Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Unakuta unatokea kikabila ambacho hata tukikikabidhi wilaya ya Kishapu hakitoshei humo.Kweli msukuma ni msukuma tu, hakuna mahala aliposifiwa sana akafanya vizuri. Ukiangalia namna alivyoanza akisakua wasomaji na sasa anavyoringa baada ya kuwapata ni dunia mbili tofauti 🤣.
Eeeenhe, Sukuma Oyeee, Oyee... Sio leo wala kesho itaendelea mwakani hamtaki andamaneni 🤗
Acha ulofa