TRC SGR wasirudie makosa ya ujenzi waliyofanya Dar kwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora nk

TRC SGR wasirudie makosa ya ujenzi waliyofanya Dar kwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora nk

bongodili tele

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2024
Posts
1,520
Reaction score
3,022
Kuweka uzio ni jambo jema lengo ni kulinda uhai.
Lakini kuweka uzio hakukuzingatia athari za kiuchumi kwa wakaazi wa maeneo husika baada ya kuwatenganisha pande mbili ili waweze kuwasiliana ni lazima wafate kivuko ambavyo navyo sio rafiki.
Mfano ili uvuke upande wa pili ni lazima ufate kivuko kilometers moja ukavuka daraja lenye urefu wa mita 500 then urudi tena kilometers moja ulipotoka awali baada ya kuvuka so itakulazimu utembee kilometers tatu sawa na dakika 45 tofauti na zamani kabla ya uzio ambapo ulitumia dakika moja kuvuka upande wa pili ambao ni mita 30.
Hii imeathiri biashara zote za mafrem, mahoteli,bar,nk zilizotegemea mapitio ya watu kabla ya uzio.
Kuanzia vingunguti, airport, majumba sita, Ukonga,gongo la mboto ni kilio kwa kwenda mbele biashara zimekufa watu wanalazimishwa wakapite juu ya madaraja ambayo sio rafiki utadhani kila mtza ana miliki gari.Mfano airport pale ni lango la nchi kimataifa thus pana watz waliwekeza kujenga mahoteli pana hotel kama tano hivi zenye ghorofa zaidi ya nne zote zinaenda kufa kwa sababu ya njia zimefungwa ili ufike kwenye hizo hotel ni mzunguko wake sio wa kitoto.
Achilia biashara zingine kumbuka hawa ni walipa kodi na biashara ni watu na watu ni njia sasa ukifunga njia umeua biashara uchumi utazungukaje ajira ngapi zimekufa.
Check vingunguti ni eneo la viwanda pana malori yanatakiwa yaingie viwandani daraja lipo lakini ni one-way halina sehemu ya malori kukunja ni labda ukaingilie buguruni ucheze na vumbi mwambao wa reli hadi vingunguti inaathiri mda pia barabara sio rafiki.
Halafu sijui nani kawashauri wajenge madaraja vichunguu mjini kuchafua sura ya jiji na kuzuia maji tutegemee vilio vya maji kujaa kwenye majumba ya watu pembeni mwa madaraja sababu wameblock njia za maji bila kuacha matoleo upande wa pili.
Madaraja vichunguu ndo wajenga uhasibu na chang'ombe ukiangalia gharama za kujaza vifusi yaani huo mlima ni gharama za kujenga nguzo kama za daraja la Tazara tofauti yake ni ndogo sana.Madaraja vichunguu ujengwa maporini huko na sio mijini daraja ni kama lile la Tazara chini liwe wazi maisha yaendelee chini na sio unblock upande wa pili,ni aibu kwa mainjia wenzao wakitoka nje ya nchi.
Sijawahi ona madaraja vichunguu katikati ya mji yanachafua mazingira ya mji,daraja linatakiwa liwe kivutio kama sehemu ya utaliie pia.
Ilitakiwa nguzo ziende hadi Pugu ili chini maisha yaendelee kama kawaida ,watu wapite bila vizuizi.Kama gharama za nguzo ni kubwa ilitakiwa treni ianzie Pugu huku nguzo zikijengwa mdogo mdogo kuja mjini.
La imeshindikana ilitakiwa wainue tuta la reli juu mita 6 sehemu zote za vivuko vyenye watu wengi waweke karavati box la urefu wa mita tano kwa tano watu,pikipiki,toroli vipite chini ya reli magari yakapite juu ya hayo madaraja hii isingeathiri biashara za watu kwa kukosa watu.
Mbona mashambani na maporini wamewawekea wanyamapori na mifugo hizo karavati box kupita chini ya reli.
Hata wao TRC wameathirika kimapato kwa kuweka uzio umewazuia abiria upande wa pili wasiweze kupanda hii treni daladala ya Pugu gerezani haijai kama zamani kwa maana ya wengi wamezuiwa na uzio ili ukapande treni daladala ni lazima ukavuke hizo kilometers kufata daraja ambao ni sawa na kupita zaidi ya vituo vitatu vya daladala hivyo hauna uchaguzi zaidi ya kupanda daladala tu labda ujio wa BRT mwendokasi utawaokoa watu walioupande wa pili ya reli.Treni daladala siku hizi halijazi sana kama zamani kabla hawajaweka uzio so ni hasara kwa TRC.
Pana huduma za kijamii na kiroho mfano makanisa,shule,mahospitali masoko nk upande wa pili wameathirika.
Ushauri kwa mikoani ambapo mradi unaendelea wajaribu kutoathiri shughuli za kiuchumi kwa kuugawa mji pande mbili ni mateso kwa wakazi husika inauwa biashara inaharibu sura ya mji inapunguza mapato kwa biashara kufa na Kodi zinakosekana.
Bila hivyo Mwanza,Shinyanga,Tabora nk jiandaeni na vilio kama wanavyolia waliowekewa uzio.
Somo kwa mainjia wetu tunapodesign miundombinu jaribuni kukaa na wakazi husika muangalie faida na hasara ya hio design kabla ya ujenzi.
Msichore tu design kwa sababu mnakaa bunju,masaki, mbezi kwa sababu nyie sio wakazi wa maeneo husika,mngekuwa mnaishi maeneo hayo mngejali maisha ya wengine kwani maisha sio reli tu na maisha mengine inapaswa yaendelee.
Mliangali treni tu na sio athari za kiuchumi kwa wakaazi husika baada ya maamuzi yenu.
 
Hizi ni mfano wa karavati box zilizowekwa porini kwa ajili ya mifugo zingewafaa watu mijini kuvukia chini ya reli.zisingeathiri maisha na biashara za watu mijini.
 

Attachments

  • BOX-2BCULVERT-2.jpg
    BOX-2BCULVERT-2.jpg
    33.5 KB · Views: 9
  • Underpass_NorthEnd.jpg
    Underpass_NorthEnd.jpg
    1.2 MB · Views: 7
  • 1674939-628447.jpg
    1674939-628447.jpg
    89 KB · Views: 9
  • Pedestrian-Tunnel-Timelapse-Video-1.png
    Pedestrian-Tunnel-Timelapse-Video-1.png
    2.1 MB · Views: 7
  • boxculv_rev.jpg
    boxculv_rev.jpg
    51.8 KB · Views: 5
  • stacks-image-919abaa-1200x900.jpg
    stacks-image-919abaa-1200x900.jpg
    387 KB · Views: 7
Mfano la njiapanda airport ukitaka kukunja na gari uende majumba sita uende kinyerezi halina pa kukunja,same same la vingunguti ukipita na Lori hakuna pa kukunja uingie viwandani lazima uingilie buguruni
 
Hili ni tuta la reli kwa urefu huu karavati box la mita tano kama hizi likaa vizuri bila shida pande zote mbili za daraja ili watu wapite chini ya reli magari ndio yapite juu ili maisha yaendelee na biashara za pembezone ziamke tena
 

Attachments

  • IMG_20240712_075620_802.jpg
    IMG_20240712_075620_802.jpg
    2.8 MB · Views: 7
  • IMG_20240712_075651_596.jpg
    IMG_20240712_075651_596.jpg
    2.9 MB · Views: 6
  • IMG_20240712_075657_745.jpg
    IMG_20240712_075657_745.jpg
    2.7 MB · Views: 5
  • IMG_20240712_075625_384.jpg
    IMG_20240712_075625_384.jpg
    2.7 MB · Views: 6
  • Pedestrian-Tunnel-Timelapse-Video-1.png
    Pedestrian-Tunnel-Timelapse-Video-1.png
    2.1 MB · Views: 6
  • Underpass_NorthEnd.jpg
    Underpass_NorthEnd.jpg
    1.2 MB · Views: 8
Airport ipasuliwe barabara toka daraja la reli lililojengwa ivukwe mto msimbazi ipite kinyerezi kimara hadi mbezi to tegeta.
Mtu ukitoka airport kwenda tegeta au mbezi uhitaji kupita Tazara ni karibu ikipasuliwa njia hadi kimara toka airport
 
