TRC yatangaza kurejesha huduma za treni ya abiria kutoka Dar kwenda Moshi

December sio tu nauli zinapanda sana bali hata mabasi hayatoshi, hiyo elfu 10 unayosema wewe inaonyesha umekosa tu uelewa wa kuidadavua hii mada. Hayo unayoyasema yatawezekana tu kama watu wengi watakuwa wamesafiri na treni hivyo mtakaobaki ndiyo mtakaoweza ku enjoy hiyo nauli ya basi unayosema.
 
Kwenye kulala hapo nimeona vitanda vinne inamaana kila kitanda mnalipia au hio bei niyachumba kizima
Chumba kizima utalipia vitanda vyote mkuu, 39,000 x 4= ________

Jibu lake ndio litakupa chance ya wewe kufanya uasherati na mwenzio bila bugudha ya abiria wengine.
 
Ni mabasi mangapi nchini yanawasha AC njia nzima, na ni mabasi mangapi nchini yana UBS? bingwa wa kupotosha wewe, hata kwenye ndege na boats za Azam sijaona UBS.
 
Hahahaha basi itabidi nibaki huku tu mpaka Yesu azaliwe mkuu.
 
Ni mabasi mangapi nchini yanawasha AC njia nzima, na ni mabasi mangapi nchini yana UBS? bingwa wa kupotosha wewe, hata kwenye ndege na boats za Azam sijaona UBS.
Kwa kukusahihisha kwanza nianze na USB na sio UBS!

Swala la kuwepo ama kutokuwepo liko based kwenye ushindani zaidi.

Ukiangalia BM Coach, Marangu Coach, Dar Lux hawa ndio leading brands wenye premium trim ya mabasi kwa njia hio. Sasa unapotaka kuwahamisha watu lazma uwape sababu kwanini wahamie kwako.

Ni ngumu sana kumuhamisha mtu ati kisa umemjengea nyumba mpya ambayo kimsingi ina hadhi ya chini kuliko ile alieko nayo sasa kwa facilities na kila kitu. Kwa mfano, umtoe mtu Upanga umpeleke kwenye nyumba ya room mbili porini chanika au vikindu bila kumpa sababu za msingi au ushawishi. Lazma umshawishi na aone faida ya kuhamia Chanika against Upanga, kibiashara huwa iko hivyo. Cost ya nauli iko chini ni sawa ila je, nini faida ya ku compromise speed na comfort ya basi lenye nauli kubwa against treni yenye bei nafuu? Hio ni Logic thinking!

Ni kichaa pekee ambaye atakubali kuhama katika mazingira kama hayo, isitoshe ni biashara. Sasa hili lina uhusiano wa moja kwa moja na hao mabwana Reli.
 
Hiyo ni kwa mujibu wa sheria au hisia zako? Mimi nijuavyo, haki ni haki hata kama ya mtu mmoja. Justification ya watu 6 kumchinja na kumla nyama mtoto mdogo kwa kuwa hana misuli ya kujitetea kwa kisingizio cha kuogopa kufa na njaa ndio mfano unaofanana na haya unayonisimulia hapa. Nikukumbushe tena nazungumzia MTU KUFIDIWA na sio KUTOKA AU KUBAKI.
 
Wanavizia jamaa wanavoenda kuhesabiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…