Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,054
- 2,902
Mbona kigoma Kuna treni na mabasi yanajaa tu....hao waboreshe huduma,wajue n wapi wamekwama
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalinganisha mabasi yanayokwenda kigoma na yanayokwenda kaskazini kwa Tanzania ? Unaota ndoto ya asubuhi mkuu.ili kujua Hali halisi na kwa vitendo kuwa train imevuruga mabasi na wamiliki wake njoo stand ya mkoa muda huu Niko hapa , mabasi yapo hakuna abiria na yaliyoondoka hayakujaa. Hali sio Shari na wapigadebe nawaona kukizurura tu na kupiga kelele.wengi wameanza kuhamia stand ya dodoma na morogoro ili kujipatia mlo wa siku.Mbona kigoma Kuna treni na mabasi yanajaa tu....hao waboreshe huduma,wajue n wapi wamekwama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo usafiri wa trani uzuiliwe?Lakini kumbukeni kuna watu watakosa ajira baada ya hayo mabasi kusimama,wanafunzi kilipiwa na wazazi, ndugu aliye kuwa anasaidiwa na mfanyakazi wa basi, maduka, mahoteli ktk stendi za mabasi zote zilikuwa zinahudumia watu mbali mbali na kulipa kodi za jengo na mamlaka husika,tuangalie pande zote. Na wale abiria wa njiani ambapo hamna stesheni ya treni wanapataje huduma,? Nimawazo yangu tu rejea Mombasa to Nairobi kilio cha wenye mabasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hali tete,dogo aliyeuza Maori 300 na mabus ni yupi tenaNIKOOO MOSHII HALI N TETE WAPENDWA MABASI YANAENDA DAR KWA SABABU TU YANATAKIWA KWENDA
MABASI HATA NUSU AYAJAI BEI N ZAKUTUPA KURUDI DAR HADI 18000 LWENDA MPAKA 22000 WACHA TUNYOOOKE MUDA WA KUINGIA KANNAN YA MAGUFULI NDIOO HUU
MLIFIKIRI YULE DOGO ALIUZA MALORI 300+ ALIKUWA FALA NA MABASI AKAISHIA KUUZA KABISA ATAKI SHIDA
Walioko stand ya mabasi ya ubungo na Moshi tupatieni marejesho kuhusu abiria wa mabasi Hali ikojeHali tete,dogo aliyeuza Maori 300 na mabus ni yupi tena
Nadhan hapa tajir na timu yake watabidi warekebishe nauli na baadhi ya changamoto zinazolalamikiwa na abiria. Hapo wapanda tren watakuwepo na wapanda mabasi watakuwepoLabda mimi ndio sielewi hapa
Usafiri bado sana huko hata kama wataweka train tatu naona bado mabasi yatapata wasafiri tu
Train moja tu tena safari moja wanalalamika
Hapa nilipo watu ni 60m na usafiri wa train upo wa chini ya ardhi na upo wa juu na ni nyingi sana
Lakini pia mabasi yapo ya nje ya mji na yote yanajaa full
Katika usafiri bado sana na wasafiri ni wengi bado
Sent from my iPhone using Tapatalk
Yani nimesoma huu uzi asee nimebaki nacheka 16/12/2019 nimetoka dar kuja chuggah pale shekilango Kilimanjaro ametoa gari 10 zinazoenda arusha na Moshi na kwenda dar hivyo hivyo na gari zote zipo level seat na wengine wamepakiwa njiani wakakaa pale pembeni ya derava juu ya engine sasa kusema biashara ya bus itakufa nakataa na ninapingaView attachment 1300483
Hii ni Korogwe Kilimanjaro fast food vyuma vikepaki mapumziko ya dk 30 za chakula
Sent from my iPhone using JamiiForums
Juzi kati kaongeza mabuss..Ratiba ya treni ya abiria iwe kila siku kwa mwezi huu wa Desemba kwenda Moshi. Namshauri Ndugu Abood wa Morogoro asome namba kwa sababu ya SGR.
Hali tete,dogo aliyeuza Maori 300 na mabus ni yupi tena
Labda Mabasi ya 3rd Class. Yale First class yamejaza Hadi 26 Dec. Nenda pale Shekilango yalipo Dar Exp, Dar Lux,KLM, Kidia, Tilisho,Esta hata Kwa Laki hupati. Nafasi Zimejaa Booked ana paid.Labda mimi ndio sielewi hapa
Usafiri bado sana huko hata kama wataweka train tatu naona bado mabasi yatapata wasafiri tu
Train moja tu tena safari moja wanalalamika
Hapa nilipo watu ni 60m na usafiri wa train upo wa chini ya ardhi na upo wa juu na ni nyingi sana
Lakini pia mabasi yapo ya nje ya mji na yote yanajaa full
Katika usafiri bado sana na wasafiri ni wengi bado
Sent from my iPhone using Tapatalk
Siku mtakayoacha kuiunga mkono chadomoArusha itafikiwa lini na huduma hii
Labda Mabasi ya 3rd Class. Yale First class yamejaza Hadi 26 Dec. Nenda pale Shekilango yalipo Dar Exp, Dar Lux,KLM, Kidia, Tilisho,Esta hata Kwa Laki hupati. Nafasi Zimejaa Booked ana paid.