Hizi ni hotel zilijengwa jirani na uwanjani wa ndege kwa ajili ya wasafiri nk zimeathirika baada ya ujio wa daraja usiozingatia athari za kiuchumi kwa watumiaji wengine wa barabara.
Hizi biashara zinalipa Kodi na zimeajiri watu hapa tunakosa Kodi na ajira zimekufa.
Frem nyingi tu zimefungwa sababu watu hawapiti chini wanalazimika kupita juu pasipo sababu
 

Attachments

  • IMG_20240712_075726_565.jpg
    IMG_20240712_075726_565.jpg
    2 MB · Views: 6
  • IMG_20240712_075651_596.jpg
    IMG_20240712_075651_596.jpg
    2.9 MB · Views: 7
  • IMG_20240712_075357_545.jpg
    IMG_20240712_075357_545.jpg
    2.6 MB · Views: 6
  • IMG_20240712_075351_142.jpg
    IMG_20240712_075351_142.jpg
    2.8 MB · Views: 4
  • IMG_20240712_075332_329.jpg
    IMG_20240712_075332_329.jpg
    2.6 MB · Views: 6
Haya madaraja vichunguu yanachafua sura ya jiji na kublock njia za maji maji yatajaa kwenye nyumba za watu kwa sababu hayana pa kutokea,inafaa yajenge porini huko na sio mjini ukiangalia gharama za kuweka nguzo na gharama za kujenga hilo tuta ni ndogo sana, mjini unajenga madaraja ya nguzo ili usizuie hewa,pia maisha mengine yaendelee chini,pia hata maji yanapata sehemu za kupita,pia ni kama sehemu ya utalii hivi na sio kurundika vifusi mjini.Vifusi ni porini.
 

