TRC SGR wasirudie makosa ya ujenzi waliyofanya Dar kwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora nk

TRC SGR wasirudie makosa ya ujenzi waliyofanya Dar kwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora nk

Tatizo Siyo wabinafsi kama unayofikiria, tatizo ni kuwa Wana upeo mfupi kuhusiana na masuala haya ya Mipango-miji na Maendeleo ya Ujenzi wa Miundombinu Bora ya Usafiri wa Treni, a Short-sighted mind people. Hapo ndipo upeo wao wa kufikiri ulipoishia. Aidha, kukosa exposure ya duniani ni tatizo lingine pia wanalokabiliwa nalo hao wenzetu.
True, nadhani pia huweka uncenneccary nyingi ili wapige, wana design bila kujua tabia za watumiaji check mfano daraja miguu la mbezi stand to Maghufuli aina ile ya madaraja huwa inawekwa kwenye maeneo ambayo ardhi imeinuka barabara ipo chini mfano wa lile la miguu la kawe mbezi
Hapakuwepo na ulazima wa kuweka daraja la juu pale ilitakiwa karavati box gari zipite juu watu wapite chini ili kusave time ya kuvuka upande wa pili kwa makundi yote ya watu mazingira Yanaruhusu pale pameinuka athari za maji ni ndogo.
Na ndio uchafu huo huo walioufanya madaraja tuta ya uhasibu na chang'ombe yanachafua sura ya mji hakuna gharama walizoepuka kama wangeweka nguzo badala ya tuta.
 
Na TRA wanaendelea kutaka kodi kubwa bila kujali kupunguwa kwa biashara.
Hizi ni frem zimefungwa kwa kukosa biashara,zilikuwa zimejaa plus meza kibao za wajasiliamali na hio ni njia ya waenda kwa miguu na magari kuvuka reli kabla ya daraja imefungwa wote wanapita juu umbali wa mita 700 ndipo urudi point yako ya awali.biashara ni watu na watu ni njia.
Hapa uchumi umekufa Mwigulu apati tena Kodi ajira zimekufa.
Inatakiwa Mwigulu amlinde kila mlipa kodi asiathirike.
Mbele ni hotel zimeathirika kwa ujio wa daraja.
 

Attachments

  • IMG_20240713_125801_816.jpg
    IMG_20240713_125801_816.jpg
    2.5 MB · Views: 3
  • IMG_20240713_125800_381.jpg
    IMG_20240713_125800_381.jpg
    2.2 MB · Views: 3
  • IMG_20240713_125651_340.jpg
    IMG_20240713_125651_340.jpg
    2.5 MB · Views: 2
  • IMG_20240713_125651_357.jpg
    IMG_20240713_125651_357.jpg
    2.7 MB · Views: 3
  • IMG_20240713_073957_074.jpg
    IMG_20240713_073957_074.jpg
    3 MB · Views: 3
  • IMG_20240713_073956_386.jpg
    IMG_20240713_073956_386.jpg
    2.9 MB · Views: 3
  • IMG_20240713_125817_940.jpg
    IMG_20240713_125817_940.jpg
    2.3 MB · Views: 4
  • IMG_20240713_125824_685.jpg
    IMG_20240713_125824_685.jpg
    2.4 MB · Views: 2
Madaraja yenyewe ni ya kujenga maporini na sio mjini yanachafua mji na kublock njia ya maji yanajaa kwenye nyumba za watu sababu hayana pa kutokea walishindwa nini kuweka nguzo ili watu ,hewa na maji yapite chini maisha mengine yaendelee.
Gharama za kujenga nguzo na kutengeneza hilo tuta hazipishani.
Wanadhalilisha taaluma ya ukandarasi nchini dhidi ya makandarasi wa nje wanaopanga miji yao
 

Attachments

  • IMG_20240713_130659_387.jpg
    IMG_20240713_130659_387.jpg
    2.6 MB · Views: 3
  • IMG_20240713_125956_135.jpg
    IMG_20240713_125956_135.jpg
    2.3 MB · Views: 4
  • IMG_20240713_130025_341.jpg
    IMG_20240713_130025_341.jpg
    3.1 MB · Views: 2
  • IMG_20240713_125818_383.jpg
    IMG_20240713_125818_383.jpg
    2.3 MB · Views: 1
  • IMG_20240713_130700_619.jpg
    IMG_20240713_130700_619.jpg
    2.4 MB · Views: 2
  • IMG_20240713_130700_303.jpg
    IMG_20240713_130700_303.jpg
    2.3 MB · Views: 3
  • IMG_20240713_130806_320.jpg
    IMG_20240713_130806_320.jpg
    2.9 MB · Views: 3
Huu ni uzio umewekwa kuzuia watu wasipite juu ya reli wakatumie daraja daraja jingine ni kilometers 2 wakazi wa katikati wametenganishwa na wavu wamefunga njia zote za kuvukia reli ukitaka kwenda iwe kanisani, msikitini, shuleni, hospital, sokoni ni lazima ukapande daraja mzunguko mzima utakugharimu kilometers mbili hadi tatu si zaidi ya dakika 45.
 

