FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Anaefanya hizi hujuma lazima watakuwa Aboud na Shabiby, wale mangamanga sio wa kuwaamini.., mnaenda kuchokonoa vituo vya kupoozea umeme usiku, tutapanda hivyo hivyo hilo treni..Mnaopinga SGR ni nyie chadema so possibly hijuma zitakuwa zinaanzia huko!
Ni excuse tu hakuna kitu hapokitu chochote kipya takes time to be perfect, hii ni train ya kwanza Africa mashariki na kati ya umeme yenye urefu huu; so its not an easy task mpaka ikaja kukaa sawa
Cute Wife sio kakaMwanzo mgumu kaka
😀 haoni kama ID yako ni ya tangu 2014, kiufupi age imekataKumbe JF bado wendawazimu wapo?? Ngoja nikublock
Kitu hakina 10days unataka uone ukamilifu wake, hata binadamu wa kwanza hakua mkamilifu ilichukua muda kugundua anahitaji msaidizi, tuachane na hayo maneno, logically huwezi fikiria hiyo treni itaanza bila misukosuko ukizingatia ni mradi mkubwa na wa kwanza kwa mazingira haya, haiitaji akili ya darasa la nne kuelewa hili.Ni excuse tu hakuna kitu hapo
Msijidanganye eti ya kwanza East Africa sijui mwanzo mgumu.
Ukisikia kuuziwa mbuzi kwenye gunia ndio hii
Kama nchi rushwa inatutafuna sana…
Hakuna mradi hapo
Tunashindwa umeme wa majumbani tutaweza hili kweli?
Tusiwadanganye walipa kodi tafadhalini.
Acha kulia lia ukafikiri duniani kuna malaika kwamba hawakosei. Trial and error ni kawaida sana kwenye project kubwa kama hizo.
Rais Samia Suluhu Hassan leo Alhamisi amezindua rasmi huduma za usafiri wa reli ya kisasa (SGR), treni iliyokuwa imebeba wageni walioshiriki uzinduzi huo wakiwamo mabalozi na viongozi mbalimbali wa kiserikali kutokea mkoani Dodoma, imepata tena hitilafu karibu na Stesheni ya Morogoro kwa zaidi saa moja sasa.
Pia soma: Morogoro: Treni ya SGR (Dar-Dodoma) yakwama Kidete Kilosa kwa zaidi ya saa 4, sababu Hitilafu ya Umeme
Mmoja wa abiria aliyemo kwenye treni hiyo amesema:"Tumetoka vizuri tu Dodoma lakini tulipofika katikati ya Mkata na Moro stesheni ikiwa kama saa 4:33 usiku ikasimama ghafla hadi na kuzima kabisa, hadi sasa saa 5:33 usiku bado tupo hapa."
Mmoja wa wahariri, Peter Nyanje katika ukurasa wake wa Instagram ameandika:"Ni saa tano usiku tulitoka Dodoma kwenye uzinduzi wa SGR. Wakati tunakaribia station ya Morogoro treni imesimama ghafla njiani, air conditions zimezima, milango haifunguki. Tumekwama hapa sasa ni zaidi ya nusu saa. Tupo takribani watu 1,000 humu ndani."
Hata hivyo, ilipofika saa 5:35 usiku, treni hiyo ilianza safari.
Juhudi za kuupata uongozi wa Shikika la Reli Tanzania (TRC) zinaendelea.
Hayo yanajiri ikiwa zimepita siku mbili baada shirika hilo kuomba radhi kwa treni yake iliyokuwa ikisafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kusimama kwa muda wa saa mbili kati ya stesheni ya Kilosa na Kidete mkoani Morogoro juzi tarehe 30 Julai 2024.
Pia soma: TRC yatolea ufanunuzi kuzimika kwa treni ya SGR Julai 30, 2024 katikati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete
“Taarifa za awali zinaonesha kuwa hitilafu za aina hiyo husababishwa na wanyama (ngedere) au ndege (bundi) wanapogusa nyaya za umeme zilizotandazwa juu ya reli (overhead catenary system),” amesema.