Attachments

  • IMG_20240712_075838_213.jpg
    IMG_20240712_075838_213.jpg
    1.8 MB · Views: 8
  • IMG_20240712_075839_291.jpg
    IMG_20240712_075839_291.jpg
    1.8 MB · Views: 6
  • IMG_20240712_075821_040.jpg
    IMG_20240712_075821_040.jpg
    2.8 MB · Views: 7
Kuweka uzio ni jambo jema lengo ni kulinda uhai.
Lakini kuweka uzio hakukuzingatia athari za kiuchumi kwa wakaazi wa maeneo husika baada ya kuwatenganisha pande mbili ili waweze kuwasiliana ni lazima wafate kivuko ambavyo navyo sio rafiki.
Mfano ili uvuke upande wa pili ni lazima ufate kivuko kilometers moja ukavuka daraja lenye urefu wa mita 500 then urudi tena kilometers moja ulipotoka awali baada ya kuvuka so itakulazimu utembee kilometers tatu sawa na dakika 45 tofauti na zamani kabla ya uzio ambapo ulitumia dakika moja kuvuka upande wa pili ambao ni mita 30.
Hii imeathiri biashara zote za mafrem, mahoteli,bar,nk zilizotegemea mapitio ya watu kabla ya uzio.
Kuanzia vingunguti, airport, majumba sita, Ukonga,gongo la mboto ni kilio kwa kwenda mbele biashara zimekufa watu wanalazimishwa wakapite juu ya madaraja ambayo sio rafiki utadhani kila mtza ana miliki gari.Mfano airport pale ni lango la nchi kimataifa thus pana watz waliwekeza kujenga mahoteli pana hotel kama tano hivi zenye ghorofa zaidi ya nne zote zinaenda kufa kwa sababu ya njia zimefungwa ili ufike kwenye hizo hotel ni mzunguko wake sio wa kitoto.
Achilia biashara zingine kumbuka hawa ni walipa kodi na biashara ni watu na watu ni njia sasa ukifunga njia umeua biashara uchumi utazungukaje ajira ngapi zimekufa.
Check vingunguti ni eneo la viwanda pana malori yanatakiwa yaingie viwandani daraja lipo lakini ni one-way halina sehemu ya malori kukunja ni labda ukaingilie buguruni ucheze na vumbi mwambao wa reli hadi vingunguti inaathiri mda pia barabara sio rafiki.
Halafu sijui nani kawashauri wajenge madaraja vichunguu mjini kuchafua sura ya jiji na kuzuia maji tutegemee vilio vya maji kujaa kwenye majumba ya watu pembeni mwa madaraja sababu wameblock njia za maji bila kuacha matoleo upande wa pili.
Madaraja vichunguu ndo wajenga uhasibu na chang'ombe ukiangalia gharama za kujaza vifusi yaani huo mlima ni gharama za kujenga nguzo kama za daraja la Tazara tofauti yake ni ndogo sana.Madaraja vichunguu ujengwa maporini huko na sio mijini daraja ni kama lile la Tazara chini liwe wazi maisha yaendelee chini na sio unblock upande wa pili,ni aibu kwa mainjia wenzao wakitoka nje ya nchi.
Sijawahi ona madaraja vichunguu katikati ya mji yanachafua mazingira ya mji,daraja linatakiwa liwe kivutio kama sehemu ya utaliie pia.
Ilitakiwa nguzo ziende hadi Pugu ili chini maisha yaendelee kama kawaida ,watu wapite bila vizuizi.Kama gharama za nguzo ni kubwa ilitakiwa treni ianzie Pugu huku nguzo zikijengwa mdogo mdogo kuja mjini.
La imeshindikana ilitakiwa wainue tuta la reli juu mita 6 sehemu zote za vivuko vyenye watu wengi waweke karavati box la urefu wa mita tano kwa tano watu,pikipiki,toroli vipite chini ya reli magari yakapite juu ya hayo madaraja hii isingeathiri biashara za watu kwa kukosa watu.
Mbona mashambani na maporini wamewawekea wanyamapori na mifugo hizo karavati box kupita chini ya reli.
Hata wao TRC wameathirika kimapato kwa kuweka uzio umewazuia abiria upande wa pili wasiweze kupanda hii treni daladala ya Pugu gerezani haijai kama zamani kwa maana ya wengi wamezuiwa na uzio ili ukapande treni daladala ni lazima ukavuke hizo kilometers kufata daraja ambao ni sawa na kupita zaidi ya vituo vitatu vya daladala hivyo hauna uchaguzi zaidi ya kupanda daladala tu labda ujio wa BRT mwendokasi utawaokoa watu walioupande wa pili ya reli.Treni daladala siku hizi halijazi sana kama zamani kabla hawajaweka uzio so ni hasara kwa TRC.
Pana huduma za kijamii na kiroho mfano makanisa,shule,mahospitali masoko nk upande wa pili wameathirika.
Ushauri kwa mikoani ambapo mradi unaendelea wajaribu kutoathiri shughuli za kiuchumi kwa kuugawa mji pande mbili ni mateso kwa wakazi husika inauwa biashara inaharibu sura ya mji inapunguza mapato kwa biashara kufa na Kodi zinakosekana.
Bila hivyo Mwanza,Shinyanga,Tabora nk jiandaeni na vilio kama wanavyolia waliowekewa uzio.
Somo kwa mainjia wetu tunapodesign miundombinu jaribuni kukaa na wakazi husika muangalie faida na hasara ya hio design kabla ya ujenzi.
Msichore tu design kwa sababu mnakaa bunju,masaki, mbezi kwa sababu nyie sio wakazi wa maeneo husika,mngekuwa mnaishi maeneo hayo mngejali maisha ya wengine kwani maisha sio reli tu na maisha mengine inapaswa yaendelee.
Mliangali treni tu na sio athari za kiuchumi kwa wakaazi husika baada ya maamuzi yenu.
Ndiyo maana kule kwa wenzetu sehemu kubwa ya hilo joka limepita chini ya ardhi
 
