True Crime Thread: Updated Regularly

True Crime Thread: Updated Regularly

Lakini hii nadharia ikawa inaelekea kufeli kwakua kila tarehe iliyotabiriwa kua ni mwisho wa dunia, dunia haikuisha. Ikapelekea kuzalishwa kwa minong'ono ya chini kwa chini juu ya uongo na utapeli wa Mwerinde na wenzake.

Hii ilimaanisha wanahitaji kuja na suluhisho haraka ama dunia iishe au warudishe mali walizotoa kwa waumini. Kiendacho kwa mganga hakirudi na pili ile nadharia ya dunia kuisha? Mwerinde & co walijua kabisa hakuna kitu kama hicho so kabla mamlaka kidogo waliyobaki nayo wakayatumia kuita kusanyiko.

Kusanyiko lilikua ni kwaajili ya kua pamoja siku dunia inaisha. Na ikaamuliwa kusanyiko liwe tarehe 17 March 2000.

Ukiangalia pattern za matukio ya wauaji kuna points mbili au tatu utapata zinazoweza saidia kutabiri baadhi ya matukio mfano, Mwerinde kabla hajahamia kwa Kibwetere aliwahi kuchoma moto nyumba ya mwanakijiji mwenzake na akapotea hilo eneo akarudi wiki mbele. Akadai amechanganyikiwa, kipindi hicho alikua na miaka 20.

Kisha kuna madai ya kumtongoza dereva pikipiki, usiku walivyolala akamuua na kumuibia pesa. Kuna ripoti pia ya kaka zake 3 kufa mmoja mmoja kabla hajabaki peke yake na kurithi nyumba ya baba yao. Haya matukio yameelezwa katika barua iliyoandikwa na rafiki wa karibu wa familia ya Mwerinde.

Kisha tukio la mwisho kabla hajahama nyumbani kwa Kibwetere lilikua la kumchomea moto mke wa Kibwetere kabati lake la nguo. Hii kazi alimpa mdogo wake Ursula Mwerinde, yeye akachukua kazi ya kumshushia kipigo Bi Teresa Kibwetere. Bi Teresa alikimbia kukwepa kipigo.

Kama unashangaa mume alikua wapi mume alikuepo na alikua anasupport.

Kwa haya matukio na pattern iliyopo vyovyote iwavyo 17th March ilitakiwa iwe siku ngumu. Ripoti za mwanzo zilisema baada ya kukutana wakajifungia kwenye jengo lao la makao makuu wakajimwagia petroli na kujiwasha moto.

Lakini kama watu walienda kudai mali na pesa zao au dunia iishe hivi utawamwagia petroli wakuangalie? Haiingii akilini na ndivyo uchunguzi ulivyothibitisha.

Baada ya wote kuingia ukumbini milango ikafungwa kwa nje, sehemu ambazo zingeweza kutoa upenyo wa kutoka zikagongelewa misumari na petroli ikamwagwa kuzunguka jengo zima.

And then the building was set on fire.

Maeneo ya kanungu ni ya milimani na mabondeni wenyeji wanasema mlipuko wa moto wa ghafla na vilio ulitawala eneo la Kanungu. Kisha ikafuatiwa na harufu kali ya nyama inayochomwa kiasi kwamba ilibidi wachukue majani yenye harufu kuziba pua kukata harufu ya nyama.

Ripoti zinasema hata baada ya moto kuzimika harufu ya nyama ilitawala eneo lote kiasi kwamba wenyeji walishindwa kula nyama mwezi baada ya tukio kuisha.

Askari walipofika eneo la tukio walikuta miili inayokadiriwa kufikia 600 ikiwa imekua mikaa, wakaripoti tukio zima kama mass suicide na kutulia, walipoanza kuchunguza viwanja vilivyokua chini ya umiliki wa Movement wakagundua kuna makaburi ya pamoja mengi yaliyokutwa na maiti zaidi ya 300. Kaburi moja urefu wake ulifikia hecta 40.

