Kwamba hata google haujui?Acheni ujuaji nyie.
Tutapanda ngazi kwa ngazi mkuu, SGR is not a modern railways!, not this.Ili train iitwe ya mwendokasi au 'high speed train' Lazima ikimbie kwa zaidi ya 200km/hr
Sasa hii ya 160/hr tuiweke kundi gani?
Hiyo inaitwa ngongongo au garimoshi.Ili train iitwe ya mwendokasi au 'high speed train' Lazima ikimbie kwa zaidi ya 200km/hr
Sasa hii ya 160/hr tuiweke kundi gani?
Ya hamas 2000 km/hWangeleta wayahudi waje watengeneze SGR naamini ingekimbia 800km)h.
Rangi za vichwa na mabehewa hazi-reflect alama yoyote ya Tanzania, wameshindwa hata kupaka rangi mojawapo iliyopo kwenye bendera ya taifa , nembo ya taifa au hata mlima Kilimanjaro.TAARIFA KWA UMMA
KUWASILI KWA SETI YA KWANZA YA TRENI YA KISASA EMU
Dar es Salaam, Tarehe 03 Aprili 2024
Shirika la Reli Tanzania TRC linautaarifu umma kuwa Seti ya kwanza ya treni ya kisasa ya EMU, vichwa vitano vya umeme na mabehewa matatu ya abiria yamewasili katika bandari ya Dar es Salaam.
Serikali kupitia TRC ilifanya manunuzi ya Seti kumi (10) za treni za kisasa zijulikanazo kama Electric Multiple Unit kutoka kwa watengenezaji kampuni ya Hyundai Rotem ya nchini Korea Kusini.
Seti moja ya EMU ina uwezo wa kubeba abiria 589 na kutembea kwa kasi wa kilomita 160 kwa saa. EMU ni treni iliyoundwa kwa teknolojia ya kisasa inayomuwezesha abiria kupata huduma muhimu ikiwemo huduma ya mtandao (Wi-FI), sehemu za kukaa watu wenye mahitaji maalum, mifumo ubaridi na kamera za usalama (CCTV Camera).
Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania imepokea jumla ya mabehewa 65 ya abiria, vichwa 9 vya umeme na Seti moja ya EMU. Seti zingine za EMU zitaendelea kuwasili kila mwezi hadi Oktoba 2024.
Kuwasili kwa vitendea kazi kunaifanya TRC kuwa tayari kuanza huduma za usafirishaji abiria katika reli ya kiwango cha kimataifa
Maendeleo ya Mradi wa SGR awamu ya kwanza yamefikia asilimia 98.90 kwa kipande cha Dar es salaam Morogoro (KM 300), asilimia 96.51 kipande cha Morogoro Makutupora, asilimia 13.98 kipande cha Makutupora - Tabora, asilimia 5.44 kipande cha Tabora - Isaka, asilimia 54.01 kipande cha Mwanza - Isaka.
Jamila Mbarouk
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano
View attachment 2952796
View attachment 2952798
View attachment 2952799
View attachment 2952801
View attachment 2952802
View attachment 2952748
Na baraka tele juuWangeleta wayahudi waje watengeneze SGR naamini ingekimbia 800km)h.
Kweli huo mjusi kiwiliwili kikubwa kuliko mkiaVimewasili vichwa 5 Vya Umeme na mabehewa 3 ya Abiria
Unamjua Komanguluale wewe?πKweli huo mjusi kiwiliwili kikubwa kuliko mkia
JF hata ukileata Uzi serious wajikuta wacheka tuuKweli huo mjusi kiwiliwili kikubwa kuliko mkia
Tushapigwa tayari.160km/h kawaida sana. Hilo ni gari moshi tu.
Wafike angalau 220km/h.
πJF hata ukileata Uzi serious wajikuta wacheka tuu
πππ
Kwa nauli haiwezi kuwa Sawa na Mabasi na nauli itakuwa juu kuliko basi kaa mkao wa kulaMmmmmhh 500km/h yaan dar to shinyanga kwa dakika 60 au.....huyu mama akifanikiwa hz kitu zikafanya kazi na bei ikawa kama ile ya mabus au chini kidogo afu kwa spid hata ya 130km/h atakuwa kafanikiwa sana. Cha muhim ahakikishe sgr na bwawa la Mwal. nyerere yanafanya kazi kwa ubora hasa.
Serikali kazi yake iwe kujenga reli, treni zinunuliwe na kuendeshwa na makampuni na watu binafsi ndio tutaona ufanisiTAARIFA KWA UMMA
KUWASILI KWA SETI YA KWANZA YA TRENI YA KISASA EMU
Dar es Salaam, Tarehe 03 Aprili 2024
Shirika la Reli Tanzania TRC linautaarifu umma kuwa Seti ya kwanza ya treni ya kisasa ya EMU, vichwa vitano vya umeme na mabehewa matatu ya abiria yamewasili katika bandari ya Dar es Salaam.
Serikali kupitia TRC ilifanya manunuzi ya Seti kumi (10) za treni za kisasa zijulikanazo kama Electric Multiple Unit kutoka kwa watengenezaji kampuni ya Hyundai Rotem ya nchini Korea Kusini.
Seti moja ya EMU ina uwezo wa kubeba abiria 589 na kutembea kwa kasi wa kilomita 160 kwa saa. EMU ni treni iliyoundwa kwa teknolojia ya kisasa inayomuwezesha abiria kupata huduma muhimu ikiwemo huduma ya mtandao (Wi-FI), sehemu za kukaa watu wenye mahitaji maalum, mifumo ubaridi na kamera za usalama (CCTV Camera).
Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania imepokea jumla ya mabehewa 65 ya abiria, vichwa 9 vya umeme na Seti moja ya EMU. Seti zingine za EMU zitaendelea kuwasili kila mwezi hadi Oktoba 2024.
Kuwasili kwa vitendea kazi kunaifanya TRC kuwa tayari kuanza huduma za usafirishaji abiria katika reli ya kiwango cha kimataifa
Maendeleo ya Mradi wa SGR awamu ya kwanza yamefikia asilimia 98.90 kwa kipande cha Dar es salaam Morogoro (KM 300), asilimia 96.51 kipande cha Morogoro Makutupora, asilimia 13.98 kipande cha Makutupora - Tabora, asilimia 5.44 kipande cha Tabora - Isaka, asilimia 54.01 kipande cha Mwanza - Isaka.
Jamila Mbarouk
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano
View attachment 2952796
View attachment 2952798
View attachment 2952799
View attachment 2952801
View attachment 2952802
View attachment 2952748
Wacha basi na wewe! Dar to Shy kilomita 500?Mmmmmhh 500km/h yaan dar to shinyanga kwa dakika 60 au.....huyu mama akifanikiwa hz kitu zikafanya kazi na bei ikawa kama ile ya mabus au chini kidogo afu kwa spid hata ya 130km/h atakuwa kafanikiwa sana. Cha muhim ahakikishe sgr na bwawa la Mwal. nyerere yanafanya kazi kwa ubora hasa.