Treni ya SGR Dar-Moro kuanza kutoa huduma Januari 2024

Treni ya SGR Dar-Moro kuanza kutoa huduma Januari 2024

Serikali ya Tanzania ilitangazia umma kwamba January 2024 reli ya SGR itaanza kazi ! Sasa kwa wale tunaofatilia tayari January imeisha na tren ya umeme haijaanza kufanya kazi
Hivi serikali hii ni ya maneno siyo vitendo watu wakisema JPM was the best president hawakosei haya mambo yanayofanyika ya porojo bila kazi ndiyo yanadumaza maendeleo ya nchi

Kuna mambo kadhaa katika nchi yakishamili kama yafuatayo-
1.Rushwa
2.ubadhilifu wa Mali za umma
3.matumizi mabaya ya madaraka
4.wizi
5.uzembe n.k
Mambo haya daima nchi hiyo usitegemee maendeleo yoyote.
Maneno ya waziri wa uchukuzi na taasisi yake kwa ujumla:

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema mwishoni mwa Januari, 2024 treni ya abiria ya reli ya kisasa (SGR) itaanza kutoa huduma kati ya Dar es Salaam na Morogoro.

Huenda kauli ya Profesa Mbarawa ikawa habari njema kwa Watanzania, baada ya wiki hii kushuhudiwa kichwa cha treni hiyo kikifanya majaribio kwenye reli hiyo.

Awali zilitolewa ahadi kadhaa kuhusu majaribio hayo, lakini hazikutekelezeka.

Novemba 19, 2020, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitembelea mradi wa SGR Morogoro na akaeleza kuridhishwa na ujenzi wa kipande hicho, wakati huo ujenzi ukiwa asilimia 90 na aliwaahidi Watanzania kwamba njia hiyo ingepitisha treni ya kwanza Aprili 2021.

Machi 15, 2021 aliyekuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Dk Leonard Chamuriho, akiwa Morogoro, alisema treni ya kisasa ingeanza kufanya kazi Agosti mwaka huo.

Aprili 20, 2021, Waziri Mkuu alitangaza tarehe nyingine, akisema treni hiyo ya kisasa ingeanza kufanya majaribio Agosti mwaka huo.

Akizungumza jana katika kikao cha mawaziri saba wa Sekta ya uchukuzi wa Umoja wa Ushoroba wa Kati (CCTTFA), Profesa Mbarawa alisema huduma itaanza kutolewa kuanzia mwishoni mwa Januari, mwakani.

“Jambo la kufurahisha mwishoni mwa Januari, 2024 tutaanza rasmi kutumia usafiri wetu wa SGR kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro kwa ajili ya abiria si mizigo,” alisema.

Sasa January imeisha Kesho February 2024.
Rwandes alipotoka Kayafa Jiwe

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema mwishoni mwa Januari, 2024 treni ya abiria ya reli ya kisasa (SGR) itaanza kutoa huduma kati ya Dar es Salaam na Morogoro.

Huenda kauli ya Profesa Mbarawa ikawa habari njema kwa Watanzania, baada ya wiki hii kushuhudiwa kichwa cha treni hiyo kikifanya majaribio kwenye reli hiyo.

Awali zilitolewa ahadi kadhaa kuhusu majaribio hayo, lakini hazikutekelezeka.

Novemba 19, 2020, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitembelea mradi wa SGR Morogoro na akaeleza kuridhishwa na ujenzi wa kipande hicho, wakati huo ujenzi ukiwa asilimia 90 na aliwaahidi Watanzania kwamba njia hiyo ingepitisha treni ya kwanza Aprili 2021.

Machi 15, 2021 aliyekuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Dk Leonard Chamuriho, akiwa Morogoro, alisema treni ya kisasa ingeanza kufanya kazi Agosti mwaka huo.

Aprili 20, 2021, Waziri Mkuu alitangaza tarehe nyingine, akisema treni hiyo ya kisasa ingeanza kufanya majaribio Agosti mwaka huo.

