Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tunahujumu vitu vyetu wenyewe kwa tamaa za mabasi na utajiri binafsiHaya mambo tuwaachie wazungusisi tuendekee na matreni yetu ya slow motion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunahujumu vitu vyetu wenyewe kwa tamaa za mabasi na utajiri binafsiHaya mambo tuwaachie wazungusisi tuendekee na matreni yetu ya slow motion
Hapana mradi hauna shida ila ni hujuma za makusudiI told you guys,Nchi maskini ku opt expensive project using high technology tena za kusubiria mfundishwe na Wazungu haya ndio madhara yake.
Kama tungekuwa tumejenga Barabara km 6,000 Sasa hivi tungekuwa tumevuna Uchumi mkubwa sana ambao ungewezesha kusomesha watu Wetu na kujenga Sgr bila pressure yeyote kuanzia mwaka 2030 huko.
Hela zimepotea na kinsgr chenu kitaendelea kusumbua Hadi mkome
Changamoto za mwanzo kutokana na ugeni. Bila shaka kila kitu kitakaa sawa.
Kikubwa siasa ipungue tuSisi hatuna ugeni. Vitu vyote vinavyofanywa na kusimamiwa na Serikali hii ya kwetu huwa havina perfection hata siku moja. Hiyo ndiyo kawaida ya miradi yote ya Serikali. Kukiwa na perfection ndiyo itakuwa ajabu.
Tulianzisha viwanda, viliishia wapi? Tulianzisha mashirika ya usafirishaji kwa kila.mkoa, yaliishia wapi? TANESCO utendaji kazi wake upoje? Hospitali zetu za umma, zipoje?
Watu wazoee tu, hiyo SGR itakuwa inakwenda hivyo hivyo, cha kuombea isipate hitilafu ya kuleta maafa. Hiyo kukwamakwama itakuwa ndiyo utendaji wake wa kawaida.
Siamini kama ni hujuma. Uwezekano mkubwa ni uzembe na kukosa umakini. Ndivyo utendaji kazi wa serikali na taasisi zake zote, ulivyo.Tunahujumu vitu vyetu wenyewe kwa tamaa za mabasi na utajiri binafsi
Nawachukia sana CCM kwa kupenda kuendesha mambo ya nchi kwa ku- bet kama unavyotakatisha uovu wewe kwa maneno kama haya!Inamaana hapajawa na upembuzi ya kinifu wa kitaalamu kabla ya mradi?Tunaanza kufanya eti marekebisho kwenye hatua ya uendeshaji?Changamoto za mwanzo kutokana na ugeni. Bila shaka kila kitu kitakaa sawa.
Kwanini isizimike iliyombeba Rais? au yenyewe haiwezi kupata hitilafu?Siamini kama ni hujuma. Uwezekano mkubwa ni uzembe na kukosa umakini. Ndivyo utendaji kazi wa serikali na taasisi zake zote, ulivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe Kwa akili Yako ya mbuzi ni sawa kumwaga Trilioni 10.5 Kwa Ajili ya Sgr ya km 700? Ili upate nini na Nchi ipate nini?Hapana mradi hauna shida ila ni hujuma za makusudi
Haluna cha mwanzo mgumu serikali ikiendelea kuchekea huu ujinga kuna siku hiyo tren itaua watuMwanzo mgumu kaka
Nani aihujumu, siasa za maji taka hizo, mshindwe kila tatizo linapotokea lazima mtafute chaka la kujifichia?? Mwafika ni mwafrika, tu tena mtanzania ndio kabisaaa!! Ni siasa tu na leo utasikia wanakuja na sababu nyepesi tu, ila ni suala la muda tu.Tulisema mapema lazima wataihujumu
Unaelewa maana ya huduma kwa jamii ? Au umejaza kamasi kichwani?Kwa hiyo wewe Kwa akili Yako ya mbuzi ni sawa kumwaga Trilioni 10.5 Kwa Ajili ya Sgr ya km 700? Ili upate nini na Nchi ipate nini?
🤣Unaelewa maana ya huduma kwa jamii ? Au umejaza kamasi kichwani?
Maadai wakuu wa SGR:Kuna taarifa sisizo rasmi kuwa
Treni ya umeme Dom-Dar yadaiwa kupata hitilafu, yakwama kwa muda.
Je, ni bundi na Ngedere imesababisha hiyo hitilafu Tena?
Maendeleo ya watu ni muhimu sana kabla ya maendeleo ya vitu.Changamoto za mwanzo kutokana na ugeni. Bila shaka kila kitu kitakaa sawa.