Tetesi: Trend Reading: Mabadiliko Madogo ya Baraza la Mawaziri Yananukia!. Head-hunting Imeishaanza!.

Tetesi: Trend Reading: Mabadiliko Madogo ya Baraza la Mawaziri Yananukia!. Head-hunting Imeishaanza!.

Aiseeeee ila mtu anaweza akawa na misimamo yake alafu ni brain kinoooomaaa alafu akapewa kazi chini ya fulani.Yani hapo ndio kwisha kaziiiii.Sometimes hizi teuzi unaweza ukaingia umenyanyua pua ila ukikaakaa ndani unanyoooka tu na pua inashuka dadadeki
 
Wanabodi,

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila likifanyika jambo, huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind kufanyika kwa jambo fulani.
Jambo lililofanyika leo ni hili

Kufuatia uteuzi huu, then, this is a sign, very soon, end ikawa, kutafanyika mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri!.

Na kama hili litafanyika, nakiri, Prof. Kabudi ni one of the gifted best brains we have hapa nchini kwetu kwenye tasnia ya sheria.

NB. Hakuna direct propotionality na co relation between the best brains kwenye academia na the best result oriented performance kwenye nafasi za utendaji!.

Swali linabaki nani ambao wame proove kuwa non performers hivyo wame flop na wanapaswa kuondoka, na nani wataingia mmoja wao akiwa ni huyu mteuliwa mpya?!.
Congratulation wateuliwa, we wish you all the best!.
NB. Pia sio lazima kwa 100% uteuzi wa Prof. Kabudi ni ili kumpa uwaziri, inawezekana ni kumuingiza kwenye lile jengo kwenda kusaidia kile kichwa kianafunzi chake maana kiukweli kimepwaya katika tasnia ya mabishano ya kisheria ndani ya jengo haswa unapokutana na hoja kichaa za wale vichaa wa sheria, hivyo akashauriwa aingize kichwa kuongezea uzito kupunguza makali ya kupelekwa puta!.
Lets just wait and see!.
Paskali

Hii chini ni baadhi tuu ya trend reading zangu.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla ...
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Pemba Chini ya CCM kuneemeka au Kujutia Kuichagua CUF Chaguzi ...
Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC! | Page 9 ...
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na ...
Naona kama wizara ya katiba na Sheria inafumiliwa.... Time will tell
 
Mkuu Pascal

Exactly there something around the corner "

Huyu professor Wa udsm alikuwa hazina kubwa sana Kwa taifa........

Lakini naona anapelekwa kwenye wizara iliyoshindika kumu maliza ya Nishati na madini..........

Bado naamini January makamba atabaki pamoja na kusemwa sana......

Kama nawaona hivi Magembe,Mpango na Muhongo........

Let's wait na see......
Yeah.....una mwelekeo mzuri wa kubashiri mkuu.....hata mi naona hivyo
 
Sawa subiri uone.... January avuki mkuu.... Ujasikia kuwa yeye ndio anashirikiana na baadhi ya wafanyabiashara kumhujumu Rais?. Alianza hilo kwenye sukari, na saizi kwenye mahindi (chakula)
Una ushahidi juu ya haya madai mkuu? Tumegee kidogo.........
 
Hawa academicians hawana lolote linapokuja suala la utendaji.. . Yuko wapi Dr Ayubu Rosa... And kwa academician ambaye yuko smart angekataa hz teuzi za St John, for itabidi uchezezi sindimba ya mbele kwa mbele... Ni Ile Ile... Ukiwa kichwa ngumu uteuzi wako unatenguliwa... Nadhani ndio maana hata Ayubu amesoma alama pale TBC...
Eti St.John.....[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Acha Kabudi, ccm hata wamlete John Kerry katika serikali yao kama atatenda kazi zake kiccm ataishia kuwa wa hovyo tuu. Ili ufanye kazi kwa weledi lazima ujitenge na utendaji wa kiccm ccm vinginevyo waenda kujiaibisha tuu.
 
Mw...ge your days a numbered. Mwa...embe we need to change ur post. Mpango wa maendeleo mh sorry bro I think u a out. Muhagama mh I think we need sub for u
 
Wanabodi,

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila likifanyika jambo, huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind kufanyika kwa jambo fulani.
Jambo lililofanyika leo ni hili

Kufuatia uteuzi huu, then, this is a sign, very soon, end ikawa, kutafanyika mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri!.

