Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Clown tena au ni crown a.k.a corona?Hii tribulation imekua kama onyo kwa wasanii wabana pua wote.
Nadhani ule ubishi wa nani anafaa kupewa clown ya Hip-pop umeisha hakuna cha Young lunya wala young nani.. hakuna anaeweza kubattle na Dizasta.
sawa motra the futureClown tena au ni crown a.k.a corona?
Pruu mpaka maka haunikuti...|sawa Disasta tumekuelewa.
Unajiona mkubwa wakati hata nyeto hujapiga vizuri,Pruu mpaka maka haunikuti...|
Kiakili we ni mpuuzimpuzi unapatia vyema...|
Hizo baka baka pusy pusy, nilizitabiri kama kuchi kuchi na bado ukarudia tena...|
Juzi juzi ulikuwa mtoto pori...|Unajiona mkubwa wakati hata nyeto hujapiga vizuri,
Bishoo mzima unaitwa Cosmas ,
Kuvutavuta naniii ushajiona muhuni, wakati hata kunyonga hujajua.
Huyu jamaa basi tu.Nakata wings si ulitaka upae.....|
kama ibrahim alivyomtoa sadaka mwanaye...|
Mungu akamkataza, namwambia Mungu this is personal...|
and this is not a half of what i have in my arsenal..|
Mkwaju Mkali sana huu 🔥🔥🔥Hii tribulation imekua kama onyo kwa wasanii wabana pua wote.
Nadhani ule ubishi wa nani anafaa kupewa crown ya Hip-pop umeisha hakuna cha Young lunya wala young nani.. hakuna anaeweza kubattle na Dizasta.
Hii tribulation imekua kama onyo kwa wasanii wabana pua wote.
Nadhani ule ubishi wa nani anafaa kupewa crown ya Hip-pop umeisha hakuna cha Young lunya wala young nani.. hakuna anaeweza kubattle na Dizasta.
Unamaanisha fid na fa tuwatupe kule, hawawezi hip-hop!?Hii tribulation imekua kama onyo kwa wasanii wabana pua wote.
Nadhani ule ubishi wa nani anafaa kupewa crown ya Hip-pop umeisha hakuna cha Young lunya wala young nani.. hakuna anaeweza kubattle na Dizasta.
Itakua hukuwepo enzi za 'vina mwanzo kati na mwisho'Habari zimezagaa...|
watu wananiona shujaa..|
Sasa ningetaka ustar si ningecheza porno...|
Respect vina.
Haters hatersUnamaanisha fid na fa tuwatupe kule, hawawezi hip-hop!?
Mipasho..Rap itakufa kibudu,alionya afandeHaters haters
Nimekuja kuwapa msongo wa mawazo mi' ni pay cut..|
Nilikotoka bingwa jamii imeshiba sana ujinga, that 's the reason am not famous...|
Majibu ya swali lako nimekuwekea au kasikilize Nobody is safe-4.Mipasho..Rap itakufa kibudu,alionya afande
Dizasta ameshamwambia Y.killer akijaribu amebip kifoKuna msanii nasubiri aingilie hii beef