Kuweka uzio ni jambo jema lengo ni kulinda uhai.
Lakini kuweka uzio hakukuzingatia athari za kiuchumi kwa wakaazi wa maeneo husika baada ya kuwatenganisha pande mbili ili waweze kuwasiliana ni lazima wafate kivuko ambavyo navyo sio rafiki.
Mfano ili uvuke upande wa pili ni lazima ufate kivuko kilometers moja ukavuka daraja lenye urefu wa mita 500 then urudi tena kilometers moja ulipotoka awali baada ya kuvuka so itakulazimu utembee kilometers tatu sawa na dakika 45 tofauti na zamani kabla ya uzio ambapo ulitumia dakika moja kuvuka upande wa pili ambao ni mita 30.
Hii imeathiri biashara zote za mafrem, mahoteli,bar,nk zilizotegemea mapitio ya watu kabla ya uzio.
Kuanzia vingunguti, airport, majumba sita, Ukonga,gongo la mboto ni kilio kwa kwenda mbele biashara zimekufa watu wanalazimishwa wakapite juu ya madaraja ambayo sio rafiki utadhani kila mtza ana miliki gari.Mfano airport pale ni lango la nchi kimataifa thus pana watz waliwekeza kujenga mahoteli pana hotel kama tano hivi zenye ghorofa zaidi ya nne zote zinaenda kufa kwa sababu ya njia zimefungwa ili ufike kwenye hizo hotel ni mzunguko wake sio wa kitoto.
Achilia biashara zingine kumbuka hawa ni walipa kodi na biashara ni watu na watu ni njia sasa ukifunga njia umeua biashara uchumi utazungukaje ajira ngapi zimekufa.
Check vingunguti ni eneo la viwanda pana malori yanatakiwa yaingie viwandani daraja lipo lakini ni one-way halina sehemu ya malori kukunja ni labda ukaingilie buguruni ucheze na vumbi mwambao wa reli hadi vingunguti inaathiri mda pia barabara sio rafiki.
Halafu sijui nani kawashauri wajenge madaraja vichunguu mjini kuchafua sura ya jiji na kuzuia maji tutegemee vilio vya maji kujaa kwenye majumba ya watu pembeni mwa madaraja sababu wameblock njia za maji bila kuacha matoleo upande wa pili.
Madaraja vichunguu ndo wajenga uhasibu na chang'ombe ukiangalia gharama za kujaza vifusi yaani huo mlima ni gharama za kujenga nguzo kama za daraja la Tazara tofauti yake ni ndogo sana.Madaraja vichunguu ujengwa maporini huko na sio mijini daraja ni kama lile la Tazara chini liwe wazi maisha yaendelee chini na sio unblock upande wa pili,ni aibu kwa mainjia wenzao wakitoka nje ya nchi.
Sijawahi ona madaraja vichunguu katikati ya mji yanachafua mazingira ya mji,daraja linatakiwa liwe kivutio kama sehemu ya utaliie pia.
Ilitakiwa nguzo ziende hadi Pugu ili chini maisha yaendelee kama kawaida ,watu wapite bila vizuizi.Kama gharama za nguzo ni kubwa ilitakiwa treni ianzie Pugu huku nguzo zikijengwa mdogo mdogo kuja mjini.
La imeshindikana ilitakiwa wainue tuta la reli juu mita 6 sehemu zote za vivuko vyenye watu wengi waweke karavati box la urefu wa mita tano kwa tano watu,pikipiki,toroli vipite chini ya reli magari yakapite juu ya hayo madaraja hii isingeathiri biashara za watu kwa kukosa watu.
Mbona mashambani na maporini wamewawekea wanyamapori na mifugo hizo karavati box kupita chini ya reli.
Hata wao TRC wameathirika kimapato kwa kuweka uzio umewazuia abiria upande wa pili wasiweze kupanda hii treni daladala ya Pugu gerezani haijai kama zamani kwa maana ya wengi wamezuiwa na uzio ili ukapande treni daladala ni lazima ukavuke hizo kilometers kufata daraja ambao ni sawa na kupita zaidi ya vituo vitatu vya daladala hivyo hauna uchaguzi zaidi ya kupanda daladala tu labda ujio wa BRT mwendokasi utawaokoa watu walioupande wa pili ya reli.Treni daladala siku hizi halijazi sana kama zamani kabla hawajaweka uzio so ni hasara kwa TRC.
Pana huduma za kijamii na kiroho mfano makanisa,shule,mahospitali masoko nk upande wa pili wameathirika.
Ushauri kwa mikoani ambapo mradi unaendelea wajaribu kutoathiri shughuli za kiuchumi kwa kuugawa mji pande mbili ni mateso kwa wakazi husika inauwa biashara inaharibu sura ya mji inapunguza mapato kwa biashara kufa na Kodi zinakosekana.
Bila hivyo Mwanza,Shinyanga,Tabora nk jiandaeni na vilio kama wanavyolia waliowekewa uzio.
Somo kwa mainjia wetu tunapodesign miundombinu jaribuni kukaa na wakazi husika muangalie faida na hasara ya hio design kabla ya ujenzi.
Msichore tu design kwa sababu mnakaa bunju,masaki, mbezi kwa sababu nyie sio wakazi wa maeneo husika,mngekuwa mnaishi maeneo hayo mngejali maisha ya wengine kwani maisha sio reli tu na maisha mengine inapaswa yaendelee.
Mliangali treni tu na sio athari za kiuchumi kwa wakaazi husika baada ya maamuzi yenu.
SGR ILITAKIWA KUPITA JUU HADI PUGU
 