Miili iliyokutwa humo ilikua na majeraha ya visu, kupigwa na kitu kizito kichwani na kulishwa sumu askari wakabadili walichoripoti. Wakasema hii ni mass murder na wakatoa hati ya kimataifa ya Mwerinde na Kibwetere kukamatwa popote walipo.

Miaka hiyo, njia za mawasiliano zilikua hafifu zilitosha kufanya hawa wawili wasikamatwe. Kibwetere ilisemekana amejificha Malawi lakini Uganda walipofuatilia walishindwa kumpata.

Jeshi la Polisi la Uganda linaamini Mwerinde na Kibwetere wapo hai na kuna mahali wamejificha.
Mmmhhh. Hii ni zaidi ya hatari.

Ki Hitler Hitler zaidi
 
Tunaendelea

Makuzi yake kielimu hayakua mazuri, Gacy shule ilimshinda akaenda Las Vegas huko akaona hapamfai kwakua hakupata pesa ya kumtosheleza akaamua kurudi Chicago. Alivyorudi Chicago mwenyewe akaamua kujiunga na Chuo cha Biashara,Gacy ni mzuri katika kuongea angeweza kujitoa matatizoni kwa mdomo tu.

images.jpeg

John Wayne Gacy

Hivyo hiki kipaji na elimu aliyoipata vikamnufaisha ipasavyo alivyomaliza chuo akaajiriwa katika kampuni ya Nunn-Bush Shoe Company kama Management Trainee. Kipaji na juhudi vikasababisha ahamishwe kwenda kusimamia Wing ya nguo huko Springfield, Illinois.

Gacy akaanza kugain uzito kwa fujo, akapatwa na matatizo ya moyo na mgongo na akaishi nayo milele. Alivyofika Springfield alijiunga na taasisi mbalimbali zilizojihusisha na jamii. Akawa mwenyekiti wa Chi Rho Club, akawa mjumbe wa bodi ya Catholic Inter-Club Council, akawa Kapteni wa Kamandi ya Chicago Civil Defense, akawa Afisa wa Holy Name Society na akawa makamu Rais wa Jaycees na huku ndipo alitumia muda wake mwingi.

Mwaka 1964 akakutana na Maryln Myers mtoto wa kishua, wazazi wake walimiliki migahawa mbalimbali franchise ya KFC. Baada ya ndoa baba mkwe akamwambia Gacy aje wafanye kazi pamoja. Kwa wastani Gacy alitakiwa kufanya kazi kwa saa 12 lakini haikua ajabu kufanya kazi saa 14 na zaidi alijitoa kwelikweli kwenye kampuni ya mkwe akiamini watakuja kuzirithi.

Wakapata mtoto wa kiume, kisha akafuatia wa kike. Myers akabaki kulea Gacy akaendelea kujitoa kihali na mali KFC na kwenye kila taasisi aliyohusika nayo na bado alipata muda wa kukaa na mkewe.

Katika kitabu cha Clifford Linedecker, The Man Who killed Boys, amenukuliwa volunteer wa Jaycees, Charlie Hill akisema "Mara zote alionekana kuna project anaishughulikia, alijitoa mno Jaycees. Hii taasisi ilikua ndiyo maisha yake" Mwaka 1968 akaanza kampeni za kuutaka urais wa Jaycee.

Kisha minong'ono ikazuka kwamba anapoonekana Gacy basi lazima kuwe na vijana wa kiume "Gacy is gay" kabla minong'ono haijasambaa sana May 1968 Gacy akashtakiwa na Mark Miller kwa kosa la kumlaghai, kumfunga kamba na kumbaka kikatili.

Gacy akajitetea kwamba alikubaliana na Miller juu ya kilichotokea na walikubaliana kua atamlipa na akapoint kua huu ni mchezo unafanywa na washindani wake wa nafasi ya urais. Kwa status yake ni rahisi kuaminika lakini kesi ikiwa inaendelea miezi minne mbele Gacy akashtakiwa kwa kosa la kukodi kijana wa miaka 18 ili ampige Miller.