Attachments

  • IMG_20240713_125817_940.jpg
    IMG_20240713_125817_940.jpg
    2.3 MB · Views: 3
  • IMG_20240713_125818_383.jpg
    IMG_20240713_125818_383.jpg
    2.3 MB · Views: 3
  • IMG_20240713_130025_341.jpg
    IMG_20240713_130025_341.jpg
    3.1 MB · Views: 3
Makosa yaliyopo kwenye huo mradi wa Reli ya SGR yalianzia toka kwenye Designing Stage, Plan yake toka mwanzo ilikuwa mbaya sana na mbovu.

Duniani kote kabisa, Reli na Treni za namna hiyo kwenye maeneo ya mijini huwa zinapita Chini ya Ardhi (Underground Railroad Networks) au zinapita juu kwenye madaraja ya juu. (Overhead-bridges Railroads), wala huwa hazipiti chini kwenye usawa wa Ardhi (On Surface Railroads) kama walivyofanya TRC kwa Reli hiyo ya. SGR hapa Tanzania.
ivoery coast wameanza ujenzi wa subway kama London kabisa. tulitakiwa tuwe nazo hizo bongo au mwanza, dodoma etc.
 
Nini kifanyike kurejesha biashara na ajira zilizopotea still muinuko wa tuta la reli unatosha kuweka karavati box la mita nne upana pande zote pembeni mwa daraja na kila baada ya umbali wa mita 300 ili maisha yaendelee kwa wakazi husika.
Kwa ajili ya watu, pikipiki na magari yakapite juu ya daraja.
Masaa sita tu yanatosha kuweka karavati box bila kuathiri safari za treni.
1.Unajenga karavati box unasomba jirani na eneo.
2.Unaleta vifaa
3.Kufungua lock za kipisi cha reli na kuiweka pembeni dakika 30, kuchimba na kuondoa udongo kwa kijiko dk 45 .
3.Kuweka na kuseti box dk 50
4.Kurejesha reli kufunga bolt na kuweka level dk 30
Ndani ya masaa sita tu umemaliza eneo moja kesho unahamia kwingine , maisha yanaendelea.
Kuliko hii ya kuathiri biashara za watu uchumi unakufa, ajira zinakufa, mikopo hairudishiki,treni la mwakyembe kukosa abiria kwa sababu abiria wengi wamezuiliwa na uzio.
Wazee wanalalamika urefu wa daraja kupanda huo muinuko so wapo kama kisiwa.
 

Attachments

  • Screenshot_20240713-171625.jpg
    Screenshot_20240713-171625.jpg
    558.4 KB · Views: 3
Kwa mawazo yangu mafupi stesheni kuu ingekuwa Pugu,Haya yote yasingetokea ingekuwa fursa nzuri kwa treni ya Mwakyembe na Mwendo kasi ya Gongolamboto kufanya kazi ipasavyo na shughuli za kiuchumi humo walimofunga njia zingeendelea
Asante sana Great thinker. Bonge la wazo.
 
Wakandarasi wetu tuache ubinafsi wa kutowashirikisha wadau na watumiaji wa hio miradi mnayoplan.
Mnakuja na michoro yenu mnawapa wananchi kisha mnasikiliza mawazo yao then mnaenda kukaa kuchora kwa kuowanisha mawazo yenu.
Ndo haya haya tunaona watu wanakata uzio mfano daraja la manzese la buguruni mnapochora ramani mnazingatia tabia za watz?
Thus sio kudumu kwa huo uzio wataukata ili wapate kupita kama wanakata vyuma ili wapite sembuse waya.
 
Check tu hata daraja la Maghufuli stand to Mbezi daladala stand sio rafiki kuvuka tu unahitaji dakika 10 tofauti na kama wangejenga daraja la chini magari yapite juu watu wapite juu pale mazingira Yanaruhusu kwa sababu pana muinuko tena kwa gharama ndogo kuliko kujenga hilo daraja la juu.
Ilitakiwa tu mtu anadumbukia chini anatokea upande wa pili dakika sifuri tu,haya madaraja wazee na wenye shida za miguu wanapata sana tabu.
 
Kama wameweza wawekea mifugo na wanyama pori makaravati box ili wapite chini ya reli wasigongwe na treni ilishidikana nini kwenye makazi ya watu
 
Yaah zamani yalikua yanakunja tu, ila sasa hivi pamezibwa, pia wanaopanda treni kama upo upande wa pili itachukua muda kuvuka daraja ili ukapande treni.
Hawakufikiria hilo imewapunguzia sana mapato sababu abiria wengi wamezuiwa na fence kupanda treni labda ukazunguke kilometers 2 au tatu
 
Halafu hayo madaraja vichunguu waliyoweka yanablock maji tutegemee maji kujaa kwenye nyumba za watu
 
Airport ipasuliwe barabara toka daraja la reli lililojengwa ivukwe mto msimbazi ipite kinyerezi kimara hadi mbezi to tegeta.
Mtu ukitoka airport kwenda tegeta au mbezi uhitaji kupita Tazara ni karibu ikipasuliwa njia hadi kimara toka airport
Mbona hii njia ipo miaka mingi tu,ukitoka airport-majumba sita-utachagua upite kinyerezi utokee mbezi mwisho au segerea utokee kimara mwisho
 
Mbona hii njia ipo miaka mingi tu,ukitoka airport-majumba sita-utachagua upite kinyerezi utokee mbezi mwisho au segerea utokee kimara mwisho
Achana na hio wapasue nyingine kubwa kama ya Mandela road
 
Back
Top Bottom