kitu chochote kipya takes time to be perfect, hii ni train ya kwanza Africa mashariki na kati ya umeme yenye urefu huu; so its not an easy task mpaka ikaja kukaa sawa
Ni excuse tu hakuna kitu hapo
Msijidanganye eti ya kwanza East Africa sijui mwanzo mgumu.
Ukisikia kuuziwa mbuzi kwenye gunia ndio hii
Kama nchi rushwa inatutafuna sana…

Hakuna mradi hapo
Tunashindwa umeme wa majumbani tutaweza hili kweli?

Tusiwadanganye walipa kodi tafadhalini.
 
Kitu hakina 10days unataka uone ukamilifu wake, hata binadamu wa kwanza hakua mkamilifu ilichukua muda kugundua anahitaji msaidizi, tuachane na hayo maneno, logically huwezi fikiria hiyo treni itaanza bila misukosuko ukizingatia ni mradi mkubwa na wa kwanza kwa mazingira haya, haiitaji akili ya darasa la nne kuelewa hili.
 
Acha kulia lia ukafikiri duniani kuna malaika kwamba hawakosei. Trial and error ni kawaida sana kwenye project kubwa kama hizo.
 
Sio muda wa Kukejeli Mradi...tuwe na Uzalendo kama 🇹🇿 🇹🇿
Yawezekana Mazingira ya nchi yetu yakawa ni changamoto katika Kutekeleza mradi.. huwezi kufananisha Mazingira ya Tanzania ambapo kuna Misitu / Wanyama kama Ujerumani/ UK kwa mfano..
Hapa Nashauri Wasomi wa Vtuo Vikuu Animal Scientists; Ecologists kutoka vyuo vya SUA; udsm washirikishwe ni jinsi gani Wanaweza Kuzuia Hawa Wanyama kuletA Uaribifu kwenye Huo Mradi
Tuwe na Constructive ideas kuliko kuanzA kutoa Kejeli kuonesha kila kitu kinachofanyika basi hakina Manufaa..
Au kutaka Watu watumbuliwe..
Tupende kuwekeza kwenye Uchunguzi ( Investigation) na kuja na Ufumbuzi wa Matatizo yetu
 
Jana France bullet train imekwama station na kuzuia abiria 8000 wasisafiri.
Je hilo unalizungumziaje?
Nao FRANCE ni wapigaji wamejipiga katika miradi!?
TUSIPENDE kua na inferiority complex na negative mindset kila wakati.
Muda mwingine tufikirie in positive way kama nguvu kazi ya taifa hili.
Badala ya kuwazia mawazo asi toeni fikra za kuboresha mifumo iende sawia.Hivyo ndivyo wenzenu hufanya ndio maana wanatuzidi kimaendeleo.
 
Asante sana Mkuu, nilisom quote yake nikaona hata nikimjibu nitakua napoteza muda, nafurahi umeweza kumuelewesha
Watu weusi kiujumla tumekua ni Watu wa kujisimanga na kuwazia mawazo asi kila kukicha.
Ndio maana tumedumaa kifikra.
 
Bora umeongea mkuu.
Yani ukisikiliza watanzania unaweza ukaishiwa nguvu,Yani ni Watu wa kuchukulia kila kitu hakiwezekani.
Negative energy kibaaaooo.
 
Nchi hii kila mradi wakiuanzisha utasikia ni wa kwanza EA,au duniani ni ya pili 😄
Wana mbwembwe hawa

Ova
 
Watu weusi kiujumla tumekua ni Watu wa kujisimanga na kuwazia mawazo asi kila kukicha.
Ndio maana tumedumaa kifikra.
Kujisimanga au mnaambiwa ukweli.....udart tu mpaka leo mna kata mauno tu mnacheza komasava

Ova
 
Kujisimanga au mnaambiwa ukweli.....udart tu mpaka leo mna kata mauno tu mnacheza komasava

Ova
Umeelewa ninalenga nini mkuu!?
Soma kwa uelewa kesha urejee maana HUJAELEWA.
 
Tutembee kwa miguu tusipande mabasi yao.
HAWA WENYE MABASI HUMILIKI NGUVU KALI SANA ZA GIZA TRUST ME OR NOT, UNAWEZA KUTUPWA TUNGURI HAPO MOROGORO IKALETA KERO YA KIHISTORIA, NAKUMBUKA YULE BIBI WA MTWARA ALIYEIZUIA GESI MPAKA AKAOMBWA DADEKI WACHAWI, MBWA KABISA!
 
kitu chochote kipya takes time to be perfect, hii ni train ya kwanza Africa mashariki na kati ya umeme yenye urefu huu; so its not an easy task mpaka ikaja kukaa sawa
Ile back generator Iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…