Treni yaleta ‘kilio’ usafiri wa mabasi Dar - Moshi

Treni yaleta ‘kilio’ usafiri wa mabasi Dar - Moshi

Mkuu, asante kwa taarifa.

Hapa tunazungumzia nchi ya ulimwengu wa tatu, kwa abiria (hasa mnyonge) kuchagua usafiri anaoutaka na kwa kadri anavyomudu gharama za usafiri ni jambo la kimaendeleo. Pia kuna suala la usalama ambapo mtu anasafiri toka upande/sehemu moja ya nchi hadi nyingine kwa amani na utulivu huku akifurahia safari yake.

Kwa mtu/mwananchi (hasa wakazi wa mikoa ya kaskazini) anayefurahia haya atasema chochote kuelezea furaha yake. Kwa hilo tutasikia mengi. Pia tunafahamu kuwa wapo wasiopenda uwepo wa jambo hili. Tunawapa pole. VIVA TANZANIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kigoma Kuna treni na mabasi yanajaa tu....hao waboreshe huduma,wajue n wapi wamekwama

Sent using Jamii Forums mobile app
Unalinganisha mabasi yanayokwenda kigoma na yanayokwenda kaskazini kwa Tanzania ? Unaota ndoto ya asubuhi mkuu.ili kujua Hali halisi na kwa vitendo kuwa train imevuruga mabasi na wamiliki wake njoo stand ya mkoa muda huu Niko hapa , mabasi yapo hakuna abiria na yaliyoondoka hayakujaa. Hali sio Shari na wapigadebe nawaona kukizurura tu na kupiga kelele.wengi wameanza kuhamia stand ya dodoma na morogoro ili kujipatia mlo wa siku.
 
Lakini kumbukeni kuna watu watakosa ajira baada ya hayo mabasi kusimama,wanafunzi kilipiwa na wazazi, ndugu aliye kuwa anasaidiwa na mfanyakazi wa basi, maduka, mahoteli ktk stendi za mabasi zote zilikuwa zinahudumia watu mbali mbali na kulipa kodi za jengo na mamlaka husika,tuangalie pande zote. Na wale abiria wa njiani ambapo hamna stesheni ya treni wanapataje huduma,? Nimawazo yangu tu rejea Mombasa to Nairobi kilio cha wenye mabasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo usafiri wa trani uzuiliwe?

No way out. Ni kutafuta njia mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sasa hata mama kimario muuza vitumbua anauhakika wa kwenda moshi krismasi kula na kunywa mbege na watoto.
Hivi bado wachaga mna kadi za chadema
 
NIKOOO MOSHII HALI N TETE WAPENDWA MABASI YANAENDA DAR KWA SABABU TU YANATAKIWA KWENDA

MABASI HATA NUSU AYAJAI BEI N ZAKUTUPA KURUDI DAR HADI 18000 LWENDA MPAKA 22000 WACHA TUNYOOOKE MUDA WA KUINGIA KANNAN YA MAGUFULI NDIOO HUU

MLIFIKIRI YULE DOGO ALIUZA MALORI 300+ ALIKUWA FALA NA MABASI AKAISHIA KUUZA KABISA ATAKI SHIDA
Hali tete,dogo aliyeuza Maori 300 na mabus ni yupi tena
 
Labda mimi ndio sielewi hapa
Usafiri bado sana huko hata kama wataweka train tatu naona bado mabasi yatapata wasafiri tu
Train moja tu tena safari moja wanalalamika
Hapa nilipo watu ni 60m na usafiri wa train upo wa chini ya ardhi na upo wa juu na ni nyingi sana
Lakini pia mabasi yapo ya nje ya mji na yote yanajaa full
Katika usafiri bado sana na wasafiri ni wengi bado


Sent from my iPhone using Tapatalk
Nadhan hapa tajir na timu yake watabidi warekebishe nauli na baadhi ya changamoto zinazolalamikiwa na abiria. Hapo wapanda tren watakuwepo na wapanda mabasi watakuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani nimesoma huu uzi asee nimebaki nacheka 16/12/2019 nimetoka dar kuja chuggah pale shekilango Kilimanjaro ametoa gari 10 zinazoenda arusha na Moshi na kwenda dar hivyo hivyo na gari zote zipo level seat na wengine wamepakiwa njiani wakakaa pale pembeni ya derava juu ya engine sasa kusema biashara ya bus itakufa nakataa na ninapinga
IMG_1499.JPG


Hii ni Korogwe Kilimanjaro fast food vyuma vikepaki mapumziko ya dk 30 za chakula


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ingekuwa ni hivyo hiyo biashara ingekufa kwa Mbeya na Mwanza ambako treni zipo!!

Usisikilize kauli za masikini na washamba!!
Yani nimesoma huu uzi asee nimebaki nacheka 16/12/2019 nimetoka dar kuja chuggah pale shekilango Kilimanjaro ametoa gari 10 zinazoenda arusha na Moshi na kwenda dar hivyo hivyo na gari zote zipo level seat na wengine wamepakiwa njiani wakakaa pale pembeni ya derava juu ya engine sasa kusema biashara ya bus itakufa nakataa na ninapingaView attachment 1300483

Hii ni Korogwe Kilimanjaro fast food vyuma vikepaki mapumziko ya dk 30 za chakula


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda mimi ndio sielewi hapa
Usafiri bado sana huko hata kama wataweka train tatu naona bado mabasi yatapata wasafiri tu
Train moja tu tena safari moja wanalalamika
Hapa nilipo watu ni 60m na usafiri wa train upo wa chini ya ardhi na upo wa juu na ni nyingi sana
Lakini pia mabasi yapo ya nje ya mji na yote yanajaa full
Katika usafiri bado sana na wasafiri ni wengi bado


Sent from my iPhone using Tapatalk
Labda Mabasi ya 3rd Class. Yale First class yamejaza Hadi 26 Dec. Nenda pale Shekilango yalipo Dar Exp, Dar Lux,KLM, Kidia, Tilisho,Esta hata Kwa Laki hupati. Nafasi Zimejaa Booked ana paid.
 
Labda Mabasi ya 3rd Class. Yale First class yamejaza Hadi 26 Dec. Nenda pale Shekilango yalipo Dar Exp, Dar Lux,KLM, Kidia, Tilisho,Esta hata Kwa Laki hupati. Nafasi Zimejaa Booked ana paid.

Ndio maana nasema bado nchi inahitaji mabasi na train pia


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom