luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Aisee nime muona chama ktk viwanja vya mazoezi Simba jamaa ana furaha sanaa, full kucheka, jamaa ana tabasamu, nimeamin kweli mwamba wa lusaka kule Morocco hakuwa na Furaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hater at workKule alikuwa inferior coz alikutana na quality players zaidi yake
Kweli si ndio sisi hao tumempa ufalme na MayeleKwanini makolo hamuwezi kukaa kwenye timu bila kumpa mchezaji fulani ufalme, alianza mafisango kaja okwi na sasa mnamuabudu chama.
Acha uongo ww shabiki wa utopolo, chama alikuwa kasha anza kuuwasha ata game yawisho aliyo cheza had Berkane wakashinda 4 chama ali assist 2Kule alikuwa inferior coz alikutana na quality players zaidi yake
hivi unahangaika na utopwinyo ? last matches mbili za chama huko moroko kashinda man of the matchAcha uongo ww shabiki wa utopolo, chama alikuwa kasha anza kuuwasha ata game yawisho aliyo cheza had Berkane wakashinda 4 chama ali assist 2
Alikuwa ana nuna sanaaa hadi Ibenge akakosa raha, na una ambiwa hata uongoz wa Berkane walikuwa wapo tayar wakampangishie makazi katika jijinla Maraha Markesh au vasanlanca . wakizan chama ni mzee wa starehe na papuchi kumbe wapiiii ni watoto ndio walikiwa wanaona huyu dingi katuleta wapi huku?Kwani huko viwanja vya Morocco alikuwa ananuna muda wote??
Mashabiki wa utopoloni acha midadi asubuhi asubuh kuwa man of the match ndio itamsaidia nn ? Injinia ana wahadahaa huyoo wa congo wale sio mali yenu ni y zahera pale utopoloni ni kituo chao cha kuvukia tuhivi unahangaika na utopwinyo ? last matches mbili za chama huko moroko kashinda man of the match
Huyu Ni Maalumu Kwa Mechi Ya Yanga....Raha ampige matobo na mikanzu Mwamnyeto tu.....!
Lazima awe na furaha tu... Tatizo Moroco hakuruhusiwa kuvuta bangi wala pombe ila huku full kujiachiaAisee nime muona chama ktk viwanja vya mazoezi Simba jamaa ana furaha sanaa, full kucheka , jamaa ana tabasamu, nimeamin kweli mwamba wa lusaka kule Moroco hakuwa na Furaha
Kitimoto angepata wapi?Aisee nime muona chama ktk viwanja vya mazoezi Simba jamaa ana furaha sanaa, full kucheka , jamaa ana tabasamu, nimeamin kweli mwamba wa lusaka kule Moroco hakuwa na Furaha
Ushasema mech ya mwisho.........so it's means......gari liliwaka siku moja tuAcha uongo ww shabiki wa utopolo, chama alikuwa kasha anza kuuwasha ata game yawisho aliyo cheza had Berkane wakashinda 4 chama ali assist 2
Hahahaha hahahaha umemaliza malumbano yoteKitimoto angepata wapi?
Sijawahi kuona jitu liongo kama wewe humu jukwaani, nyoko zakoAlikuwa ana nuna sanaaa hadi Ibenge akakosa raha, na una ambiwa hata uongoz wa Berkane walikuwa wapo tayar wakampangishie makazi katika jijinla Maraha Markesh au vasanlanca . wakizan chama ni mzee wa starehe na papuchi kumbe wapiiii ni watoto ndio walikiwa wanaona huyu dingi katuleta wapi huku?
Iv kuna mchezaj yeyote wa utopolo anae taman kurudi utopoloni ? Calinhos huko kwao Angola hana hataa mizuka na utopoloni