Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hee kumbe do 11 ndo ukalii ??, au unafikiri hawawezi?? Eminem,pac vipi ngoma zao Zina masaaa??Zina dkk 4 tu ajaribu mtu kuenda 11 au 7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee kumbe do 11 ndo ukalii ??, au unafikiri hawawezi?? Eminem,pac vipi ngoma zao Zina masaaa??Zina dkk 4 tu ajaribu mtu kuenda 11 au 7
Nonsense, nonsense kawasikilize maguru wa hiphop walisema till I die ni heavy machine. Afu kanisa si aliwachana mapastor wake. Till I die unaelewa inazungumzia Nini??Asa till i die tu dizasta ana albam kazaaa
Nenda kasikilize
KIKAONI
NYUMBA NDOGO
KANISA
Kwamba unataka ufanananishe till I die na kanisa?😅Nonsense, nonsense kawasikilize maguru wa hiphop walisema till I die ni heavy machine. Afu kanisa si aliwachana mapastor wake. Till I die unaelewa inazungumzia Nini??
Umemlinganisha na raptcha sio?Hii tribulation imekua kama onyo kwa wasanii wabana pua wote.
Nadhani ule ubishi wa nani anafaa kupewa crown ya Hip-pop umeisha hakuna cha Young lunya wala young nani, hakuna anaeweza kubattle na Dizasta.
Mapenzi mabaya, kasema Banana Zahir Alli Zorro.Unamaanisha fid na fa tuwatupe kule, hawawezi hip-hop!?
Humu kuna watoto sana.Utamjulia wapi sugu mdogo wangu,sugu ana albam 12 za hip-hop,albam ya mwisho alitoa 2002,kipindi hicho anatoa albam hapakua na msanii mwingine wa hip-hop aliyetoa albam,we sikiliza majigambo,matusi na mipasho ya wapuuzi wenzio wanaojiita wasanii, MCs
Wote ambao wapo kwenye game kwa sasaUmemlinganisha na raptcha sio?
Young killer the don "AGOST 13" aliua vibayarapa gani anaemzidi Dizasta kwenye upande wa kutembea na vina?
Namkubali young killer ila kwenye swala la uandishi hakuna anaemfikia Dizasta vina..Young killer the don "AGOST 13" aliua vibaya
Kwa wa sasa mbona watasubiri.Wote ambao wapo kwenye game kwa sasa
Hashim na mashairi yake yenye vina mwanzo kati na mwisho'...Sasa young lunya si anaropokaropoka tu kwenye mic na kupiga makeleleHumu kuna watoto sana.
Kuna siku niliandika habari ya Hashim dogo jamaa akareply anamueka Hashim dogo na hao kina Young Lunya kundi moja, jamaa alijua sababu Hashim dogo ameona neno dogo basi nayeye ni msanii wa kipindi hiki.
Halafu akaanza kunishambulia kwa matusi ndio nikafaham humu matoto yamejaa na hayajui vitu vingi.
Dizasta ni mkali ila hakuna anachomzidi young killer kwa kila kituNamkubali young killer ila kwenye swala la uandishi hakuna anaemfikia Dizasta vina..
ngoma kama kanisa ni nyimbo ya muda mrefu lakini vitu alivyoimba vinafanya ionekane bado mpya
Vichekesho kama hivi mwenzetu unavipata wapi?Dizasta ni mkali ila hakuna anachomzidi young killer kwa kila kitu
Hakuna ngoma kali ya Dizasta inayoizidi My power ya killer [emoji1] kama ipo itaje
Acha chuki wewe, young killer kaelekezwa na dizasta??? Imekuaje amekua mkali kuzidiKiller bado sana ivi unajua killer ata kukaza vocal
Kaelekezwa na kina dizasta vina
Unaijua nyimbo ya Mistari 16
Au saa mbovu
Kipindi killer yupo TAMADUNI music?
Infact hakuna raper mkali asiepita au kuwa na usikaji na TAMADUNI for now KIKOSI KAZI
Dizasta ashasema yeye ni underground[emoji1][emoji1]Vichekesho kama hivi mwenzetu unavipata wapi?
nahisi hata uyo msukuma anatamani kolabo na dizasta
Unorthodox deliveryUko nje ya biti mzee, mistari haijabalance inapitiliza mzunguko. Pia zingatia vina! 😁🙌
Kama unafika sasa, karibu center ya tenzi..|Dizasta ashasema yeye ni underground
Nakubali yuko vizuri, pia IQ yake ni kubwa sanaKama unafika sasa, karibu center ya tenzi..|
Kubwa kuliko empire state
shangaa bidhaa bila ya expire date..|
So my SINGLE line is like your entire verse..|
Kama unakichwa kigumu huwezi elewa kitu hapo kiufupi utatoka kapa..
wakati mnagombania tuzo mi nipo undeground nashikilia nguzo...|
swali- unazijua nguzo za hip hop?
Mziki ni ajiraUnajua maana ya underground in hip hip?
In short ni mtu anaesimamia misingi
1.grafit
2.Djing
3.khowledge
4.Emcee
5. Breaking dance