Precautions: Unaposafiri hakikisha una mikate,maji na juisi za safarini.
Over!!!
 
Hawa Popo na ngedere inabidi washughulikiwe haraka sana wanaweza kusababisha maafa hivi hivi.
 
Ila mwanzo mgumu acha tuwe na subra
Ndo inakufa hivyoo, we kama unataka kupanda panda sasa hivi ikiwa mpya mpya..

Ukipita mwaka inapauka kama vilivyopauka viti vya mwendokasi, milango ya mwendokasi ikiwa inafunguka utadhani vyuma vinasuguana inapiga kelele kinoma.
Na huko ndiko hii treni nayo itafika.

So enjoy before it's too late.
 
Yaani kaka angu usemayo yawez akua saihi
Naigopa sasa hyo SGR maana miye toka imeanza ndo napanda hyoo..na nilisema Mabasi tena baba jeni byebye..hapa niko Dar nataka nirudi Dom naanza kupata hofu miye
Ni sahihi kabisa tunatembea na hofu muhimu kuomba dua tu, maana kiuhalisia kuokoa muda na gharama rafiki treni ni bora zaidi. Kibongo bongo ndege wanaona ni anasa.
 
kitu chochote kipya takes time to be perfect, hii ni train ya kwanza Africa mashariki na kati ya umeme yenye urefu huu; so its not an easy task mpaka ikaja kukaa sawa
Kweli tena na hatua tuliofikia sio haba kwakweli!.. wanaopondea ni chuki tu na roho mbaya zimewajaa[emoji849][emoji849][emoji21]
 
WEKA WI-FI, WEKA WI-FI, HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NDOGO TU!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI

⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI

⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA NDANI YA MDA MFUPI

GHARAMA NI NAFUU SANA, ( pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa )
NICHEKI: 0717700921
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…