Kijana alipokamatwa akasema alitumwa na Gacy. Gacy akarudi mahakamani akiwa na kesi mbili na akapigwa nyundo 10 jela katika gereza la Iowa State Reformatory. Baada ya hiyo hukumu mkewe akadai talaka wakaachana. Gacy alijua kua akionyesha tabia nzuri paroli yake italeta matunda, miezi 18 baadaye Gacy akaachiwa kwa paroli.

Akarejea Chicago.

. . .
 
Imekua muda mkubwa aisee
 
Tunaendelea

Makuzi yake kielimu hayakua mazuri, Gacy shule ilimshinda akaenda Las Vegas huko akaona hapamfai kwakua hakupata pesa ya kumtosheleza akaamua kurudi Chicago. Alivyorudi Chicago mwenyewe akaamua kujiunga na Chuo cha Biashara,Gacy ni mzuri katika kuongea angeweza kujitoa matatizoni kwa mdomo tu.

View attachment 2244096
John Wayne Gacy

Hivyo hiki kipaji na elimu aliyoipata vikamnufaisha ipasavyo alivyomaliza chuo akaajiriwa katika kampuni ya Nunn-Bush Shoe Company kama Management Trainee. Kipaji na juhudi vikasababisha ahamishwe kwenda kusimamia Wing ya nguo huko Springfield, Illinois.

Gacy akaanza kugain uzito kwa fujo, akapatwa na matatizo ya moyo na mgongo na akaishi nayo milele. Alivyofika Springfield alijiunga na taasisi mbalimbali zilizojihusisha na jamii. Akawa mwenyekiti wa Chi Rho Club, akawa mjumbe wa bodi ya Catholic Inter-Club Council, akawa Kapteni wa Kamandi ya Chicago Civil Defense, akawa Afisa wa Holy Name Society na akawa makamu Rais wa Jaycees na huku ndipo alitumia muda wake mwingi.

Mwaka 1964 akakutana na Maryln Myers mtoto wa kishua, wazazi wake walimiliki migahawa mbalimbali franchise ya KFC. Baada ya ndoa baba mkwe akamwambia Gacy aje wafanye kazi pamoja. Kwa wastani Gacy alitakiwa kufanya kazi kwa saa 12 lakini haikua ajabu kufanya kazi saa 14 na zaidi alijitoa kwelikweli kwenye kampuni ya mkwe akiamini watakuja kuzirithi.

Wakapata mtoto wa kiume, kisha akafuatia wa kike. Myers akabaki kulea Gacy akaendelea kujitoa kihali na mali KFC na kwenye kila taasisi aliyohusika nayo na bado alipata muda wa kukaa na mkewe.

Katika kitabu cha Clifford Linedecker, The Man Who killed Boys, amenukuliwa volunteer wa Jaycees, Charlie Hill akisema "Mara zote alionekana kuna project anaishughulikia, alijitoa mno Jaycees. Hii taasisi ilikua ndiyo maisha yake" Mwaka 1968 akaanza kampeni za kuutaka urais wa Jaycee.

Kisha minong'ono ikazuka kwamba anapoonekana Gacy basi lazima kuwe na vijana wa kiume "Gacy is gay" kabla minong'ono haijasambaa sana May 1968 Gacy akashtakiwa na Mark Miller kwa kosa la kumlaghai, kumfunga kamba na kumbaka kikatili.

Gacy akajitetea kwamba alikubaliana na Miller juu ya kilichotokea na walikubaliana kua atamlipa na akapoint kua huu ni mchezo unafanywa na washindani wake wa nafasi ya urais. Kwa status yake ni rahisi kuaminika lakini kesi ikiwa inaendelea miezi minne mbele Gacy akashtakiwa kwa kosa la kukodi kijana wa miaka 18 ili ampige Miller.

Kijana alipokamatwa akasema alitumwa na Gacy. Gacy akarudi mahakamani akiwa na kesi mbili na akapigwa nyundo 10 jela katika gereza la Iowa State Reformatory. Baada ya hiyo hukumu mkewe akadai talaka wakaachana. Gacy alijua kua akionyesha tabia nzuri paroli yake italeta matunda, miezi 18 baadaye Gacy akaachiwa kwa paroli.

