MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Zama hizi unatumia trilions of money kutengeneza treni isiyokuwa high speed??😳Kwani nani alikwambia hii ni "high speed train"?
Ni sawa na kutumia milioni kununua router ya 3G wakati dunia ipo 6G. Ni matumizi mabaya ya fedha