Na kama hili litafanyika, nakiri, Prof. Kabudi ni one of the gifted best brains we have hapa nchini kwetu kwenye tasnia ya sheria.

NB. Hakuna direct propotionality na co relation between the best brains kwenye academia na the best result oriented performance kwenye nafasi za utendaji!.

Swali linabaki nani ambao wame proove kuwa non performers hivyo wame flop na wanapaswa kuondoka, na nani wataingia mmoja wao akiwa ni huyu mteuliwa mpya?!.
Congratulation wateuliwa, we wish you all the best!.
NB. Pia sio lazima kwa 100% uteuzi wa Prof. Kabudi ni ili kumpa uwaziri, inawezekana ni kumuingiza kwenye lile jengo kwenda kusaidia kile kichwa kianafunzi chake maana kiukweli kimepwaya katika tasnia ya mabishano ya kisheria ndani ya jengo haswa unapokutana na hoja kichaa za wale vichaa wa sheria, hivyo akashauriwa aingize kichwa kuongezea uzito kupunguza makali ya kupelekwa puta!.
Lets just wait and see!.
Paskali

Hii chini ni baadhi tuu ya trend reading zangu.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla ...
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Pemba Chini ya CCM kuneemeka au Kujutia Kuichagua CUF Chaguzi ...
Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC! | Page 9 ...
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na ...
Acha zako. Mulimsifia Ndalichako hapa-hapa. Ndo ameboronga kuliko hata huyo Kawambwa tuliyemubeza kila kukicha. Acheni zenu kabisa. Hana gifted brain yoyote, ni msaka tonge tu kama wengine. Bora wenye elimu za kawaida kama Rais wetu msatafu kipenzi cha watu,Jakaya Kikwete wanafanya mambo ambayo yanakuwa sehemu ya maisha ya watu. Siyo misifa tu hakuna badiliko lolote ambalo ni tangible. Hayo ma PhD yao hayana lolote, ni wachumia tumbo tu a.k.a wasaka tonge . Ova.......!!!!!
 
Wanabodi,

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila likifanyika jambo, huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind kufanyika kwa jambo fulani.
Jambo lililofanyika leo ni hili

Kufuatia uteuzi huu, then, this is a sign, very soon, end ikawa, kutafanyika mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri!.

Na kama hili litafanyika, nakiri, Prof. Kabudi ni one of the gifted best brains we have hapa nchini kwetu kwenye tasnia ya sheria.

NB. Hakuna direct propotionality na co relation between the best brains kwenye academia na the best result oriented performance kwenye nafasi za utendaji!.

Swali linabaki nani ambao wame proove kuwa non performers hivyo wame flop na wanapaswa kuondoka, na nani wataingia mmoja wao akiwa ni huyu mteuliwa mpya?!.
Congratulation wateuliwa, we wish you all the best!.
NB. Pia sio lazima kwa 100% uteuzi wa Prof. Kabudi ni ili kumpa uwaziri, inawezekana ni kumuingiza kwenye lile jengo kwenda kusaidia kile kichwa kianafunzi chake maana kiukweli kimepwaya katika tasnia ya mabishano ya kisheria ndani ya jengo haswa unapokutana na hoja kichaa za wale vichaa wa sheria, hivyo akashauriwa aingize kichwa kuongezea uzito kupunguza makali ya kupelekwa puta!.
Lets just wait and see!.
Paskali

Hii chini ni baadhi tuu ya trend reading zangu.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla ...
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Pemba Chini ya CCM kuneemeka au Kujutia Kuichagua CUF Chaguzi ...
Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC! | Page 9 ...
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na ...
Natamani hata mama Ndalichako angepumzishwa
 
NACHUKIA SANA WATU WANAOFUATILIA KILA TEUZI ZA RAIS NA KUUSEMEA UKANDA, KUNAKOSA GANI HATA MAWAZIRI WOTE WAKITOKA KANDA HIYO? MBONA KAMA VIROHO VINAWAUMA? KAMA KUNA KANDA INAONELEWA KISA IMEKOSA MWAKILISHI HEBU ITAJENI HAPA. KAMA HAMNA PLS MWACHENI RAIS AFANYE KAZI YAKE MUMPIME 2020.

WELL SAID MKUU, KWA BAHATI MBAYA HII TABIA IMEJENGEKA SANA - ULALAMISHI TU.
 
Kuna Siku wateuliwa watagoma kutumbuliwa...
 
Back
Top Bottom