ππππππ Wanaojali ubora ni wale wenye Range Rover na VX-R zao ambazo zitatembelea full tank mwezi mzima wa sikukuu huku wakisubiria Yesu azaliwe na kusheherekea kupunguza mwaka mmoja wa Al-Haji Jiwe madarakani.Wameweka mabehewa ya aina gani?
Je safari itatumia masaa mangapi?
HAWA JAMAA ZETU HUWA WANAJALI SANA UBORA,SIO SAWA NA WALE WANAOSAFIRI NA MAJIKO YAO NA KUANZA KUPIKIA HUMO HUMO.
π€£π€£π€£π€£π€£ lini hiyo mbona sijawahi kuisikia mangi?Hahaa kwamba wanataka waanze kuoanisha speed yahiyo treni na speed ya KILIMANJARO COACH ..
Hahaa duh najikuta nacheka sana hapa nikikumbuka ile kauli ya mkulu aliyosema kama unataka speed kapande ndege ya jeshi
Nop unanunua upande wa kitanda, sema nashauri wasisahau kutuwekea USB port. Lasivyo utakuwa upumbavu kukaa kwenye treni af simu inakuzimia chaji njianiπππHapo kwenye kulala sijaelewa ....
kwa hivyo unaweza kununua kiji room kabisa!?
Unauelewa gani kuhusu neno "UBORA"...?ππππππ Wanaojali ubora ni wale wenye Range Rover na VX-R zao ambazo zitatembelea full tank mwezi mzima wa sikukuu huku wakisubiria Yesu azaliwe na kusheherekea kupunguza mwaka mmoja wa Al-Haji Jiwe madarakani.
Hao wanaowaza kupanda mabasi ni wale kajamba nani wenzetu. Hivyo hata wakitumia daraja la tatu kusimama mradi wafike panapofuka Moshi.
π€£π€£π€£π€£π€£ shida ni kwamba gogo halitatosha!Kina mangi wenye mabasi wakalime sasa
Kwa Wewe andaa tu hela ya bus usiumize kichwaHivi kutoka dar hadi moshi kwa gari moshi unatumia muda gani?
Maana wengine tuna trh 25 na 26 tu dec.
Unaondoka dar 24 mchana/jion na kurudi trh 26 jion.
Naunga mkono hoja [emoji106][emoji106]
Wasipoweka USB na A/C itakula kwao! Haiwezekani nikajipepee kwa gazeti wakati nikiongeza elfu 10 kwenye hio nauli napanda chombo full A/C na kuchaji simu yangu bila wasiwasi.Labda nipande kwa utalii wa ndani lakini kwa aina ya mabus luxury mapya yanayofanya safari kwenda Dar-Moshi-Arusha kwa bei ya 35-40 sioni sababu ya kupanda treni ya enzi za mkoloni.
Wakata tiketi lazima wamalizie mijengo yao Disemba hiiπ€£π€£π€£π€£π€£ shida ni kwamba gogo halitatosha!
Una digrii ngap mpaka sasa?Naishauri serikali kwa vile ndio ipo kwenye majaribio wafanye bure wiki nzima kama walivyofanya kwenye mwendo kasi[emoji848][emoji134]
Arawa darasani ulikuwa unapata ngapi ?ni hivi kutoka dar ni muda gani mpaka ifike moshi itakuwa saa ngapiDestination ni MOSHI tu? Hakuna wa kushukia njiani?
Kaka maelendeleo kwaajili ya umma hayatoi kipaumbele kwa maendeleo na haki ya mtu mmojammoja. Fidia ya mtu mmoja haiwezi kupambana na mahitaji ya watu wengi (umma). Mfano, mgahawa wako unaweza kufungwa au hata kubomolewa wakati wa mlipuko wa kipindupindu kama njia ya kunusuru watu dhidi ya ugonjwa wa kipindupindu. Fidia utapewa hapo hapo au hata baadae ili mradi usicheleweshwe na wewe mtu mmoja.Mawazo yako ni ya kipumbavu. Ni mawazo yasiyojua kuwa haya mambo hufanyika kwa kodi za wananchi kwa hiyo hayapaswi kuwa SIASA kila yanapozungumzwa.
Hakuna mtu timamu wa akili mwenye kuyakataa maendeleo. Lakini haimaanishi kwa kuwa unajenga njia ya reli basi ukidhulumu fidia ya mali za watu unazozibomoa kwa ajili ya ujenzi unapata uhalali kwa kuwa reli ni maendeleo. Tufikie sehemu tuwe tunatumia akili zetu kabla ya kuropokaropoka na kubwatuka kama wehu.
Sidhan kama waliwaza hayo. TRC wawe na USB & full AC njia nzima? I doubtWasipoweka USB na A/C itakula kwao! Haiwezekani nikajipepee kwa gazeti wakati nikiongeza elfu 10 kwenye hio nauli napanda chombo full A/C na kuchaji simu yangu bila wasiwasi.
Waboreshe kwanza Cabin za mabehewa ziwe comfortable. Watu wa wiring wamejaa VETA. Wawatumie hao kufanya interior designing za infotainment systems, upholstlery n.k ili ku keep pace na mabasi ya mkoani.
Wakiendeleza uzembe wa siti ngumu kama vigoda na uchafu ndani ya cabin anguko lao halitachukua muda.
π€£π€£π€£π€£π€£ CCTV ya nini wakati we umelipia nauli yako babu! unafika Moshi ukiwa mwepeesiiiπππVyumbani humo patachimbika labda pawe na CCTV
Kaka yuko sahihi maana hajui wewe utapandia wapi kwenda moshi, lakini hata Tanga kuna reli ya kwenda moshi, hata wao wanaweza kusafirishwa kwa treni kama mahitaji yatakuwepo.Acha usaniii wewe kwa Hiyo treni inatokea malawi si Dar /Moshi unavyosema kutokea wapi acha uswahili
Watawauzia Na Power bank njianNop unanunua upande wa kitanda, sema nashauri wasisahau kutuwekea USB port. Lasivyo utakuwa upumbavu kukaa kwenye treni af simu inakuzimia chaji njianiπππ
Watakuwa wajinga wa dunia basi, kununua USB switches na LED screens na kuzipachika kwa kila cabin sio jambo gumu. They have to do it to keep pace na wafanyabiashara wengine. Hata ikibidi first class pawe na hizo accessories plus A/C.Sidhan kama waliwaza hayo. TRC wawe na USB & full AC njia nzima? I doubt
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ ufalaaa!!!Watawauzia Na Power bank njian