Treni ya SGR yazimika tena Morogoro!
Si walisema SGR ni kama Ikulu umeme wake hauzimi kabisa
Hapo ndio nimechoka mnaposema na air conditioning zikafa na milango haifunguki
Karne hii hawakujua kuwa yanaweza kutokea haya na kuwe na mbadala wa kufungua manually?
Yaani na pumzi hizi siwezi kufa kijinga navunja dirisha au basi sipandi tu
Yaani kwanza naogopa nashukuru nimepanda nimefika salama tena kwa muda muafaka hapa kurudi Dom tena nawaza mnoo na hyo SGR yao Wallahi...
 
Wameishaambiwa wanakaribishwa kuwekeza vichwa na mabehewa harafu watalipia tozo za miundo mbinu
Hiyo imekaa vizuri, akina Abood mbona wanalalamika SGR imeua biashara yao ya mabasi si waingie tu kwenye gemu sasa.
 
Yaani kwanza naogopa nashukuru nimepanda nimefika salama tena kwa muda muafaka hapa kurudi Dom tena nawaza mnoo na hyo SGR yao Wallahi...
Unaona riziki hii sasa
Mola hamtupi mja wake wapo wengi watapanda mabasi tu kwa Mikasa hii
 
Yaani kaka angu usemayo yawez akua saihi
Naigopa sasa hyo SGR maana miye toka imeanza ndo napanda hyoo..na nilisema Mabasi tena baba jeni byebye..hapa niko Dar nataka nirudi Dom naanza kupata hofu miye
Panda treni wewe achana na maneno ya mitandaoni. Watu wanasubiri hata ikisimama kupisha ingine ipite washarusha video imezimika.
 
izimike au iwake, ila tunayo. wachawi mna roho mbaya sana hamtakagi maendeleo. kuna watu wengine hawana hata ndumba ila wanaomba Mungu usiku na mchana mradi ufeli.
Kuna mtu nimemwambia hivyo hivyo. Hata wasambaze hofu kuwa imezimika mara kumi,tutapanda tu.
 
Yaani kwanza naogopa nashukuru nimepanda nimefika salama tena kwa muda muafaka hapa kurudi Dom tena nawaza mnoo na hyo SGR yao Wallahi...
Huu mradi ni mpya hivyo unahitaji kupewa muda mpaka utakapopata utimilifu.
Msiwe wa kukosoa na kuwazia negativity pekee yake,kwa mind set hii hatutafika mbali kamwe.
 
Hii treni tumepigwa, tena tumepigwa pakubwa. Tulisema, tunasema na tutaendelea kusema, hatukujipanga, hatutaki kujipanga na hatuna mpango wa kuendelea, ni blah blah za upigaji za siku zote, sekta zote. CCM ni laana.

Kwenye Ndege hali ni hiyo hiyo...
Kwenye mwendokasi hali ni hiyo hiyo..
Na sasa SGR hali ni hiyo hiyo....
Hizi ni poor mindset.
Ndio maana kwa akili hizi hili taifa haliendelei.
 
Mmmh ngoja nisipande kwanza acha nipambane na usafiri mwingine.

Nimesikia A/C zilizima na milango ikawa haifunguki nilivyo muoga ngoja nisubiri kwanza.
Kwakweli hapo na mimi kidogo nimeogopa, halafu kulikua na mtu buku so ajabu behewa kibao zilishona.

Mwisho muanze kuitafuta kwa tochi oxygen afu sisi wafupi tukufe kwa kuikosa.
 
kitu ukitolee hela alafu useme kipewe muda hizi kweli akili za bara la giza mpka hapo hujajua kwamba sgr imepigwa imetafunwa lini akili zitawakaa sawa...... toka tunaubuni mradi walitakowa wajue changamoto za mapema ni ni nini ipa kwakua tunavilaza kwenye uongozi na utendaji hawakusoma gap. leo mwananchi unakuja kutetea eti ya kwanza afrika mashariki na kati.


aliesema tz ni maiti hakukosea kabisa
Aiseee naonea huruma watoto zako wasije kurithi akili zako.
Hata hizo gari za TESLA ZA umeme kipindi zimeundwa mfumo wa auto pilot ziliingizwa sokoni na zikaleta maafa na kufeli.
Je unataka kusema TESLA nao walijipiga!??
Kitu ama mradi ukiwa mpya huchukua muda kuuingiza katika ufanisi.
Hata China kipindi imeanza kuunda MAGLEV Rails ilishahimili ajali tatu mpaka MAGLEV inakuja kuwa na ufanisi.
Inaonekana huna exposure kama hujui mambo nyamaza sio lazima uongee.
 
Nawachukia sana CCM kwa kupenda kuendesha mambo ya nchi kwa ku- bet kama unavyotakatisha uovu wewe kwa maneno kama haya!Inamaana hapajawa na upembuzi ya kinifu wa kitaalamu kabla ya mradi?Tunaanza kufanya eti marekebisho kwenye hatua ya uendeshaji?
Ndugu,mimi sipendi uovu wala sitetei. Ila project nyingi haziwi smooth bila kufanya baadhi ya marekebisho. Hii ni popote pale.
 
Aiseee naonea huruma watoto zako wasije kurithi akili zako.
Hata hizo gari za TESLA ZA umeme kipindi zimeundwa mfumo wa auto pilot ziliingizwa sokoni na zikaleta maafa na kufeli.
Je unataka kusema TESLA nao walijipiga!??
Kitu ama mradi ukiwa mpya huchukua muda kuuingiza katika ufanisi.
Hata China kipindi imeanza kuunda MAGLEV Rails ilishahimili ajali tatu mpaka MAGLEV inakuja kuwa na ufanisi.
Inaonekana huna exposure kama hujui mambo nyamaza sio lazima uongee.
Asante sana Mkuu, nilisom quote yake nikaona hata nikimjibu nitakua napoteza muda, nafurahi umeweza kumuelewesha
kitu ukitolee hela alafu useme kipewe muda hizi kweli akili za bara la giza mpka hapo hujajua kwamba sgr imepigwa imetafunwa lini akili zitawakaa sawa...... toka tunaubuni mradi walitakowa wajue changamoto za mapema ni ni nini ipa kwakua tunavilaza kwenye uongozi na utendaji hawakusoma gap. leo mwananchi unakuja kutetea eti ya kwanza afrika mashariki na kati.


aliesema tz ni maiti hakukosea kabisa
 
Back
Top Bottom