Akizungumza jana katika kikao cha mawaziri saba wa Sekta ya uchukuzi wa Umoja wa Ushoroba wa Kati (CCTTFA), Profesa Mbarawa alisema huduma itaanza kutolewa kuanzia mwishoni mwa Januari, mwakani.

“Jambo la kufurahisha mwishoni mwa Januari, 2024 tutaanza rasmi kutumia usafiri wetu wa SGR kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro kwa ajili ya abiria si mizigo,” alisema.

Mkutano wa mawaziri

Mkutano wa jana uliwajumuisha mawaziri saba wa sekta za uchukuzi wa mataifa ya Tanzania, Uganda, Malawi, Zambia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Burundi.

Profesa Mbarawa alisema mkutano huo umekuwa wa mafanikio na wamekubaliana masuala mbalimbali ili ushoroba huo upige hatua.

Katika kikao hicho, mataifa ya Zambia na Malawi yalikubaliwa kujiunga na umoja huo na kufikisha idadi ya nchi saba kutoka tano za awali.

Alisema ushoroba huo unaunganishwa kwa miundombinu, ikiwamo ya reli, maziwa na barabara na kwamba, baadhi ya mataifa yanajenga reli za kisasa, ikiwamo Tanzania.

Mawaziri wa sekta za uchukuzi wa Zambia na Malawi waliwashukuru wenzao wa umoja huo kwa kufanikisha mataifa hayo kuingia katika mpango.
Nauli itakuwa sailing ngapi? Au itakuwa sawa na abood?
 
Nauli itakuwa mara mbili ya nauli ya Bus.
Wengine watakuja na Bei ya Train ya zamani, usiwaamini.
Kwenda speed kubwa kuna gharama zake. Dunia nzima, hiyo ndiyo kawaida.
Kwa Bus hadi Morogoro ni 10,000Tsh.
Kwa Train ya SGR Hesabu nauli zaidi ya Tsh.20,000. Hapa naongelea uzoefu wangu wa kukaa huku shamba Sikonge 😂
Nauli itakuwa sailing ngapi? Au itakuwa sawa na abood?
 
Haya ndiyo matatizo ya kufanya vitu kwa mihemko na pia kwa kukurupuka.

Hela waliyoichezea kwenye ujenzi wa hii treni na pia ununuzi wa zile ndege, huenda ingeweza kuzijenga barabara zote kuu nchini kwa kiwango cha lami; na hivyo kurahisisha usafirishaji wa watu na mizigo kutoka eneo moja kwenda lingine.
 
Haya ndiyo matatizo ya kufanya vitu kwa mihemko na pia kwa kukurupuka.

Hela waliyoichezea kwenye ujenzi wa hii treni na pia ununuzi wa zile ndege, huenda ingeweza kuzijenga barabara zote kuu nchini kwa kiwango cha lami; na hivyo kurahisisha usafirishaji wa watu na mizigo kutoka eneo moja kwenda lingine.
Usafiri wa Train ni wa uhakika zaidi na bei nafuu hasa kwenye Mizigo. Utekelezaji wake ni Topic nyigine kabisa.
Hakuna Kama Reli kwa usafiri wa Mizigo..
 
Nauli itakuwa mara mbili ya nauli ya Bus.
Wengine watakuja na Bei ya Train ya zamani, usiwaamini.
Kwenda speed kubwa kuna gharama zake. Dunia nzima, hiyo ndiyo kawaida.
Kwa Bus hadi Morogoro ni 10,000Tsh.
Kwa Train ya SGR Hesabu nauli zaidi ya Tsh.20,000. Hapa naongelea uzoefu wangu wa kukaa huku shamba Sikonge 😂
Tafuta kuna uzi humu JF unaeleza nauli zitakavyokuwa, Dar to Moro haitazidi hiyo uliyoandika hapo.
 
