Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
- Thread starter
- #1,201
Sure.Pettymagambo please reduce the speed of posting this story..
we need to read it until Ramadhan end..
No hurry in Africa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure.Pettymagambo please reduce the speed of posting this story..
we need to read it until Ramadhan end..
No hurry in Africa
Ni ulongo huo, itakuwa imetoka kanda ya bahari hiyo.View attachment 2573128
Ukiona hela imechanwa hv ujue imetoka kanda ya ziwa
Inazuia Chuma Ulete 100%View attachment 2573128
Ukiona hela imechanwa hv ujue imetoka kanda ya ziwa
TuendeleeNi ulongo huo, itakuwa imetoka kanda ya bahari hiyo.
Bro nakuheshimu lkn unakosa adabu.Ngosha mbona una kiburi na jeuri je wee ni[emoji2380][emoji2380] upinde nn
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hatari na nusu126
Nimekuwa na hisia siku nyingi kwamba huenda mke wangu nae anajishughulisha na kikundi hicho cha walozi, lakini kama hujui ni kwamba mtu ukijiingiza anga hizo lazima kuna kiingilio utakitoa (kafara ya mtu wa karibu yako zaidi) lakini licha ya kutega mitego yangu yote sijawahi kumnasa bibi yako na kujihakikishia kwamba ni mshirikina, japo niponae miaka mingi sijawahi kuona dalili zozote za kumhusisha na ulozi japo ndoto zangu huwa zinaniambia ni mtu hatari sana.
Jambo lingine ambalo hunifanya nipuuze mawazo yangu ni kwamba tangu nimemuoa hatujawahi kufiwa na mtoto, hata mjukuu mmoja, na hata mimi mpaka leo nipo hai, je kama anajihusisha na ulozi basi yeye anatoaga sadaka gani? Alizidi kuongea babu.
Ebu sasa nambie ulimwona ama hukumwona? Alinitega babu.
Niliinamisha kichwa pembeni nikiwaza kwamba nikimwambia babu akajua kwamba bibi ni mlozi itakuwaje pale nyumbani, siuvunjifu wa amani utatokea? Naikiwa hivyo pale hapatakalika kamwe, niliwaza sana.
Basi usjali mwanangu, uso wako tu unaeleza wazi, inuka.!
Kweli!!!?Inazuia Chuma Ulete 100%
Hapana..Kweli!!!?
Pettymagambo please reduce the speed of posting this story..
we need to read it until Ramadhan end..
No hurry in Africa
❣️❤️💞💞Mume wa kina yungez..umetisha.
Nasubiri muendelezo
Baba Yunges njoo kule basi?Ni ulongo huo, itakuwa imetoka kanda ya bahari hiyo.
Daa umebadili id tena😂Mume wa kina yungez..umetisha.
Nasubiri muendelezo
Is it true?Inazuia Chuma Ulete 100%
Hkn namna afanye hima kumaliza siyo kutuma vipis nusu nusuBro nakuheshimu lkn unakosa adabu.
Mtu anatoa muda wake lkn unambeza ..mbaya sana