Shida hapa sio muda wa kufika bali uhakika wa kufika kwa BEI nafuu na kuepusha watu kukodi daladala kwenda Moshi. Kama wewe unajali muda basi panda Air Tanzania, Precision Air, KQ au Euric Air. Vinginevyo tumia gari lako binafsi.
Kusafiri kwa treni ni raha hasa kwa kufanya utalii wa ndani ya nchi unapopita maeneo ya madaraja, mbuga, na mapori ambayo treni inapita. Hata mimi nilitoka Michigani kwenda Chicago kwa treni ili kufanya utalii tu sio kwa kukosa hela ya basi au ndege.
Na ukapiga mashine on you wayHapo kwenye kulala sijaelewa ....
kwa hivyo unaweza kununua kiji room kabisa!?
Kipi cha kushangaza hapo? Tatizo Lindi hamjawahi kuona treni mmekalia ulozi na unyago tu
Sio kila swali linastahili majibu ya moja kwa moja. Hii reli ya kwenda Moshi ni ile ya kizamani sana, hivyo hutegemei speed yake iwe sawa na basi. Kwa vyovyote vile basi litakwenda haraka kuliko treni ya aina hii. Piga hesabu mwenye speed ya 30-40KM/h safari itakuwa ya masaa mangapi? lazima ujiongeze mkuu. Uzuri wake nyiani haitakutana na matuta wala tochi za barabarani wala foleni za mjini.kwani mkijibu nini kinapungua? maana naona mnakwepakwepa tu.
Saa kumi na moja uko Rombo na kitochi mkononi, huku jikoni mdudu anaunguza mafuta.Nitapanda hata meridian uhakika saa kumi upo marangu cha jioni hata hakijabandikwa jikoni
Kwenye treni kuna vyumba vya binafsi, watu wanne na jumuia, pia kuna baa ina kaunta na stuli na meza za wanywaji pia kuna sehemu ya chakula kama hoteli vile.Hapo kwenye kulala sijaelewa ....
kwa hivyo unaweza kununua kiji room kabisa!?
Siku hizi ni sawa Kwa wote. Tren itaondoka saa 12.00 Joni. Na kuwalaumu saa 01.00/02,00.asubuiSio kila swali linastahili majibu ya moja kwa moja. Hii reli ya kwenda Moshi ni ile ya kizamani sana, hivyo hutegemei speed yake iwe sawa na basi. Kwa vyovyote vile basi litakwenda haraka kuliko treni ya aina hii. Piga hesabu mwenye speed ya 30-40KM/h safari itakuwa ya masaa mangapi? lazima ujiongeze mkuu. Uzuri wake nyiani haitakutana na matuta wala tochi za barabarani wala foleni za mjini.
... acha hizo stori; ni nini cha ajabu kilichopo along the railway kwa mazingira ya Tanzania? Zaidi ya makazi duni na vibanda vya ajabu ajabu kuna nini cha kufanya utalii? And by the way, zaidi ya 60% ya railway Dar-Moshi iko parallel na barabara so hakuna kipya maana scene ni ileile ukitumia usafiri wa barabara!...
Kusafiri kwa treni ni raha hasa kwa kufanya utalii wa ndani ya nchi unapopita maeneo ya madaraja, mbuga, na mapori ambayo treni inapita. Hata mimi nilitoka Michigani kwenda Chicago kwa treni ili kufanya utalii tu sio kwa kukosa hela ya basi au ndege.
Hapo kwenye kukaa, ni mkao wa chaimaharage au wote mnatazams upande mmoja! Kuna waume za watu!Shirika la Reli Tanzania, TRC linawatangazia watu wote kuwa safari za treni la biria kutoka Dar kuelekea Moshi zitarejea rasmi mwanzoni mwa mwezi Desemba mwaka 2019
Nauli Dar - Moshi inategemewa kuwa ifuatavyo:
- Daraja la tatu Tsh. 16,500
- Daraja la pili kukaa Tsh. 23,500
- Daraja la pili kulala Tsh. 39,100
View attachment 1267371
Wameboresha kwa sasa inatembea kwa speed yA 70km/hr sasa sijajua hadi Moshi ina cover KM ngapi ukujua hapo unafanya zile hesabu za velocity unapata masaaSio kila swali linastahili majibu ya moja kwa moja. Hii reli ya kwenda Moshi ni ile ya kizamani sana, hivyo hutegemei speed yake iwe sawa na basi. Kwa vyovyote vile basi litakwenda haraka kuliko treni ya aina hii. Piga hesabu mwenye speed ya 30-40KM/h safari itakuwa ya masaa mangapi? lazima ujiongeze mkuu. Uzuri wake nyiani haitakutana na matuta wala tochi za barabarani wala foleni za mjini.
Deluxegogo nauli bei gani ni ile ya delax au hii ordinary
Yaani reli iuliwe na CCM halafu tuishobokee CCM kwa kuitengeneza? Tusionane mafala.KISHINDO CHA AWAMU YA TANO. ILANI IMETEKELEZWA.
Wakata tiketi watakosa dili za kulangua tiketi (tiketi za dili). Pia waboreshe wahudumu kwenye treni isije kuwa sawa na Air TambarareHii treni itakuwa poa sana ila changamoto itakuwa kwenye booking na ticketing...TRC wawekeze kwenye mfumo ambao utakuwa unamruhusu mtu kukata ticket mtandaoni, kwa mfano mfumo wa shabiby na Darlux, mtu unachagua seat, unabook na kulipia kwa simu na system inakutumia ticket yako kwenye email instantly...wakazi wa hiyo mikoa hustle za kwenda mpaka stesheni kukata ticket zitawashinda.
Mfumo huu unaweza kutoa hata ajira kwa agents kuwakatia ticket wale wasioelewa namna ya kufanya mambo mtandaoni
daraja la tatu mnakaa wengi kwenye behewa kama vile kwenye basi na huduma nyingine chache. Lakini kuna viti pia, madirisha, choo nk. Tofauti ni idadi ya watu kwa chumba na huduma zingine za kulala na kupunzika na misosi