Treni Mchongoko yawasili nchini

Tunataka na miundombinu iliyobora, treni haipendezi kupita maporini hatuoni kwa wenzetu
 
Sawa mmetuletea mchongoko na kwa kutuliwaza mmeandika hapo pembeni "NYERERE EXPRESS" ikimaanisha hiyo itakuwa na mwendo wa uhakika, labda tuseme 180kph!.

Your browser is not able to display this video.
 
Kuna mdau kaniambia kwa kuning'oneza kuwa unaweza kukuta ni ile ile ila wamebadiri uso na muonekano ili kuturubuni.

Nimemjibu, subiri tuone mwendo wake hapo ndipo tutaanza kumshukuru mzazi wetu kama ilivyo hada, 😃!.
 
Kuna mdau kaniambia kwa kuning'oneza kuwa unaweza kukuta ni ile ile ila wamebadiri uso na muonekano ili kuturubuni.
Kwani hata msiporubunika mtawafanya nini?
 
Kuna mdau kaniambia kwa kuning'oneza kuwa unaweza kukuta ni ile ile ila wamebadiri uso na muonekano ili kuturubuni.

Nimemjibu, subiri tuone mwendo wake hapo ndipo tutaanza kumshukuru mzazi wetu kama ilivyo hada, 😃!.
Afu baada ya mda kuna chawa atajisahau na kuropoka kuwa wameipimp.
 
TU WEPESI KWENYE KUANZISHA VITU
WAGUMU NA HATUWEZI KUSIMAMIA.
REJEA SIMULIZI YA MABASI YA MWENDOKASI
NDANI YA MIAKA 5 IJAYO ATATAFUTWA MWEKEZAJI,
PENGIONE NI HAO HAO DP WORLD
 
Kuna mdau kaniambia kwa kuning'oneza kuwa unaweza kukuta ni ile ile ila wamebadiri uso na muonekano ili kuturubuni.

Nimemjibu, subiri tuone mwendo wake hapo ndipo tutaanza kumshukuru mzazi wetu kama ilivyo hada, 😃!.
Tumshukuru samia kwa mchongoko
 
Treni oli iitwe ya mwendokasi lazima ikimbie kuanzia 200km/hr ma kuendelea.Hii ya 160km/hr ipo kundi gani? Tena umeme?
 
Treni oli iitwe ya mwendokasi lazima ikimbie kuanzia 200km/hr ma kuendelea.Hii ya 160km/hr ipo kundi gani? Tena umeme?
Kuna mahali wamesema still ni hatua za mwanzoni kwanza, lakini treninis capable of 200km/h +. Just miundo mbinu bado
 
Hongera wote mliohusika na ujenzi, Railway na watanzania ambao kodi zenu zimetumika na zitatumika kulipa mikopo.
Serikali ipunguze gharama za safari ili watanzania wengi watumie usafiri huo
 
Pamoja na hayo sisi tunaomba muweke nauli rafiki kwa kulingana na usawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…