NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
Wangeweza vipi kuindoa hapo wakati haitumii mafuta?Huo waweza kuwa ndiyo ujinga na uzembe wenyewe.
Mjinga na mzembe yupi, aliyedanganya umma kuwa zinauwezo wa kutumia umeme na mafuta?
Sijui huyo mama kesho atazindua ipi?
Inayoogopa Bundi na Ngedele au kama ipo tuliyoambiwa!