Saa moja ndio hii baba Yunge mdogoππNitapata nafasi saa 1 leo, ntatupiepo kadhaa.
Baba Yunge ukitupia usiache kunijuza mkuuNitapata nafasi saa 1 leo, ntatupiepo kadhaa.
Naam mkuu
Bado anapaa akishuka ataleta storiπ€£Imekuwaje tena
π
NaamNzhehe
Leo breki hapa...98
Achana na hayo, mie bado mdogo niliogopa utaniumiza, alijibu kwa kudeka yunge mdogo.
Nikuumize nini, kwani nilikuwa na mapanga ama mavisu?
Hapana, ila iposiku utafurahi japo unaonekana wewe ni kichomi (mhuni) sana, alijibu yunge na kunizodoa.
Mimi Kichomi nimefanya nini? Niliuliza kwa pupa.
Yaani wewe kila mwanamke ukiongea nae ni mchumba wako? Sijapenda tabia hiyo, kama umempenda huyo unambie mapema nijue, alilalamika yunge mdogo ambae alionekana kutokua na utani.
Jamani yaani huyo msichana mwenye sura na mdomo mrefu anakupa wasiwasi? Nlimtuliza.
Nyie wanaume hamtabiliki, mchumba mchumba mpaka unamwingiza chumbani mimi sitaki, alisema.
Mimi nakupenda peke yako tu, bila shaka unajua kwamba hapa kijijini hakuna msichana mrembo kama wewe, sasa mimi nimtake huyo msichana mwenye maneno machafu wa nini sasa, nilijitetea.
Wewe sema hivyo, haya maneno unanitamkia mimi, pia ulikuwa unamtamkia yunge mkubwa, si ulimsikia jana alivyokuwa anakusuta? Lakini ulinifurahisha ulivyonishika na ukaanza kupaa, yaani Raha.
Mje huku Gily Antonnia Angel Nylon Amehlo Depal Kalpana Kelsea Lenie Darlin...98
Achana na hayo, mie bado mdogo niliogopa utaniumiza, alijibu kwa kudeka yunge mdogo.
Nikuumize nini, kwani nilikuwa na mapanga ama mavisu?
Hapana, ila iposiku utafurahi japo unaonekana wewe ni kichomi (mhuni) sana, alijibu yunge na kunizodoa.
Mimi Kichomi nimefanya nini? Niliuliza kwa pupa.
Yaani wewe kila mwanamke ukiongea nae ni mchumba wako? Sijapenda tabia hiyo, kama umempenda huyo unambie mapema nijue, alilalamika yunge mdogo ambae alionekana kutokua na utani.
Jamani yaani huyo msichana mwenye sura na mdomo mrefu anakupa wasiwasi? Nlimtuliza.
Nyie wanaume hamtabiliki, mchumba mchumba mpaka unamwingiza chumbani mimi sitaki, alisema.
Mimi nakupenda peke yako tu, bila shaka unajua kwamba hapa kijijini hakuna msichana mrembo kama wewe, sasa mimi nimtake huyo msichana mwenye maneno machafu wa nini sasa, nilijitetea.
Wewe sema hivyo, haya maneno unanitamkia mimi, pia ulikuwa unamtamkia yunge mkubwa, si ulimsikia jana alivyokuwa anakusuta? Lakini ulinifurahisha ulivyonishika na ukaanza kupaa, yaani Raha.
Asante
Siku mbili za mateso ngoja tutoa maumivu hapa π shukran ndugu
Natamani hii iishe ila anaweka fupi fupi sanaSiku mbili za mateso ngoja tutoa maumivu hapa π shukran ndugu
π anatakiw achukue ushauri huu. Kweli mpaka unasahau mwisho ulikuwa wapiNatamani hii iishe ila anaweka fupi fupi sana