Treni ya SGR Dar-Moro kuanza kutoa huduma Januari 2024

Wanaweza wakaleta pia Train la hivyo la kizamani na likawa linasimama kila Kituo ila hazitakuwa na tofauti sana na Train La sasa la Diesel. Train za hivyo kwa sasa wanataka kuziacha na kubaki wanabebea Mizigo tu na abiria kidogo kwa sababu siyo Economical kabisa. Pia yanakuwa mazito sana na hayawezi speed kubwa.

Hata Aerodynamic yake ni dhaifu na hivyo kupunguza speed.

Ndiyo maana Highspeed zote zinazokwenda zaidi ya 300km/hr ni hizi Bullet Train. Train Kama TGV ya Mfaransa, Shikansen ya Mjapan, Maglev (hii ni Train ta sumaku ambayo nadhani ni Mchina na Mjapan wanaitumia na inaelea bila kugusa chini) zote zipo muundo huo.

Kwa ukubwa wa Tanzania tulitakiwa tuweke TRAIN za umeme Mjini tu labda hadi pembezoni hadi Kibaha. Baada ya hapo mnaweka ya Diesel kwani kwa umbali mrefu, hailipi kutumia Umeme.
Ndiyo maana nchi zote kubwa Kama USA, Canada, Australia nk kwa Train za mbali, wanatumia Diesel Engine peke yake.
Anyway, mengine ni maamuzi ya Wakubwa, huwezi kuwahoji.

Tungeliweza pia kuweka LNG Train au CNG kwani tuna Gas πŸ˜‚πŸ˜‚
Cha muhimu tumeanza.

 
Mpaka sasa imeshafanya safari ngapi?
 
πŸ˜‡ πŸ˜‡ πŸ˜‡ πŸ˜‡ πŸ˜‡ πŸ˜‡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…