Hizi ni mfano wa karavati box zilizowekwa porini kwa ajili ya mifugo zingewafaa watu mijini kuvukia chini ya reli.zisingeathiri maisha na biashara za watu mijini.
Makosa yaliyopo kwenye huo mradi wa Reli ya SGR yalianzia toka kwenye Designing Stage, Plan yake toka mwanzo ilikuwa mbaya sana na mbovu.

Duniani kote kabisa, Reli na Treni za namna hiyo kwenye maeneo ya mijini huwa zinapita Chini ya Ardhi (Underground Railroad Networks) au zinapita juu kwenye madaraja ya juu. (Overhead-bridges Railroads), wala huwa hazipiti chini kwenye usawa wa Ardhi (On Surface Railroads) kama walivyofanya TRC kwa Reli hiyo ya. SGR hapa Tanzania.
 
Makosa yaliyopo kwenye huo mradi wa Reli ya SGR yalianzia toka kwenye Designing Stage, Plan yake toka mwanzo ilikuwa mbaya sana na mbovu.

Duniani kote kabisa, Reli na Treni za namna hiyo kwenye maeneo ya mijini huwa zinapita Chini ya Ardhi (Underground Railroad Networks) au zinapita juu kwenye madaraja ya juu. (Overhead-bridges Railroads), wala huwa hazipiti chini kwenye usawa wa Ardhi (On Surface Railroads) kama walivyofanya TRC kwa Reli hiyo ya. SGR hapa Tanzania.
Ni kiwakilishi cha tabia zetu watz za ubinafsi wangekuwa wanakaa maeneo husika au wamewekeza maeneo husika wangekuja na design rafiki kwa watumiaji wengine
 
Wao walichojali ni tren ipite tu hizo athari zingine za kiuchumi kwa watumiaji wengine wa njia haziwahusu kwa sababu wao sio wakaazi wa maeneo hayo.
 
Ni kiwakilishi cha tabia zetu watz za ubinafsi wangekuwa wanakaa maeneo husika au wamewekeza maeneo husika wangekuja na design rafiki kwa watumiaji wengine
Tatizo Siyo wabinafsi kama unayofikiria, tatizo ni kuwa Wana upeo mfupi kuhusiana na masuala haya ya Mipango-miji na Maendeleo ya Ujenzi wa Miundombinu Bora ya Usafiri wa Treni, a Short-sighted mind people. Hapo ndipo upeo wao wa kufikiri ulipoishia. Aidha, kukosa exposure ya duniani ni tatizo lingine pia wanalokabiliwa nalo hao wenzetu.
 
Back
Top Bottom