Unakuta unatokea kikabila ambacho hata tukikikabidhi wilaya ya Kishapu hakitoshei humo.Kweli msukuma ni msukuma tu, hakuna mahala aliposifiwa sana akafanya vizuri. Ukiangalia namna alivyoanza akisakua wasomaji na sasa anavyoringa baada ya kuwapata ni dunia mbili tofauti π€£.
Eeeenhe, Sukuma Oyeee, Oyee... Sio leo wala kesho itaendelea mwakani hamtaki andamaneni π€
[emoji2] [emoji2] [emoji2]haiwezi kuisha, anaandika episode kama comment, ina mistari 2. Halafu anatokomea wiki nzima.
Huoni katokomea kweli lakiniπ€£π€£[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Yaani ulivyoandika kama unamshtaki jamaa kwa analyse.
Hata me ni mchimbaji,ukiwa na mapumziko Pori unakuta unajiendeleza,hela ya dhahabu inatakiwa kuwekeza kwenye sekta kama hiziMzee sina kabisa mawazo hayo mchimbaji mimi.
We nae umeongea ujinga gani hapa aiseeKijijini Kuna kanisa?
Jifunze RIGHTING SKILLS ili uwe unaandika aya ndefu ndefu.
Katika hii simulizi jina Yesu lazima liwepo.sio unataja wachawi tu
Mimi kuna binti alinipa dunia yake haya mambo yalikuwepiHivi hii ni true story? Siamimi kama duniani kuna mambo ya namna hii
Huyu jamaa sio bure wahuni wampake mafuta tu na yeye akapimwe linda huu anaofanya hapa ni u****.Hizi story za kutunga ambazo huwa mnalazimisha kusema ni kweli ukifikia hatua flani zinakuwa ngumu sana kuendeleza. Hapo mtunzi huanza kukimbia kimbia na kutoa udhuru. Unamwona kabisa yumo humu anasoma tu comments ila anakuambia hivi na vile. Yaani ili mradi tu.
Kaka kutunga sio kazi rahisi ujue???ohooooHizi story za kutunga ambazo huwa mnalazimisha kusema ni kweli ukifikia hatua flani zinakuwa ngumu sana kuendeleza. Hapo mtunzi huanza kukimbia kimbia na kutoa udhuru. Unamwona kabisa yumo humu anasoma tu comments ila anakuambia hivi na vile. Yaani ili mradi tu.
Soon itaendeleaHatimaye nimeisoma yote
Skupingiii kaka bless up[emoji3577]Soon itaendelea
πππMods futeni huu uzi tafadhari..
Angalau tumejua uko hai bado maana si kwa simulizi hiziSoon itaendelea