nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
150 times 3 ni 450,trip moja classes zote 3 ni abiria 150 tu kwa trip mojaRudia tena hesabu zako... nakukumbusha ni zile hesabu za cross multiplication.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
150 times 3 ni 450,trip moja classes zote 3 ni abiria 150 tu kwa trip mojaRudia tena hesabu zako... nakukumbusha ni zile hesabu za cross multiplication.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mie mwakani naona mbali! Mwaka huu mabasi naachana nayo kabisa..Mwaka ujao sina budi kwenda vacation moshi kwa kutumia usafiri huu,.ili nifaidi treni maana nimelipanda zamani mwe!!!
hayo ni mabasi 100 ni sawa na safari ya siku moja tu ya mabasi ya arusha!Hesabu zako aziko sawa hebu piga upya
Abiria 450×trip 3 = 1350 abiria kwa wiki
Abiria 1350 × wiki 4 = 5400 abiria kwa mwezi.
Idadi hiyo 5400 ni sawa na mabasi mangapi?
Linganisha hapo alafu uje na hitimisho
Rudia tena kusoma post yako... wengine tulikuwa hatujui trip moja inabeba abiria wangapi.... ila tumeona kwenye maelezo yako.150 times 3 ni 450,trip moja classes zote 3 ni abiria 150 tu kwa trip moja
Kweli mmeshikwa pabaya, Kwanza mlisema hapandi mtu, watu wa Moshi wanauwezo na wana magari yao, baadae mkasema usafiri wa kishamba Nani asafiri usiku kucha, sasa hivi wenye magari wanalalamika abiria sio kama miaka iliyopita wewe unasema train haitoshi, sio kweli Wana mabehewa ya kutosha abiria wakiongezeka na wao wataongeza mabehewa, nitakubaliana na wewe ukisema kwamba hawa abiria ni wa.msimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Dar- Arusha ina mabasi 100 yanayofanya safari?hayo ni mabasi 100 ni sawa na safari ya siku moja tu ya mabasi ya arusha!
bado haiwez athiri mfumo! maana wao pia huwa wanakodi coaster tarehe zikifka! watagawana mbao
yanafika bana kuna kampuni zaidi ya 25 nwa wastani wa gari tatu au 4 kwa kila kampuniKwahiyo Dar- Arusha ina mabasi 100 yanayofanya safari?
Kutuambia trip moja inabeba abiria 150 hilo sio la kweli150 times 3 ni 450,trip moja classes zote 3 ni abiria 150 tu kwa trip moja
Siamini hilo mkuuyanafika bana kuna kampuni zaidi ya 25
rudia tena post yangu nime mention machache tu kwanzaSiamini hilo mkuu
Daaa mkuu hata kwa akili ndogo tu haiwezekani yaani mabehewa yote yabebe watu 150? Kama level seat ni 100 ya behewa moja bado watakao simama kwa third class iweje behewa 14 zibebe watu 150Yaani treni inaenda Moshi mara 3 kwa week, trip moja inabeba watu 150 kwa hiyo hadi mwezi uishe itakuwa imebebeba abiria kama 2000 tu ndiyo imeua biashara ya mabasi msimu wa Christmas?
Get outta here.
Nakubaliana na wewe kabisa.Hizo treni ni hatua ya maendeleo lakini haziwezi kuuwa biashara ya mabasi kwa sababu kila usafiri una sifa na kasoro zake na abiria wana sababu tofauti za kusafiri.Wengine ni wafanyabiashara wanapenda walale kwenye treni asubuhi wafike waendako na wengine ni wagonjwa au wanafunzi wanataka asubuhi mapema wawe wa mwanzo kufika sehemu husika sio saa mbili linapofika treni hata kuoga bado.Labda mimi ndio sielewi hapa
Usafiri bado sana huko hata kama wataweka train tatu naona bado mabasi yatapata wasafiri tu
Train moja tu tena safari moja wanalalamika
Hapa nilipo watu ni 60m na usafiri wa train upo wa chini ya ardhi na upo wa juu na ni nyingi sana
Lakini pia mabasi yapo ya nje ya mji na yote yanajaa full
Katika usafiri bado sana na wasafiri ni wengi bado
Sent from my iPhone using Tapatalk
yanafika bana kuna kampuni zaidi ya 25 nwa wastani wa gari tatu au 4 kwa kila kampuni
mfano Dar exp, Dar lux, Hai, Happy nation, serengeti, buffalo, ngorika, machame, esther, marangu, BM, na wengine wengiii
Tutaenda usijali mpenzi.Mwaka ujao sina budi kwenda vacation moshi kwa kutumia usafiri huu,.ili nifaidi treni maana nimelipanda zamani mwe!!!