Akarejea Chicago.

. . .
Tunasubiri muendelezo
 
Tunaendelea

Makuzi yake kielimu hayakua mazuri, Gacy shule ilimshinda akaenda Las Vegas huko akaona hapamfai kwakua hakupata pesa ya kumtosheleza akaamua kurudi Chicago. Alivyorudi Chicago mwenyewe akaamua kujiunga na Chuo cha Biashara,Gacy ni mzuri katika kuongea angeweza kujitoa matatizoni kwa mdomo tu.

View attachment 2244096
John Wayne Gacy

Hivyo hiki kipaji na elimu aliyoipata vikamnufaisha ipasavyo alivyomaliza chuo akaajiriwa katika kampuni ya Nunn-Bush Shoe Company kama Management Trainee. Kipaji na juhudi vikasababisha ahamishwe kwenda kusimamia Wing ya nguo huko Springfield, Illinois.

Gacy akaanza kugain uzito kwa fujo, akapatwa na matatizo ya moyo na mgongo na akaishi nayo milele. Alivyofika Springfield alijiunga na taasisi mbalimbali zilizojihusisha na jamii. Akawa mwenyekiti wa Chi Rho Club, akawa mjumbe wa bodi ya Catholic Inter-Club Council, akawa Kapteni wa Kamandi ya Chicago Civil Defense, akawa Afisa wa Holy Name Society na akawa makamu Rais wa Jaycees na huku ndipo alitumia muda wake mwingi.

Mwaka 1964 akakutana na Maryln Myers mtoto wa kishua, wazazi wake walimiliki migahawa mbalimbali franchise ya KFC. Baada ya ndoa baba mkwe akamwambia Gacy aje wafanye kazi pamoja. Kwa wastani Gacy alitakiwa kufanya kazi kwa saa 12 lakini haikua ajabu kufanya kazi saa 14 na zaidi alijitoa kwelikweli kwenye kampuni ya mkwe akiamini watakuja kuzirithi.

Wakapata mtoto wa kiume, kisha akafuatia wa kike. Myers akabaki kulea Gacy akaendelea kujitoa kihali na mali KFC na kwenye kila taasisi aliyohusika nayo na bado alipata muda wa kukaa na mkewe.

Katika kitabu cha Clifford Linedecker, The Man Who killed Boys, amenukuliwa volunteer wa Jaycees, Charlie Hill akisema "Mara zote alionekana kuna project anaishughulikia, alijitoa mno Jaycees. Hii taasisi ilikua ndiyo maisha yake" Mwaka 1968 akaanza kampeni za kuutaka urais wa Jaycee.

Kisha minong'ono ikazuka kwamba anapoonekana Gacy basi lazima kuwe na vijana wa kiume "Gacy is gay" kabla minong'ono haijasambaa sana May 1968 Gacy akashtakiwa na Mark Miller kwa kosa la kumlaghai, kumfunga kamba na kumbaka kikatili.

Gacy akajitetea kwamba alikubaliana na Miller juu ya kilichotokea na walikubaliana kua atamlipa na akapoint kua huu ni mchezo unafanywa na washindani wake wa nafasi ya urais. Kwa status yake ni rahisi kuaminika lakini kesi ikiwa inaendelea miezi minne mbele Gacy akashtakiwa kwa kosa la kukodi kijana wa miaka 18 ili ampige Miller.

Kijana alipokamatwa akasema alitumwa na Gacy. Gacy akarudi mahakamani akiwa na kesi mbili na akapigwa nyundo 10 jela katika gereza la Iowa State Reformatory. Baada ya hiyo hukumu mkewe akadai talaka wakaachana. Gacy alijua kua akionyesha tabia nzuri paroli yake italeta matunda, miezi 18 baadaye Gacy akaachiwa kwa paroli.

Akarejea Chicago.

. . .
kimya
 
Back
Top Bottom