Naona kama wizara ya katiba na Sheria inafumiliwa.... Time will tellWanabodi,
Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila likifanyika jambo, huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind kufanyika kwa jambo fulani.
Jambo lililofanyika leo ni hili
Kufuatia uteuzi huu, then, this is a sign, very soon, end ikawa, kutafanyika mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri!.
Na kama hili litafanyika, nakiri, Prof. Kabudi ni one of the gifted best brains we have hapa nchini kwetu kwenye tasnia ya sheria.
NB. Hakuna direct propotionality na co relation between the best brains kwenye academia na the best result oriented performance kwenye nafasi za utendaji!.
Swali linabaki nani ambao wame proove kuwa non performers hivyo wame flop na wanapaswa kuondoka, na nani wataingia mmoja wao akiwa ni huyu mteuliwa mpya?!.
Congratulation wateuliwa, we wish you all the best!.
NB. Pia sio lazima kwa 100% uteuzi wa Prof. Kabudi ni ili kumpa uwaziri, inawezekana ni kumuingiza kwenye lile jengo kwenda kusaidia kile kichwa kianafunzi chake maana kiukweli kimepwaya katika tasnia ya mabishano ya kisheria ndani ya jengo haswa unapokutana na hoja kichaa za wale vichaa wa sheria, hivyo akashauriwa aingize kichwa kuongezea uzito kupunguza makali ya kupelekwa puta!.
Lets just wait and see!.
Paskali
Hii chini ni baadhi tuu ya trend reading zangu.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla ...
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Pemba Chini ya CCM kuneemeka au Kujutia Kuichagua CUF Chaguzi ...
Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC! | Page 9 ...
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na ...
Nimekuelewa. Kumbe ndio maana teuzi nyingi zaenda kanda ya ziwa cz wana njaa.Huwezi jua,yaweza kuwa ni kutufanya sasa kuondoa Joto la gumzo juu ya uhaba wa chakula na tishio la njaa nchini.
Yeah.....una mwelekeo mzuri wa kubashiri mkuu.....hata mi naona hivyoMkuu Pascal
Exactly there something around the corner "
Huyu professor Wa udsm alikuwa hazina kubwa sana Kwa taifa........
Lakini naona anapelekwa kwenye wizara iliyoshindika kumu maliza ya Nishati na madini..........
Bado naamini January makamba atabaki pamoja na kusemwa sana......
Kama nawaona hivi Magembe,Mpango na Muhongo........
Let's wait na see......
Lengo hapo alikua huyo kilaza wa kanda ya ziwa.Prof. Kabudi ni mgogo
Una ushahidi juu ya haya madai mkuu? Tumegee kidogo.........Sawa subiri uone.... January avuki mkuu.... Ujasikia kuwa yeye ndio anashirikiana na baadhi ya wafanyabiashara kumhujumu Rais?. Alianza hilo kwenye sukari, na saizi kwenye mahindi (chakula)
Eti St.John.....[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Hawa academicians hawana lolote linapokuja suala la utendaji.. . Yuko wapi Dr Ayubu Rosa... And kwa academician ambaye yuko smart angekataa hz teuzi za St John, for itabidi uchezezi sindimba ya mbele kwa mbele... Ni Ile Ile... Ukiwa kichwa ngumu uteuzi wako unatenguliwa... Nadhani ndio maana hata Ayubu amesoma alama pale TBC...
Tutambadilisha wenyewe 2020kwan
kwani wajuu hawezi kubadilishwa???
nakulilia Faru John🙁Yule wa kaskazini atapona kweli?
Acha zako. Mulimsifia Ndalichako hapa-hapa. Ndo ameboronga kuliko hata huyo Kawambwa tuliyemubeza kila kukicha. Acheni zenu kabisa. Hana gifted brain yoyote, ni msaka tonge tu kama wengine. Bora wenye elimu za kawaida kama Rais wetu msatafu kipenzi cha watu,Jakaya Kikwete wanafanya mambo ambayo yanakuwa sehemu ya maisha ya watu. Siyo misifa tu hakuna badiliko lolote ambalo ni tangible. Hayo ma PhD yao hayana lolote, ni wachumia tumbo tu a.k.a wasaka tonge . Ova.......!!!!!Wanabodi,
Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila likifanyika jambo, huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind kufanyika kwa jambo fulani.
