Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mkuu, usijali maana uandishi nao ni kipaji, ntajitahdiMkuu andika sehemu ya ngapi ili iwe rahisi kukumbuka tumeishia wapi sawaa
Nasubiria kwa hamuuuuu hapaPoa mkuu, usijali maana uandishi nao ni kipaji, ntajitahdi
Itaendelea kweli...15
Sikuamini macho yangu kumwona yule msichana nilomsindikiza mapema kwenda nyumban kwao amerudi usiku huu na mvua yote!
Mwenzangu saa 6 hii pekeyako na mvua hii yote shida nini? Nilimwuliza yunge!
We acha tu, yaani nimelowa mpaka nahisi kuganda, alijibu yunge na kuongeza, nyumba ninayolala inavuja sana, hivyo nimeona bora nije nilale hapa!
Na je wazazi wako wakigundua haumo ndani si watapatwa taharuki?
Hapana, nimeshazoea kuja kulala humu mvua ikinyesha usiku, hivyo wala usiwaze! Akajibu,
Bas alichukua kapet chini ya uvungu na kuelekea nalo sebleni kwa ajili ya kutandika alale. Yaani leo nalala chumba ki1 na dem? Hii bhagoshaaa!
Weka full ndefu au weka yote hizi short sana wanaona kama haupo serious ni tag...16
Basi nilimsikia yunge anatandika pale sebleni, nikwa najiuliza sijui nimwambie aje tulale wote pale kitandani, atakubali kweli? Niliogopa!
Ghafla alikuja chumbani na kusema mhh! Nmesahow nguo ya kutandika maskini, hivi hakuna nguo ya akiba humu? Aliuliza!
Hapo hapo nkapata ujasiri! Nakumwambia, kwanini usije tulale wote mchumba?
Wewe nani mchumba wako hapa? Umri huu naweza kuwa mchumba wako? Ebu acha utoto bwana! Aliongea yunge kwa kujiamini!
Kwahiyo unadhani tukilala wote ntakufanyaje? Shakwambia huku sikufata mademu wala nini, nipo hapa kuwasalimia wazee wangu,
Nilimchimba mkwara yunge ambae alionekana kupatwa na aibu kdgo! Nikweli kwa kumwangalia ilionekana ananizidi kama miaka miwili ama mitatu hivi!
Basi kama unaogapa kulala namie mchumba, njoo ulale hapa kitandani na mie ntalala hapo sebleni! Nilimwambia ila alikataa katakata mimi kumwachia yeye kitanda ilihali mie mgeni!
Sawa we lala hapo sebleni na hilo baridi tuslaumiane,
Nilijilaza huku nikimchombeza hata iweje wewe ndo mchumba wangu! Ebo?
Leta mwendelezo.....21
Jamani mimi ni mkubwa kwako bwana, alisema yunge!
Mimi: labda kama unatafta njia ya kunikataa tu, maana naona hunipendi na hujaridhika mimi kuwa mchumba wako, najua siwezi kulazimisha mambo! Tulale tu wala sikufanyi chochote, miaka hii 19 sijawahi kufanya leo hii nikubake mtoto wa watu? Siwezi bwana, nilipama kina cha maji!
Yunge: umechukia?
Mimi: kwani nmefoka?
Yunge: haya tulale usiku mkubwa huu
Mimi: poa,
Nikazima radio nakujigubika ghubighubi! Tulipitiwa usingizi mpaka yunge aliponistua kwamba kumekucha na anataka ondoke! Basi saa 11 na dakika 37 ile nikamsindikiza mpaka karibia na nyumbani kwao, kabla sijaanza kurudi akasema, mhh! Nmeamini wewe ni mchumba wangu kweli! Naomba usirudi nyumbani kwenu leo, baki nitakurinda na mafisi na hao wachawi wachawi! Alisema,
Pia ukibaki ntaamini unanipenda kweli, usiku ntakuletea zawadi ambayo hutoisahau! Sawa nzehe? Aliuliza! Sawa ntaona!
So kuona baki bwana!
Yamwisho bwana mpk unapewa zawadiKesho wana tutaendelea! Ntazimwaga nyingi kama mchanga hapa!