TRC: Seti ya Kwanza ya Treni ya Kisasa ya EMU, Vichwa Vitano vya Umeme na Mabehewa Matatu ya Abiria imewasili

Mkuu nadhani inawezekana! Kila behewa litabeba abiria karibia 200!
 
Ni lazima kile kichwa cha majaribio kipite kwenye kila reli mpya, ninyi ambao mliyokimbia sayansi, kwanza kina uzito tofauti kwa ajili ya kupima uimara wa reli, na umadhubuti, hivyo vinavyokuja huwa vya kazi na si vizito sana.
 
Ni lazima kile kichwa cha majaribio kipite kwenye kila reli mpya, ninyi ambao mliyokimbia sayansi, kwanza kina uzito tofauti kwa ajili ya kupima uimara wa reli, na umadhubuti, hivyo vinavyokuja huwa vya kazi na si vizito sana.
Ahsante kwa maelezo mkuu,natumaini safari zitarahisishwa kiliko mabasi au unamtazamo gani juu ya hili
 
Ahsante kwa maelezo mkuu,natumaini safari zitarahisishwa kiliko mabasi au unamtazamo gani juu ya hili
Ni kweli safari zitarahisishwa sana, hasa baada ya kumalizia mtandao mzima wa SGR, tukumbuke treni hizi engine zinamfumo wa motor!, hata mfumo wa speed yake ni wa ku engage, yaani unachagua unataka ikimbiaje 80km/h-100km/h-120km/h160km/h-180km/h.
#Kisayansi nadhani unafahamu utendaji kazi wa motor!
 
Atleast kichwa hata kimoja wangekiita Magufuli express, Daaah yule mwamba naye anamchango mkubwa sana kwenye hii project. Watu makatiliii😬
Halafu Dar moro railway inaurefu wa 300Kms, na train inaspeed ya 160Km/h, automatically hiyo chuma dar moro ni masaa mawili na nusu hadi matatu ukiongeza dakika za kushusha na kupakia
 
Ni jambo zuri kwa maendeleo yetu sote, hii ni ya mchongoko iko vizuri, subira yafuta heri ni kinyume na maneno ya watu.
 
na lile likichwa la yutong walilitoa wapi au tusingesanuka wangetuletea mandonga ya dizain ile
Nadhani kilikuwa cha majaribio tu, sema binadamu ni wazushi sana, walikuzusha hata mimi nikawaamini, ila ukweli ndio umedhihirika nimeona kwa macho yangu mwenyewe, kitu mchongoko kama nyoka, tuwasamehewe tu.
 
Mama gani akifanikiwa? Upumbavu mwingine!!!!
 
Ahsante kwa taarifa.
Aisee tupo nyuma, ndio nasikia kila kona hii project inapigiwa pambio na chapuo kumbe ni tech za 1960's.

Ila sasa wakaze basi tufike hata 220 hapo dah!
 
Hivi unawajua unawasikia, utasikia sgr imeibiwa. Tupo hapa.
 
Ahsante kwa taarifa.
Aisee tupo nyuma, ndio nasikia kila kona hii project inapigiwa pambio na chapuo kumbe ni tech za 1960's.

Ila sasa wakaze basi tufike hata 220 hapo dah!
Hatuwezi kukwepa hatua za makuzi, ni stage kwa stage mkuu.
 
Hatuwezi kukwepa hatua za makuzi, ni stage kwa stage mkuu.
Inabidi tujitutumue kuendana na kasi ya maendeleo ya dunia mbona simu hamtumii za 2001? Mbona network hamtumii gprs bali mnatumia 4G na 5G.

Kingine huwezi nishauri leo nifike dukani ninunue tv la chogo kisa inapaswa niendane na hatua za makuzi, mbona ndege hawanunui za 1970's .

Aisee walete za mwendokasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…