Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Kwani hii story haijaisha tu??Katika story za hovyo na kijinga kupita zote humu ndani ni hii aisee
Mwandishi kama kuna MTU amewahi kukwambia wewe ni mwandishi mzuri na utakuja kutoboa amekudanganya aisee hebu kafanye kazi zingine hizi za kuandika story wachie wakina CK Allan singanojr Analyse Jack Daniel na Kidogo UMUGHAKA wewe hapana huwezi na hujui kabisa usipoteze MDA Kwa kazi usiyoiweza