Jambo lililofanyika leo ni hili
Kufuatia uteuzi huu, then, this is a sign, very soon, end ikawa, kutafanyika mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri!.
Na kama hili litafanyika, nakiri, Prof. Kabudi ni one of the gifted best brains we have hapa nchini kwetu kwenye tasnia ya sheria.
NB. Hakuna direct propotionality na co relation between the best brains kwenye academia na the best result oriented performance kwenye nafasi za utendaji!.
Swali linabaki nani ambao wame proove kuwa non performers hivyo wame flop na wanapaswa kuondoka, na nani wataingia mmoja wao akiwa ni huyu mteuliwa mpya?!.
Congratulation wateuliwa, we wish you all the best!.
NB. Pia sio lazima kwa 100% uteuzi wa Prof. Kabudi ni ili kumpa uwaziri, inawezekana ni kumuingiza kwenye lile jengo kwenda kusaidia kile kichwa kianafunzi chake maana kiukweli kimepwaya katika tasnia ya mabishano ya kisheria ndani ya jengo haswa unapokutana na hoja kichaa za wale vichaa wa sheria, hivyo akashauriwa aingize kichwa kuongezea uzito kupunguza makali ya kupelekwa puta!.
Lets just wait and see!.
Paskali
Hii chini ni baadhi tuu ya trend reading zangu.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla ...
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Pemba Chini ya CCM kuneemeka au Kujutia Kuichagua CUF Chaguzi ...
Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC! | Page 9 ...
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na ...
Natamani hata mama Ndalichako angepumzishwaWanabodi,
Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila likifanyika jambo, huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind kufanyika kwa jambo fulani.
Jambo lililofanyika leo ni hili
Kufuatia uteuzi huu, then, this is a sign, very soon, end ikawa, kutafanyika mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri!.
Na kama hili litafanyika, nakiri, Prof. Kabudi ni one of the gifted best brains we have hapa nchini kwetu kwenye tasnia ya sheria.
NB. Hakuna direct propotionality na co relation between the best brains kwenye academia na the best result oriented performance kwenye nafasi za utendaji!.
Swali linabaki nani ambao wame proove kuwa non performers hivyo wame flop na wanapaswa kuondoka, na nani wataingia mmoja wao akiwa ni huyu mteuliwa mpya?!.
Congratulation wateuliwa, we wish you all the best!.
NB. Pia sio lazima kwa 100% uteuzi wa Prof. Kabudi ni ili kumpa uwaziri, inawezekana ni kumuingiza kwenye lile jengo kwenda kusaidia kile kichwa kianafunzi chake maana kiukweli kimepwaya katika tasnia ya mabishano ya kisheria ndani ya jengo haswa unapokutana na hoja kichaa za wale vichaa wa sheria, hivyo akashauriwa aingize kichwa kuongezea uzito kupunguza makali ya kupelekwa puta!.
Lets just wait and see!.
Paskali
Hii chini ni baadhi tuu ya trend reading zangu.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla ...
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Pemba Chini ya CCM kuneemeka au Kujutia Kuichagua CUF Chaguzi ...
Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC! | Page 9 ...
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na ...
NACHUKIA SANA WATU WANAOFUATILIA KILA TEUZI ZA RAIS NA KUUSEMEA UKANDA, KUNAKOSA GANI HATA MAWAZIRI WOTE WAKITOKA KANDA HIYO? MBONA KAMA VIROHO VINAWAUMA? KAMA KUNA KANDA INAONELEWA KISA IMEKOSA MWAKILISHI HEBU ITAJENI HAPA. KAMA HAMNA PLS MWACHENI RAIS AFANYE KAZI YAKE MUMPIME 2020.