mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,597
- 3,565
Nikki Mbishi atawakalisha kwenye battle zenu kina dizastaDizasta ameshamwambia Y.killer akijaribu amebip kifo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikki Mbishi atawakalisha kwenye battle zenu kina dizastaDizasta ameshamwambia Y.killer akijaribu amebip kifo
Mapenzi upofu, mapenzi uchizi, jamaa huwezi mwambia kitu akakuelewa kwa huyo dizasta.Ana flow kimbwiga sana, it irritates big tig time.
Na huyu anayempaisha kwenye huu uzi anaandika kizuzu, L na R zinamvuruga sijui na rap yenyewe imekorogwa namna hiyo.
Story tellers kina Prof J hawakuwa wakiandika mistari rubbish, ilikuwa yaani mtu wa rika lolote anasikiliza na anakuwa kama yuko na lecturer anaelimishwa.
Neno simple kama DELIVERY anaandika DERIVERY, [emoji706] [emoji706].
Hao unaowataja zama zao zimeisha bro..! Japo Sio lazima wote tumkubali DizastaMapenzi upofu, mapenzi uchizi, jamaa huwezi mwambia kitu akakuelewa kwa huyo dizasta.
"kufa kwa waganga, tutapungwa na walevi"
Yaani waganga wakipotea hata walevi watatibu watu.
Hawa kina dizasta, kina rapcha wanajivisha uking wasiostahiki.. Kipindi kina fid, profesa, mo teknik, binamu na watu kibao, wanafanya muziki serious hawa, ilibidi wawe wanachania bafuni wakienda kuoga.
Ndio hivyo tena hakuna watu nao wanajivika UKINGI.
We jamaa ni hater tuAna flow kimbwiga sana, it irritates big tig time.
Na huyu anayempaisha kwenye huu uzi anaandika kizuzu, L na R zinamvuruga sijui na rap yenyewe imekorogwa namna hiyo.
Story tellers kina Prof J hawakuwa wakiandika mistari rubbish, ilikuwa yaani mtu wa rika lolote anasikiliza na anakuwa kama yuko na lecturer anaelimishwa.
Neno simple kama DELIVERY anaandika DERIVERY,
Kuna watu wanafurahisha sanaWewe mgeni kwenye Rap
Ushamsikiliza vizuri immortal technique?Mistari mizuri.. Ila jinsi anavyorap haihamasishi kusikiliza. Abadili jinsi ya kuflow.
Hapana, kifupi siku hizi mziki siusikilizi.. Nausikia sikia tu.
Mapenzi yenu kwa dizasta vina, yasiwafanye muwaone marapa wengine wabovu. Mbona Kuna conboi cannabino 🔥🔥Wewe mgeni kwenye Rap
Duh ko kurap bila kiitikio ndo ubora kwako?? Sinaga swaga Zina kiitikio??Asa uyo si mavi tu imagine mtu ana Rap dakika 11 bila kiitikio
Conboi na bange zake ataweza?
Neno 'logical fallacy ' umelibeba tu kisa Lina ladha!!...uelewa wako kisodaLady jaydee akimjua ndiyo nini?
Umeongea logical fallacy
Utamjulia wapi sugu mdogo wangu,sugu ana albam 12 za hip-hop,albam ya mwisho alitoa 2002,kipindi hicho anatoa albam hapakua na msanii mwingine wa hip-hop aliyetoa albam,we sikiliza majigambo,matusi na mipasho ya wapuuzi wenzio wanaojiita wasanii, MCsAsa sugu nae ni msaa
Uyo sugu si kama kado kitengo tu
Dizasta kaanza hip-hop lini!?Hawajui ndiyo
🙄 🤣🤣Mapenzi yenu kwa dizasta vina, yasiwafanye muwaone marapa wengine wabovu. Mbona Kuna conboi cannabi
Huyo jamaa anchanganya madesaAsa uyo si mavi tu imagine mtu ana Rap dakika 11 bila kiitikio
Conboi na bange zake ataweza?
Dizasta kaanza hip-hop lini!?
Hilarious....! Niwe hater kwa mtu ambaye more than ten yrs kwenye game bado ni underground [emoji50][emoji44]!We jamaa ni hater tu
He is not realistic, yuko kiushabiki zaidi.Mapenzi upofu, mapenzi uchizi, jamaa huwezi mwambia kitu akakuelewa kwa huyo dizasta.
"kufa kwa waganga, tutapungwa na walevi"
Yaani waganga wakipotea hata walevi watatibu watu.
Hawa kina dizasta, kina rapcha wanajivisha uking wasiostahiki.. Kipindi kina fid, profesa, mo teknik, binamu na watu kibao, wanafanya muziki serious hawa, ilibidi wawe wanachania bafuni wakienda kuoga.
Ndio hivyo tena hakuna watu nao wanajivika UKINGI.
Kama kweli ni mkali lazima awe na hits za kui-concur mainstream, kuzuri kinajiuza chenyewe.Hao unaowataja zama zao zimeisha bro..! Japo Sio lazima wote tumkubali Dizasta
Mi nawaambia Hawa majamaa, mapenzi yao kwa dizasta vina yasiwafanye wawaone marapa wengine wabovu Mbona con boi ana uandishi mzuri tu Kuna till I die, about me etcHe is not realistic, yuko kiushabiki zaidi.