Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Dizasta anangoma gani kali niende YouTube sasa hiviYoung killler toka B 13 alishapotea hana nyimbo nzuri kuzidi iyo
Sikuizi anatapata tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dizasta anangoma gani kali niende YouTube sasa hiviYoung killler toka B 13 alishapotea hana nyimbo nzuri kuzidi iyo
Sikuizi anatapata tu
Naona pusha wako anaifanya kazi yake vizuriWote wanaweza kuwa wamezidiwa na Dizasta
Nothing is impossible
Kwani mayale na Peter crouch nani mchezaji mzuri?
Sahihi...Kuna watu wanajua kila msanii ana njaa kama wasanii wao hawajui kila mtu anaishi maisha yake.Yeye ndiyo alivyoa amuoa ku operate ukimskiliza kwenye Tribulation utasikia
Pia elimu anayo so hana njaa he is doing for funny and Passion
Sizitaki mbichi hizi, failures have bulk of excuses.Sahihi...Kuna watu wanajua kila msanii ana njaa kama wasanii wao hawajui kila mtu anaishi maisha yake.
Kiufupi dizasta anafanya kile anachopenda
Wapi kuna taarabMbona kama taarabu, mipasho na simulizi ambazo haziendani na uhalisia
Kaka Mbona unavuka kikomo, hapo mama yake kahusika wapiii??, jibu hoja na sio kutukanaMuhuni mama ako