TRC yatolea ufanunuzi kuzimika kwa treni ya SGR Julai 30, 2024 katikati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete

TRC yatolea ufanunuzi kuzimika kwa treni ya SGR Julai 30, 2024 katikati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete

najiuliza sana hivi tumbili na Bundi wanawezaje kukata umeme ?View attachment 3058458
Serikali ilitafuta scapegoat tu hapa..
Moja ya ujinga wa Watanzania ni kutowajibika wenyewe na kutafuta sababu ya kumsukumia mwengine kwa kila baya.

Hapo ilitakiwa kadogosa awajibike kwa kutufanya wote wajinga.

Wana "telemetry system" za kisasa kabisa kuweza kuelewa hata mabadiliko ya joto kwenye reli nzima, watashindwa kuelewa kuwa sasa kuna bundi na ngedere wananyemelea na wakafukuzwa kwa mashine za kuwafukuza?

Yaani wanatwambia kuwa mfumo wa usalama wa reli upo kijinga kiasi hicho? Hapo ni uzembe wa watu tu, wasisingizie wanyama.
 
Binadamu huwa tunapenda Sana ku-decline responsibility na hii ndo huwa tiketi ya Ku-stumble


Tungetumia busara ya kuomba radhi it could make sense.

Tuwe na utamaduni wa kuomba msamaha pale inapotokea double standard.
 
Hivi,kama hiyo treni ingekuwa ni ndege inayotumia umeme na ipo angani,nini kingetokea?Na kama kweli treni hiyo inatumia umeme na mafuta kwa uchaguzi wa mtumiaji,kwa nini mafuta hayakuwekwa kabisa kabla ya safari?Hakuna bajeti ya mafuta?Au walihofia ikibeba na mafuta itakuwa nzito kusereleka?
 
Hivi,kama hiyo treni ingekuwa ni ndege inayotumia umeme na ipo angani,nini kingetokea?Na kama kweli treni hiyo inatumia umeme na mafuta kwa uchaguzi wa mtumiaji,kwa nini mafuta hayakuwekwa kabisa kabla ya safari?Hakuna bajeti ya mafuta?Au walihofia ikibeba na mafuta itakuwa nzito kusereleka?
Akili zako bana, ndege itumie umeme halafu umeme ukatike angani siyo!!?
 
Hahahaha!
Huenda ni kweli
Maana hata saa mbovu Kuna muda inasema(ga) ukweli.
 
Mama Samia ni mstahamilivu sana lakini ana kikomo cha ustahamilivu na mifano kishaionesha. Kodogosa awache uongo la sivyo anakwenda na maji. Bahari haijakupwa.
Tuwapee mudaa madam
 
WEKA WI-FI, WEKA WI-FI, HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NDOGO TU!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI

⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI

⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA NDANI YA MDA MFUPI

GHARAMA NI NAFUU SANA, ( pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa )
NICHEKI: 0717700921
 
Back
Top Bottom