Mwananchi
View attachment 3059048
Jana France bullet train imekwama station na kuzuia abiria 8000 wasisafiri.Ni excuse tu hakuna kitu hapo
Msijidanganye eti ya kwanza East Africa sijui mwanzo mgumu.
Ukisikia kuuziwa mbuzi kwenye gunia ndio hii
Kama nchi rushwa inatutafuna sana…
Hakuna mradi hapo
Tunashindwa umeme wa majumbani tutaweza hili kweli?
Tusiwadanganye walipa kodi tafadhalini.
Watu weusi kiujumla tumekua ni Watu wa kujisimanga na kuwazia mawazo asi kila kukicha.Asante sana Mkuu, nilisom quote yake nikaona hata nikimjibu nitakua napoteza muda, nafurahi umeweza kumuelewesha
Bora umeongea mkuu.Sio muda wa Kukejeli Mradi...tuwe na Uzalendo kama 🇹🇿 🇹🇿
Yawezekana Mazingira ya nchi yetu yakawa ni changamoto katika Kutekeleza mradi.. huwezi kufananisha Mazingira ya Tanzania ambapo kuna Misitu / Wanyama kama Ujerumani/ UK kwa mfano..
Hapa Nashauri Wasomi wa Vtuo Vikuu Animal Scientists; Ecologists kutoka vyuo vya SUA; udsm washirikishwe ni jinsi gani Wanaweza Kuzuia Hawa Wanyama kuletA Uaribifu kwenye Huo Mradi
Tuwe na Constructive ideas kuliko kuanzA kutoa Kejeli kuonesha kila kitu kinachofanyika basi hakina Manufaa..
Au kutaka Watu watumbuliwe..
Tupende kuwekeza kwenye Uchunguzi ( Investigation) na kuja na Ufumbuzi wa Matatizo yetu
Nchi hii kila mradi wakiuanzisha utasikia ni wa kwanza EA,au duniani ni ya pili 😄Ni excuse tu hakuna kitu hapo
Msijidanganye eti ya kwanza East Africa sijui mwanzo mgumu.
Ukisikia kuuziwa mbuzi kwenye gunia ndio hii
Kama nchi rushwa inatutafuna sana…
Hakuna mradi hapo
Tunashindwa umeme wa majumbani tutaweza hili kweli?
Tusiwadanganye walipa kodi tafadhalini.
Kujisimanga au mnaambiwa ukweli.....udart tu mpaka leo mna kata mauno tu mnacheza komasavaWatu weusi kiujumla tumekua ni Watu wa kujisimanga na kuwazia mawazo asi kila kukicha.
Ndio maana tumedumaa kifikra.
Wengi wanaombea mradi ufeWatu weusi kiujumla tumekua ni Watu wa kujisimanga na kuwazia mawazo asi kila kukicha.
Ndio maana tumedumaa kifikra.
Umeelewa ninalenga nini mkuu!?Kujisimanga au mnaambiwa ukweli.....udart tu mpaka leo mna kata mauno tu mnacheza komasava
Ova
HAWA WENYE MABASI HUMILIKI NGUVU KALI SANA ZA GIZA TRUST ME OR NOT, UNAWEZA KUTUPWA TUNGURI HAPO MOROGORO IKALETA KERO YA KIHISTORIA, NAKUMBUKA YULE BIBI WA MTWARA ALIYEIZUIA GESI MPAKA AKAOMBWA DADEKI WACHAWI, MBWA KABISA!Tutembee kwa miguu tusipande mabasi yao.
Ile back generator Iko wapi?kitu chochote kipya takes time to be perfect, hii ni train ya kwanza Africa mashariki na kati ya umeme yenye urefu huu; so its not an easy task mpaka ikaja kukaa sawa
si ndiyo hapo😀😀😀😀Akacheze na watoto wenzie😀 haoni kama ID yako ni ya tangu 2014, kiufupi age imekata
Ila mwanzo mgumu acha tuwe na subraKwakweli hapo na mimi kidogo nimeogopa, halafu kulikua na mtu buku so ajabu behewa kibao zilishona.
Mwisho muanze kuitafuta kwa tochi oxygen afu sisi wafupi tukufe kwa kuikosa.