Tribulation ni kama onyo kwa marapa wabana pua wote

Tribulation ni kama onyo kwa marapa wabana pua wote

Pruu mpaka maka haunikuti...|
Kiakili we ni mpuuzimpuzi unapatia vyema...|

Hizo baka baka pusy pusy, nilizitabiri kama kuchi kuchi na bado ukarudia tena...|
Unajiona mkubwa wakati hata nyeto hujapiga vizuri,

Bishoo mzima unaitwa Cosmas ,

Kuvutavuta naniii ushajiona muhuni, wakati hata kunyonga hujajua.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Unajiona mkubwa wakati hata nyeto hujapiga vizuri,

Bishoo mzima unaitwa Cosmas ,

Kuvutavuta naniii ushajiona muhuni, wakati hata kunyonga hujajua.
Juzi juzi ulikuwa mtoto pori...|
Siku hizi unaita wachumba inbox mpige story...|
Mademu wanashangaa, huyu jamaa mbona mbwiga..|
Followers kadhaa anaanza kujiona bieber..|
 
Hii tribulation imekua kama onyo kwa wasanii wabana pua wote.
Nadhani ule ubishi wa nani anafaa kupewa crown ya Hip-pop umeisha hakuna cha Young lunya wala young nani.. hakuna anaeweza kubattle na Dizasta.
Mkwaju Mkali sana huu 🔥🔥🔥
 
Hii tribulation imekua kama onyo kwa wasanii wabana pua wote.
Nadhani ule ubishi wa nani anafaa kupewa crown ya Hip-pop umeisha hakuna cha Young lunya wala young nani.. hakuna anaeweza kubattle na Dizasta.

Kuna msanii nasubiri aingilie hii beef
 
Hii tribulation imekua kama onyo kwa wasanii wabana pua wote.
Nadhani ule ubishi wa nani anafaa kupewa crown ya Hip-pop umeisha hakuna cha Young lunya wala young nani.. hakuna anaeweza kubattle na Dizasta.
Unamaanisha fid na fa tuwatupe kule, hawawezi hip-hop!?
 
Unamaanisha fid na fa tuwatupe kule, hawawezi hip-hop!?
Haters haters
Nimekuja kuwapa msongo wa mawazo mi' ni pay cut..|
Nilikotoka bingwa jamii imeshiba sana ujinga, that 's the reason am not famous...|

Nimekuja na uthibitisho your favorite raper is lame ass..|
An orthodoxy derivery since way back..|
kama k.dot, look my bar game is A-plus..|
 
Dizasta Vina

Comfortably anatawala uku underground [emoji16][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom