Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Kamwambia lini??, Kwa young killer mmeyavagaa aiseeDizasta ameshamwambia Y.killer akijaribu amebip kifo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamwambia lini??, Kwa young killer mmeyavagaa aiseeDizasta ameshamwambia Y.killer akijaribu amebip kifo
Acha dharau mkuu huwezi kumfananisha black maradona na huyo msukumaKamwambia lini??, Kwa young killer mmeyavagaa aisee
Unawekaje picha ya shoga na wasiwasi na weweNakata wings si ulitaka upae.....|
kama ibrahim alivyomtoa sadaka mwanaye...|
Mungu akamkataza, namwambia Mungu this is personal...|
and this is not a half of what i have in my arsenal..|
Namwaheshimu dizasta ila kwa killer asijichanganye kabisaaaAcha dharau mkuu huwezi kumfananisha black maradona na huyo msukuma
Sijayaona...siku hizi natunza masikio yangu,sisikilizi utoko wa watotoMajibu ya swali lako nimekuwekea au kasikilize Nobody is safe-4.
Kwa nini young killer anajulikana na dizasta hajulikani!?Dizasta ameshamwambia Y.killer akijaribu amebip kifo
Huyo young killer anajulikana wapi ambako dizasta hafahamiki?Kwa nini young killer anajulikana na dizasta hajulikani!?
Huyo msukuma amalizane na lunya kwanza ndio aje kwa Black maradona.Namwaheshimu dizasta ila kwa killer asijichanganye kabisaaa
Hujui hip-hopSijayaona...siku hizi natunza masikio yangu,sisikilizi utoko wa watoto
Hahahaaa nipo na hip hop tangu 1993 dogo,sugu hajatoa album ya king kongHujui hip-hop
Yaani hata lady JD ukimuuliza dizasta hamjui,Ila killer anajulikana,dizasta anajulikana tamaduni tuHuyo young killer anajulikana wapi ambako dizasta hafahamiki?
Young killer Ni mtaalamu..Acha dharau mkuu huwezi kumfananisha black maradona na huyo msukuma
Mimi napenda vile anavyoflow cheki hapaMistari mizuri.. Ila jinsi anavyorap haihamasishi kusikiliza. Abadili jinsi ya kuflow.
Mistari mikali.. lakini flow yake mbovuMimi napenda vile anavyoflow cheki hapa
Rafiki yangu aliniambia nyimbo zangu mbovu..|
Eti sauti yangu chovu..|
Ndugu yangu wa damu alisema vision yangu pofu..|
Na bado tunaonge so unamaindi kisa like bob..|
Misingi yangu haipasuki man..|
Una confuse ushindani na ukinzani..|
Sikutukani labda uanzishe
chuki nami..|
Naiheshimu culture
nikifagia situpi ndani..|
Tunatofautiana...Mimi napenda vile anavyoflow cheki hapa
Rafiki yangu aliniambia nyimbo zangu mbovu..|
Eti sauti yangu chovu..|
Ndugu yangu wa damu alisema vision yangu pofu..|
Na bado tunaonge so unamaindi kisa like bob..|
Misingi yangu haipasuki man..|
Una confuse ushindani na ukinzani..|
Sikutukani labda uanzishe
chuki nami..|
Naiheshimu culture
nikifagia situpi ndani..|
Look street verified legend (and)Yaani hata lady JD ukimuuliza dizasta hamjui,Ila killer anajulikana,dizasta anajulikana tamaduni tu
I eat peopleHaters haters
Nimekuja kuwapa msongo wa mawazo mi' ni pay cut..|
Nilikotoka bingwa jamii imeshiba sana ujinga, that 's the reason am not famous...|
Nimekuja na uthibitisho your favorite raper is lame ass..|
An orthodoxy derivery since way back..|
kama k.dot, look my bar game is A-plus..|
Umejuaje flani shoga kama nawewe sio shoga?Unawekaje picha ya shoga na wasiwasi na wewe