True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

Baada ya njapanda inafuata ON POINT na John Jackson [emoji91]
 
Watu wanajitoa akili
Mtu humlipi Wala humnunulii bando na bado unamtukana tusi kubwa hivyo doh
Tunga yako dad alfu ulete ujinga wa kuchelewesha story na kujibu watu ovyo ndio utajuwa ujui

Kuwa [emoji2380] Ni kupenda kuomba na kubembelezwa
 
SubhanaAllah
Mbona kumtusi hivyo mwenzio ilhali humlipi na Wala hujui anapitia changamoto gani
Alfu wew jimama iko HV hiyo koment siyo kwamba nimemuamrisha aleta story yake Hapa hapn nilimuona anajibu koment za watu kwa jeuri na zarau juu kubwa ndio nikamuambia jje wee Ni upindeee [emoji2380]
 
Eti "junia"[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…