TRC yatolea ufanunuzi kuzimika kwa treni ya SGR Julai 30, 2024 katikati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete

TRC yatolea ufanunuzi kuzimika kwa treni ya SGR Julai 30, 2024 katikati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete

Huo waweza kuwa ndiyo ujinga na uzembe wenyewe.
Wangeweza vipi kuindoa hapo wakati haitumii mafuta?
Mjinga na mzembe yupi, aliyedanganya umma kuwa zinauwezo wa kutumia umeme na mafuta?

Sijui huyo mama kesho atazindua ipi?
Inayoogopa Bundi na Ngedele au kama ipo tuliyoambiwa!
 
Hii nchi sijui nikipi kitakuja kifanyike kwa unyoofu pasipo kutokea visingizio wallah....
Angekuwepo John, hapo lazima kuna mtu angewajibika qudadadeqi....☹️
Wanajiandaa kwa tukio lingine leo
20240731_203717.jpg
 
Ile mfumo wa treni kufua umeme/kuhifadhi umeme imekuaje tena?
 
Kwa hiyo fungu maalum litatengwa ili kutumika kuwaangamiza bundi na ngedere?
 
Habari ndugu zangu
 

Attachments

  • FB_IMG_1722491739748.jpg
    FB_IMG_1722491739748.jpg
    48 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1722492281277.jpg
    FB_IMG_1722492281277.jpg
    55 KB · Views: 2
Back
Top Bottom