bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
- Thread starter
- #41
Pana wazee wanashindwa kupanda madaraja pana watu wana allergies na madaraja hawawezi panda juu kwa sababu ya kizunguzungu wakiangalia chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya Stesheni ya Jakaya Kikwete Morogoro na Ngerengere kilometa 50 hakuna kituo. Sasa lengo ilikuwa kufungua maeneo husika mbona wakazi wa Fulwe, Mikese, Mkambarani na Kingolwira wote wanateseka kulazimika kufuata huduma kihonda mwishoUmeongea ukweli Mtupu.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Wenzetu Kenya SGR limepita juu Kwa juu koteSGR ILITAKIWA KUPITA JUU HADI PUGU