Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Usafri wa train ulikuwa umegubikwa na urasim, wamiliki wa magari kama si wote walikuwa wana ihujumi rel direct or indirect
Hii ilipelekea kuwa dhoful hali, ukiangalia kwa umakin utagundua wahujum hawa walitumia pesa kwa kuwa mfumo ulikuwa collupt no 1 who care, mfum ulikuwa umechomwa sindano ya nusu kaputi yaan upo kama haupo
KubAdilishwa kwa mifumo kila mtu anaogopa sa iv jipu lake lisiive mapema, hujiuliz walishindwa nn viongoz waliopita kutengeneza tu reli? Wakati tayar miundo mbinu ilikuwepo?
Hapo ndpo utajua pesa ilivyo na nguvu, pamoja na kwamba usafr wa mabasi hautakufa ila utabaki si wa usumbufu kama ilivyo kuwa awali na itarahisisha hudum na utaratib wa mabasi namna ya kuwahudumia abiria..
Kunamdau amesem wamiliki wajiandae ni kwel wajiandae ya moshi ni endictor tu kuwa wasipo kuwa makini watacollups kabisa...
Wakati mwingine serikal inapofAnya mazr tuipe pongezi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ilipelekea kuwa dhoful hali, ukiangalia kwa umakin utagundua wahujum hawa walitumia pesa kwa kuwa mfumo ulikuwa collupt no 1 who care, mfum ulikuwa umechomwa sindano ya nusu kaputi yaan upo kama haupo
KubAdilishwa kwa mifumo kila mtu anaogopa sa iv jipu lake lisiive mapema, hujiuliz walishindwa nn viongoz waliopita kutengeneza tu reli? Wakati tayar miundo mbinu ilikuwepo?
Hapo ndpo utajua pesa ilivyo na nguvu, pamoja na kwamba usafr wa mabasi hautakufa ila utabaki si wa usumbufu kama ilivyo kuwa awali na itarahisisha hudum na utaratib wa mabasi namna ya kuwahudumia abiria..
Kunamdau amesem wamiliki wajiandae ni kwel wajiandae ya moshi ni endictor tu kuwa wasipo kuwa makini watacollups kabisa...
Wakati mwingine serikal inapofAnya mazr tuipe pongezi...
Sent using Jamii Forums mobile app