sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,208
- 2,525
Daaa hizi Juhudi za kusoma hadith wakati wakati ule ningewekeza shuleni
Sijui ningekuwa wapi
[emoji23]
Sijui ningekuwa wapi
[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnayumbaGd nyt ladies n gntmens.
Woooooh...72
Huyooo! huyoon! Mtangizieni, mleteee mletee! Walipiga kelele wale watu wa ajabu nakunifanya niongeze mbio huku hofu kuu ikinijaa kwani sasa nilimwona yule mzee wa kiwanjani na lile jimama lenye fisi mkubwa kuliko wote wakiwa wamebakiza hatua kama 20 tu wanidake.
Zungusha upembe kwa nyuma, uwe kama unamkata mtu panga, usigeuke wala kusimama, sauti kutoka kwenye ule upembe ilitoka!
Nilieanya kadri ya maagizo, yaani chwaaa!
Nilisikia vilio kwa nyuma,
Uwiii! Twafaa! Mayheee!
Zilikuwa ni kelele za maumivu za watu wale wakigugumia.
Niliendelea kutoka nduki hatari huku jasho sasa likiwa limekubali kama mvua za elmino, muda kidogo sauti ya upembeni ikasikika tena, wanakukaribia tena, ebu geuka uone, niligeuka haraka na kumwona mzee wa kiwanjani na lile jimama ndo bado wameniungia huku wakiwa na hasira,
Tutakukomesha leo mshenzi wewe! Alisema mzee yule kwa hasira,
Fanya kama mwanzo watakukamata sasa.
Nilizungusha upembe kwa nyuma.
We mpumbavu unafikiri sisi ni watoto wenzio? Simama hapo kabla sijfyeka shingo..
Ni stori....bado and it’s need a time...Babu Mkuda, 😂😂babu fresh...yeah...Hivi kweli inaakisi ukweli yani possibles outcomes reflects...within lifestyles...
Eti alikua anamwambia angaliaa usijekua umeuziwa mbuzi kwenye gunia😂😂Yunge bikira yake ni ya kiini macho. Bikira ya mchawi hutolewa na mchawi mwenzake
Twidegeleko lolo Pettymagambo 😂😂😂Gd nyt ladies n gntmens.
Mzee unataka tukeshe hapa?Unayumba
Pettymagambo ungetumia muda huu ambao usingizi umekata kuweka kitu kimoja.Mzee unataka tukeshe hapa?
Nimekuita usije kupitwa kwenye hii piaNi stori....bado and it’s need a time...Babu Mkuda, 😂😂babu fresh...yeah...Hivi kweli inaakisi ukweli yani possibles outcomes reflects...within lifestyles...
Naomba mungu nisije pangiwa kazi mikoa yenye uchawi kiasi hicho mbona ni maajabu haya , ila endelea basi na story za kunyanduana mbona umeacha😎😎...75
Msiba tena? Nani atakufa?
Niliuliza maswali dabo.
Ngoja kukuche utaona, alijibu.
Vipi yule mzee anaependa mpira na yule mwanamke mnene nini kilitokea baada ya mimi kuuruka upembe maana nilisikia wakilalama kwa maumivu makali, nilihoji.
Wale sasa walijikuta wamelivaa zindiko la babu yako, waliungua moto ila sema mafisi yao yalinusa hatari hiyo na kugeuka haraka, alijibu yunge.
Sasa mbona umewageuka na kuwaumiza wenzio? Nilimwuliza tena,
Niliahidi kukulinda muda wote inapowezekana na kwahilo sina chaguo lingine, alijibu.
Vipi kuhusu bibi hatojua kama nimemwona?
Hajui chochote japo alikuwa na wasiwasi mwingi kule kilingeni lakini jambo muhimu kwako ni kutoonesha tofauti yoyote kila unapoongea ama kutazamana naye, alijibu yunge.
Je wewe ni mkuu wa wale wote mpaka wakusikilize vile? Nilimwuliza.
Nikweli mimi ni kiongozi wao na ndo maana nimeweza kukukinga wasikukamate, kama ningekua na nguvu sawa na wengine basi leo ungekamatwa na kuliwa nyama kama yule aliyepiga kelele! Alijibu.
Nawewe unakula nyama ya mtu?
Naomba mungu nisije pangiwa kazi mikoa yenye uchawi kiasi hicho mbona ni maajabu haya , ila endelea basi na story za kunyanduana mbona umeacha
Vepe