha hizo kasoro na zingebaki
 
Kuna mtu kaloga picha zisifunguke
IMG_20221215_080953.jpg
IMG_20221215_080444.jpg
 
Back
Top Bottom