Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,081
- 2,325
Du. Pole. Nenda Dar es Salaam - Rovos RailNyie ccm ni waongo, hakuna reli ya kutoka South Africa kuja Tanzania labda kama ipo Zambia to South inawezekana kuja hadi Tanzania kupitia TAZARA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du. Pole. Nenda Dar es Salaam - Rovos RailNyie ccm ni waongo, hakuna reli ya kutoka South Africa kuja Tanzania labda kama ipo Zambia to South inawezekana kuja hadi Tanzania kupitia TAZARA.
Ipo na hiyo rovos inazunguka karibu africa yote mwezi wa kwanza niliiona angolaIvi kuna reli ya mojakwamoja kutoka Dar to kwa zulu ??!!!
Mkuu reli ya TAZARA inaunga mpaka South kwa Madiba kitaalamu wanaita Cape Gauge ni tofauti kidogo na Standard Gauge inayojengwa BongoHao waliunga unga wakafika Zambia, then Zambia to Tz via tazara railway. Hakuna tren ya Dar to South Afrika, labda reli ya ccm.
Jinsi unavyowona barabara zilivyo za kuunga hadi unafika Nchi zingine,na reli nazo hivyo hivyo unauunga hadi unafika Misiri! Kama hapo unaona Watu wametoka South na reli ya South kupitia Zimbabwe hadi kuingia Zambia, Zambia wakala reli ya Tazara hadi Tanzania!!Hao waliunga unga wakafika Zambia, then Zambia to Tz via tazara railway. Hakuna tren ya Dar to South Afrika, labda reli ya ccm.
Zamani tuliyaita makaburu sasa hivi tunayaita mataliiTRENI YA WATALII YA ROVOS YAPOKELEWA
Wizara ya Maliasili na Utalii, kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), imepokea treni ya Kitalii Kampuni ya ROVOS yenye Watalii 60 kutoka nchini Afrika Kusini.
Treni hiyo ilianza safari yake mwezi Juni 30, 2023 na imepita katika nchi za Botswana, Zimbabwe, Zambia na kuhitimisha nchini Tanzania.
Afisa Utalii Mkuu Bi. Alistidia Karaze amesema kuwa Bodi ya Utalii Tanzania Kwa niaba ya Wizara ya Maliasili na Utalii imepokea Watalii 60 waliotoka Mataifa ya, Denmark, Canada, Australia, Malaysia, Marekani na Afrika Kusini.
"Watalii hawa wamekuja na treni ya ROVOS alionza safari kutoka Afrika Kusini, wakiwa nchini watapata fursa ya kutembelea Hifadhi ya Serengeti, Ngorongoro, Mlima Kilimanjaro, Dar es Salaam na Zanzibar" amesema Karaze
Ameongeza kuwa tukio hilo ni kutokana na juhidi za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Hassan Suluhu kupitia filamu ya " The Royal Tour" kutangaza utalii duniani.
Mtalii Andrew Saimon kutoka Marekani amefurahishwa na mapokezi makubwa kutoka Tanzania na kuwapongeza watanzania Kwa kuwa watu wakarimu na wenye upendo.
View attachment 2689015View attachment 2689016View attachment 2689017View attachment 2689018
Huwa inakuja mara moja kwa mwaka kama sikosei ipo miaka mingi tuZamani ipi hebu tupe taarifa kamili na sisi tuelewe
Tazara inaishia Zambia sawa lakini pale reli inaendelea mpaka South africa kupitia Botswana na Zimbabwe reli ni hii hii sasa nyinyi mnafikiri hiyo treni huwa wanaibeba kuihamishia reli ya tazaraHao waliunga unga wakafika Zambia, then Zambia to Tz via tazara railway. Hakuna tren ya Dar to South Afrika, labda reli ya ccm.
Kama hujui uwe unakaa kimya hiyo treni ya kitalii ina kuja karibia kila mwaka toka South africa moja kwa moja!...tazara kama tazara inaishia Zambia ila pale reli inaendelea mpaka South africaHao waliunga unga wakafika Zambia, then Zambia to Tz via tazara railway. Hakuna tren ya Dar to South Afrika, labda reli ya ccm.
Mimi hilo sijui ninalojua Tazara mwisho Zambia. Kama wametengeza kiungo pale Zambia sawaTazara inaishia Zambia sawa lakini pale reli inaendelea mpaka South africa kupitia Botswana na Zimbabwe reli ni hii hii sasa nyinyi mnafikiri hiyo treni huwa wanaibeba kuihamishia reli ya tazara
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hii treni iko toka siku nyingi karibu miaka saba sasa na ilianza na Trans africa kwa hiyo usidanganye watu hii ipo kitambo sana.TRENI YA WATALII YA ROVOS YAPOKELEWA
Wizara ya Maliasili na Utalii, kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), imepokea treni ya Kitalii Kampuni ya ROVOS yenye Watalii 60 kutoka nchini Afrika Kusini.
Treni hiyo ilianza safari yake mwezi Juni 30, 2023 na imepita katika nchi za Botswana, Zimbabwe, Zambia na kuhitimisha nchini Tanzania.
Afisa Utalii Mkuu Bi. Alistidia Karaze amesema kuwa Bodi ya Utalii Tanzania Kwa niaba ya Wizara ya Maliasili na Utalii imepokea Watalii 60 waliotoka Mataifa ya, Denmark, Canada, Australia, Malaysia, Marekani na Afrika Kusini.
"Watalii hawa wamekuja na treni ya ROVOS alionza safari kutoka Afrika Kusini, wakiwa nchini watapata fursa ya kutembelea Hifadhi ya Serengeti, Ngorongoro, Mlima Kilimanjaro, Dar es Salaam na Zanzibar" amesema Karaze
Ameongeza kuwa tukio hilo ni kutokana na juhidi za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Hassan Suluhu kupitia filamu ya " The Royal Tour" kutangaza utalii duniani.
Mtalii Andrew Saimon kutoka Marekani amefurahishwa na mapokezi makubwa kutoka Tanzania na kuwapongeza watanzania Kwa kuwa watu wakarimu na wenye upendo.
View attachment 2689015View attachment 2689016View attachment 2689017View attachment 2689018
hii ilikuwa Transafrica ni muda sanaZamani ipi hebu tupe taarifa kamili na sisi tuelewe
Unavyojua wewe ndo hivyo ila reli hiyo inaenda mpaka South africa na hiyo treni ya kitalll inakuja kila mwaka moja kwa mojaMimi hilo sijui ninalojua Tazara mwisho Zambia. Kama wametengeza kiungo pale Zambia sawa