Tetesi: Trend Reading: Mabadiliko Madogo ya Baraza la Mawaziri Yananukia!. Head-hunting Imeishaanza!.

Tetesi: Trend Reading: Mabadiliko Madogo ya Baraza la Mawaziri Yananukia!. Head-hunting Imeishaanza!.

Hivi wewe mleta Uzi ni fake Pascal Mayalla au Original Pascal Mayalla (nguli wa media)?.Nauliza kwa nia njema kwani hujawa verified.
 
Mkuu Pascal

Exactly there something around the corner "

Huyu professor Wa udsm alikuwa hazina kubwa sana Kwa taifa........

Lakini naona anapelekwa kwenye wizara iliyoshindika kumu maliza ya Nishati na madini..........

Bado naamini January makamba atabaki pamoja na kusemwa sana......

Kama nawaona hivi Magembe,Mpango na Muhongo........

Let's wait na see......
 
Wanabodi,

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila likifanyika jambo, huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind kufanyika kwa jambo fulani.
Jambo lililofanyika leo ni hili

Kufuatia uteuzi huu, then, this is a sign, very soon, end ikawa, kutafanyika mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri!.

Na kama hili litafanyika, nakiri, Prof. Kabudi ni one of the gifted best brains we have hapa nchini kwetu kwenye tasnia ya sheria.

NB. Hakuna direct propotionality na co relation between the best brains kwenye academia na the best result oriented performance kwenye nafasi za utendaji!.

Swali linabaki nani ambao wame proove kuwa non performers hivyo wame flop na wanapaswa kuondoka, na nani wataingia mmoja wao akiwa ni huyu mteuliwa mpya?!.
Congratulation wateuliwa, we wish you all the best!.
NB. Pia sio lazima 100% uteuzi wa Kabudi ni ili kumpa uwaziri, inawezekana ni kumuingiza kwenye lile jengo kwenda kusaidia kile kichwa kianafunzi chake maana kiukweli kimepwaya!, lets wait and see!.
Paskali
Hii chini ni baadhi tuu ya trend reading zangu.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla ...
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Pemba Chini ya CCM kuneemeka au Kujutia Kuichagua CUF Chaguzi ...
Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC! | Page 9 ...
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na ...


what about him?

1.jpg
 
Wanabodi,

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila likifanyika jambo, huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind kufanyika kwa jambo fulani.
Jambo lililofanyika leo ni hili

Kufuatia uteuzi huu, then, this is a sign, very soon, end ikawa, kutafanyika mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri!.

Na kama hili litafanyika, nakiri, Prof. Kabudi ni one of the gifted best brains we have hapa nchini kwetu kwenye tasnia ya sheria.

NB. Hakuna direct propotionality na co relation between the best brains kwenye academia na the best result oriented performance kwenye nafasi za utendaji!.

Swali linabaki nani ambao wame proove kuwa non performers hivyo wame flop na wanapaswa kuondoka, na nani wataingia mmoja wao akiwa ni huyu mteuliwa mpya?!.
Congratulation wateuliwa, we wish you all the best!.
Paskali
Hi chini ni baadhi tuu ya trend reading zangu.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla ...
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Pemba Chini ya CCM kuneemeka au Kujutia Kuichagua CUF Chaguzi ...
Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC! | Page 9 ...
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na ...
Kwa upande wa brain,pale mlimani upande wa sheria anashikilia rekodi ya "moja " ya wanafunzi waliopata alama za juu sana kwenye matokeo ya jumla,nadhani anachuana na prof/dk majamba

Kwa kuwa kaingia kwenye siasa,ana tatizo la hasira,alicontrol,pia nae ana matatizo kama ka bosi wake mdomoni,ni hard worker sana hasa kwenye maeneo ya academics

Sijui ata perform vipi kwenye siasa hasa ukichukulia vurugu na amshamsha ya kisiasa ni tofauti NA darasani.

Ni very strict, na inawezekana akakwazana na Mkuu kwa kuwa natabiri kabudi "atamfunika" has a akipewa wizara nzito,pia hata kwa mambo ya Mkuu,nina imani kabudi kama lawyer,hakubaliani nayo kwa asilimia 85,kabudi anapenda Ku reform mfumo na kuheshimu taratibu(though sometime he is harsh)Mkuu yeye hapendi sana kufata taratibu wala kuunda mifumo,anaamini katika one man show.
 
Lengo la Uteuzi wa leo alikuwa ni Prof. Kabudi, sasa ili kumsindikiza kabudi Bungeni ikabidi atafutwe na kupatikana kwa huyu Bulembo ili wananchi wasitafakari kwa haraka the motive behind na mlengwa hasa, kwa hiyo Mlengwa hakuwa Bulembo bali Kabudi.


Nadhani Prof. Kabudi atakuwa waziri wa Nishati na madini ili apambane na mikataba ya akina IPTL, Symbion nk. au yawezekana Mh. Rais amenasa hujuma za mwakyembe hivyo anataka kumuondoa.
Kinyume chake pia ni sawa
 
Hatimae umeunganisha I'd zako na umeamua kubaki na I'd verified user.. Na kuchukua post zako zileee zimekuja huku baada ya kugundua katika fake I'd ulileta post mzuri sana
 
Baaada ya wabunge wateule kuapishwa hiyo siku, kitakachofuatia soon kwenye magazeti kama vichwa vya habari itakuwa hiviii:-

1. Palamagamba Kabudi aula wizara ya sheria na katiba.

2. Faru Johari amuondoa profesa Ma-hoe...!

3. Faru Johari aondoka na ma-Hoe...!

4. Maliasili wapata waziri msomi profesa...!

5. Ngosha Amtemesha Ngese Profesa Ma-Hoe.....!

6. Profesa Palamagamba Kabudi apelekwa maliasili kumtafuta Faru Johari....!

7. Nk, Nk.....!
Atateuliwa kabla ya bunge
 
Ahsante kwa kutumegea za chumbani kwa wananzengo.

Ila mmetupiga mark time kwenye historia ya maendeleo ya Tanzania.
 
Kama kawaida yake! Anataka kutengeneza Serikali ya kikanda mambo ambayo Nyerere alipiga vita sana
 
Back
Top Bottom