Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
umefanya mapenzi na watoto wa chini ya miaka 18. unapaswa ushtakiwe kabisa. huo ni ubakaji kama ubakaji mwingine. hao sijui hata darasa la saba walikuwa wamemaliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikaze sana misuli ya kichwa hii ni hadithi njoo utam koleaumefanya mapenzi na watoto wa chini ya miaka 18. unapaswa ushtakiwe kabisa. huo ni ubakaji kama ubakaji mwingine. hao sijui hata darasa la saba walikuwa wamemaliza.
Kanda ya ziwa na uchawi ni makofi na polisiKanda ya ziwa hawamjui mungu wapagani ni wengi. Ajabu madhehebu mapya kama yehova badala ya kwenda huko wanangangania humuhumu mitaani kuwarubuni wakristo wa katoliki na Anglikana. Nendeni huko Kanda ya ziwa mkahubiri injili
Huna unachokijua wwSasa si ungeenda jukwaa la urembo pumbav.
Msukule wa MagamboAndika yako mbuzi wewe
Mzee hivi kuna mtu anaekuita hapa? Si uende hata jukwaa la siasa? Niache basi kwani stori hii inakufata? Ebu acha ujuaji wa kishamba bwana.Huna unachokijua ww
Achana na hao mapimbi leta vitu ngoshaMzee hivi kuna mtu anaekuita hapa? Si uende hata jukwaa la siasa? Niache basi kwani stori hii inakufata? Ebu acha ujuaji wa kishamba bwana.
Tangu umejua kuandika kwa bold unajikuta bruslii mkuuumefanya mapenzi na watoto wa chini ya miaka 18. unapaswa ushtakiwe kabisa. huo ni ubakaji kama ubakaji mwingine. hao sijui hata darasa la saba walikuwa wamemaliza.
Mkuu kama unaona ya uongo, au kitoto si ukaushe uendelee na business zako??Huna unachokijua ww