Duuuuh, mkuu sina udalali Wala uuzaji pawatila mimi ni kapuku naunga unga maisha sina hata 100 mbovu, kutoa ushauri sio dhambi kiongozi.Wewe unaonekana ni dalali ama muuza ma power tiller.
Na hizi mvua za kusua sua apoteze , da wa mwezi Kwa kulima eka 70 tu wakato akipata trekta hizo heka anapiga siku 3 TU .
Dhambi inakuja pale unapompa mtu ushauri wa kumpotoshaDuuuuh, mkuu sina udalali Wala uuzaji pawatila mimi ni kapuku naunga unga maisha sina hata 100 mbovu, kutoa ushauri sio dhambi kiongozi.
Bei za hizo trekta zikoje?.Kama hutojali na kutokana na kazi unayoifanya ya kilimo Cha mpunga ungepata pawatila Siam Kubota. Kwa upande wa trekta usijali kikubwa angalia spea/ vipuli zake zinaingiliana na kampuni gani na upatikanaji wake upoje. Baadhi ya trekta likizingua unageuza kichanja hata Kama unahela, na nyingine huwa zinaharibika Mara Kwa Mara hasa pampu.
Trekta ukinunua Kwa keshi itakua poa Sana kuliko kukopa. Mfano Efta ilikua ukikopa marejesho ni Kila mwezi Kwa miaka mitatu na Kuna vigezo vya shamba na kiingilio lakini ukifeli marejesho hata Kama umebakiza miezi miwili liwe lako wanabeba.
Ukinunua pia utatakiwa kununua majembe na rota na angalau trela kwaajili ya kubebea mizigo wakati wa kiangazi au uwe unakodi.
Kuhusu pawatila utapata Kwa milioni 12 ikiwa complete na Kama ukiwa na pesa za kutosha unaweza kununua mbili. Ukiwa nazo mbili hapo mwenye trekta mnakula league na unaweza kumzidi kidoogo kutokana na wewe kutumia mafuta kidogo na PAWATILA kufanya kazi hata maeneo mapya au yasiyofikika Kwa trekta.
Kwa trekta roho ya paka ni New Holland, masey Ferguson, valtra, Kubota, ford na nyingine nyingi ambazo spa zake zinapatikana.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bei ya trekta unataka mpya au used?Bei za hizo trekta zikoje?.
Ttupia pichaWanajamvi Mimi ni mkulima mdogo mwenye shauku kubwa ya kumiliki trector Kwa mwaka huu 2023, nmechoshwa na gharama kubwa ya matrector huko Songea, heka Moja mwaka huu tumelima Kwa TSH 90000 had 100000, hapo hujarudia wakati wa kupanda!
Hiki ni kilimo Cha mpunga! Nmeona sio vibaya nijchange change huku na Kule niwe na mashine ndipo nkakuta Tangazo la hizi trector nkawapgia wakasema mfn trector 75hp na jembe ni km 47mlns pia wanakopesha nikaona nishee na wenzangu kama Kuna yeyote ameshuhudia uchapaji Kazi wake maana ni trector mpya tumezoea new Holland, Massey, swaraj nk ambazo bei ziko juu ukilinganisha na Hizi.
Karibuni.
Ushauri ni hiari mkuu either mtu auchukue au ahuache, hii sio sheria.Dhambi inakuja pale unapompa mtu ushauri wa kumpotosha
Nikikushauri kuiba nakuwa nimetenda dhambi ama la?Ushauri ni hiari mkuu either mtu auchukue au ahuache, hii sio sheria.