Tafuta kuna uzi humu JF unaeleza nauli zitakavyokuwa, Dar to Moro haitazidi hiyo uliyoandika hapo.
Hata DART mliaminishwa nauli itakuwa pungufu ya daladala za kawaida...
Yaani wakuwekee nauli ndogo ya treni ili mmiliki wa Abood, mbunge, mjumbe wa NEC wa CCM na mchangiaji mzuri wa kampeni ashindwe kufanya biashara
DU YU NO ZIS KANTRE???
 
Haya ndiyo matatizo ya kufanya vitu kwa mihemko na pia kwa kukurupuka.

Hela waliyoichezea kwenye ujenzi wa hii treni na pia ununuzi wa zile ndege, huenda ingeweza kuzijenga barabara zote kuu nchini kwa kiwango cha lami; na hivyo kurahisisha usafirishaji wa watu na mizigo kutoka eneo moja kwenda lingine.
Treni ni bora kuliko barabara za lami
 
Serikali ya Tanzania ilitangazia umma kwamba January 2024 reli ya SGR itaanza kazi ! Sasa kwa wale tunaofatilia tayari January imeisha na tren ya umeme haijaanza kufanya kazi
Hivi serikali hii ni ya maneno siyo vitendo watu wakisema JPM was the best president hawakosei haya mambo yanayofanyika ya porojo bila kazi ndiyo yanadumaza maendeleo ya nchi

Kuna mambo kadhaa katika nchi yakishamili kama yafuatayo-
1.Rushwa
2.ubadhilifu wa Mali za umma
3.matumizi mabaya ya madaraka
4.wizi
5.uzembe n.k
Mambo haya daima nchi hiyo usitegemee maendeleo yoyote.
Maneno ya waziri wa uchukuzi na taasisi yake kwa ujumla:

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema mwishoni mwa Januari, 2024 treni ya abiria ya reli ya kisasa (SGR) itaanza kutoa huduma kati ya Dar es Salaam na Morogoro.

Huenda kauli ya Profesa Mbarawa ikawa habari njema kwa Watanzania, baada ya wiki hii kushuhudiwa kichwa cha treni hiyo kikifanya majaribio kwenye reli hiyo.

Awali zilitolewa ahadi kadhaa kuhusu majaribio hayo, lakini hazikutekelezeka.

Novemba 19, 2020, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitembelea mradi wa SGR Morogoro na akaeleza kuridhishwa na ujenzi wa kipande hicho, wakati huo ujenzi ukiwa asilimia 90 na aliwaahidi Watanzania kwamba njia hiyo ingepitisha treni ya kwanza Aprili 2021.

Machi 15, 2021 aliyekuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Dk Leonard Chamuriho, akiwa Morogoro, alisema treni ya kisasa ingeanza kufanya kazi Agosti mwaka huo.

Aprili 20, 2021, Waziri Mkuu alitangaza tarehe nyingine, akisema treni hiyo ya kisasa ingeanza kufanya majaribio Agosti mwaka huo.

Akizungumza jana katika kikao cha mawaziri saba wa Sekta ya uchukuzi wa Umoja wa Ushoroba wa Kati (CCTTFA), Profesa Mbarawa alisema huduma itaanza kutolewa kuanzia mwishoni mwa Januari, mwakani.

“Jambo la kufurahisha mwishoni mwa Januari, 2024 tutaanza rasmi kutumia usafiri wetu wa SGR kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro kwa ajili ya abiria si mizigo,” alisema.

Sasa January imeisha Kesho February 2024.
Anayesema hivyo anaitwa mbawala unategemea Kuna utekelezaji kweli
 
Tanzania Na Aibu Ambazo Hata Huwezi Kusema Chochote Zaidi Aibu Tupu
SGR Kwisha Haitatembea Mpaka Mwaka Uishe Kifuatacho Sounds
Atakuja Msemaji Wa Serikali, Atakuja Masanja K
Atakuja Waziri Wa Miundo Mbinu Na Uchukuzi



☆☆☆▪︎▪︎▪︎▪︎☆☆▪︎☆▪︎▪︎▪︎¤☆☆☆☆☆☆☆☆☆▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎
Wote Hapo Juu Timua Kabisa, CCM Na Kinyaa Chake
 
Back
Top Bottom